Tatizo watu wanalazimisha kupendwa wakati hali haiko hivyo mtu haja chaguliwa na anajua hawezi chaguliwa anakulia kwanini manataka niongoze mitano tu wakati wenzangu wamepiga 10 10 kwanini nataka mi 5 tenaChuki ipo moyoni mwako wewe mimi sina chuki na Raisi wala serikali yangu. Hiyo ni kumchafua mkuu wa Nchi basi kama unaona hapa Tanzania kuna makovu nenda kongo ukajifunze au nenda marekani huko ukaishi kidemokrasia hapa Tanzania ni ujamaa na kujitegemea. Anyway viherehere dawa yao ni kupotezwa tu.
kisha kutumia vyombo vya dola kupora ushindi wa vyama vingine mjue hata muumba wa mbingu na nchi hapendi ila basi tu.