Bila shaka tumepata picha kamili, uvunjifu wa haki huzalisha chuki ya kudumu

Bila shaka tumepata picha kamili, uvunjifu wa haki huzalisha chuki ya kudumu

‘evil prevails, when the good do nothing’

Unaamini watu wengi wanachuki na serikali kwa sababu wanaopiga kelele ni watu ambao have never supported it from day one.

Lakini kuna mamilioni ya watanzania na wengi tu ndani ya East African community ambao wanaona kazi kubwa iliyofanywa.
 
Chuki ipo moyoni mwako wewe mimi sina chuki na Raisi wala serikali yangu. Hiyo ni kumchafua mkuu wa Nchi basi kama unaona hapa Tanzania kuna makovu nenda kongo ukajifunze au nenda marekani huko ukaishi kidemokrasia hapa Tanzania ni ujamaa na kujitegemea. Anyway viherehere dawa yao ni kupotezwa tu.
Tayari mkuu amepotezwa.
 
Back
Top Bottom