Ukiielewa maana yake halafu ukijisoma utaelewa kuwa umejipinga:Fafanua maana ya ustaaarabu na unambie kivipi nimejipinga kauli yangu
Hili nalo NENO Mkuu!๐คHaitakaa kamwe...from the beginning to the end, kila mtu anavizia mwenzake alale amkate kichwa
FaizaFoxyFaizaFixy dawa yako ni Al maktoum kakupiga spana umeishia kurukaruka kumbe huna unachokijua kuhusu dini yako, nilitaka nishangae mtu anayeijua dini vizuri awe na mada za kipuuzi kama zako. Al maktoum ahsante sana tushamjua huyu ajuza ni empty kabisa kichwani so tutadeal nae hivyo hivyo.
Acha kujidhalilisha!Ukiielewa maana yake halafu ukijisoma utaelewa kuwa umejipinga:
Usta = wasta
Arab = Arabu.
Ustaarbu ni wasta wa Kiarabu. Unafahamu maana ya 'wasta"? Kama haufahamu, maana yake ni "influence".
Natumai darsa limekuingia.
Kama tawala Zote hizo za kislamu zinatawaliwa Na Wayahudi Wewe Nani Uwapinge Mgogo WeweNchi haiiamshi nchi, raia wanaoamshwa, usifikiri kila raia wa nchi hizo ni tajiri.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Umeshawahi kumsikia Shah wa Iran? Yuko wapi sasa?
Umeshawahi kumsikia Mfalme farouq? Yuko wapi sasa?
Umeshawahi kumsikia As Senussi? Yuko wapi sasa?
Umeshawahi kuelewa kuwa utawala wa Jordan wa sasa ndiyo pia ukoo huo ulikuwa unaitawala Iraq?
Soma kijana kabla hujakuruouka.
Unafahamu kuwa utawala wa sasa hivi wa Saudi Arabia ni wa kizayuni?
Unafahamu kuwa biashara kubwa zote za UAE zina mkono wa mazayuni? Unajuwa kuwa mazayuni UAE wana haki kuliko raia wa nchi zingine za Kiarabu?
Hakuna tawala ya Kiislam hapo. Elewa kutofautisha Waislam na Uislam.Kwa hiy
Kama tawala Zote hizo za kislamu zinatawaliwa Na Wayahudi Wewe Nani Uwapinge Mgogo Wewe
Sasa kila mtu akija na kitabu chake na aseme ndio muongozo wa kweli tutapata suluhisho kweli?Usitulishe matango pori!
Kwa mujibu wa Quran Israili siyo nchi wala siyo taifa bali ni jina la pili la mtume Ya'aqub ambaye ndiye baba wa makabila 12 yatokanayo na Nabii Ya'aqub ( Yakobo au Jacob)
Kuna mitume walikuwa na majina mawilimawili.
Kama Nabii Yunus ( Yona) jina lake la pili ni Dhin nuun, Nabii Yaaqubu
( Yakobo/Jacob) jina lake la pili ni Israili , Nabii Isa ( Yesu/Jesus) jina lake la pili ni Masihi, Nabii Muhammad jina lake la pili lililotajwa kwenye Quran ni Ahmad.
Unadai haki ipi wakati Israel ilikua imejituliza zake mkaichokoza sasa mnachapwa mnaanza kukimbilia kudai haki.Kijana, huu siyo ushabiki wa simba na yanga kama mawaao yako yalipoishia. Hizi ni "deep analysis" za watu wenye uelewa wa "geopolitics".
Hapa hatufutwi mshindi wa nani kafunga goli, hapa kinachotafutwa ni ushindi wa haki.
Kwa wenye uelewa, mpaka ikifikia kumuuwa anayedai haki ni ushindi mkubwa sana kwa wadai haki.
Mazayuni na wamerekani wanafikiri haki ya mtu ni kama "'movie" za holywood. Yalipitwa na wakati hayo.
Wanaoifanya israel iendelee kuwepo kwenye ardhi ya palestina ni tawala za siri za kizayuni zinazoshikilia madaraka Saudi Arabia, Jordan, Egypt, UAE, Kuwait, Bahrain, Qatar na Oman.
Bila ya tawala za nchi hizo kung'olewa madarakani ni kazi bure tu. Hizo ndiyo tawala zinazolipia gharama zote za mazayuni kuendelea kuwepo palestina.
Nguvu kubwa zielekezwe kwenye kuwaelimisha wananchi wa nchi za Kiarabu, waamke kutoka usingizini.
Naona hoja hii ni kiwango cha juu sana kuliko fikra zako.Makubwa. Umeamua kuanzisha vita vya wenyewe kwa wenyewe?
Halafu kila mtu atakuwa anamsifu vipi Allah?
Interesting. Ndio maana naogopa saba udini unaoambatana na unafiki. Majibu yake yanaanzia hapa duniani na baadae ahera
Naona hoja hii ni kiwango cha juu sana kuliko fikra zako.
Ni heri ujisomee au uulize maswali kwa usiyoyaelewa kuliko kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.
Duh, imejituliza nyumbani kwa watu?Unadai haki ipi wakati Israel ilikua imejituliza zake mkaichokoza sasa mnachapwa mnaanza kukimbilia kudai haki.
Hapa atapapita kama hapaoni vile.FaizaFixy dawa yako ni Al maktoum kakupiga spana umeishia kurukaruka kumbe huna unachokijua kuhusu dini yako, nilitaka nishangae mtu anayeijua dini vizuri awe na mada za kipuuzi kama zako. Al maktoum ahsante sana tushamjua huyu ajuza ni empty kabisa kichwani so tutadeal nae hivyo hivyo.
Palestina hana ardhiWanaoifanya israel iendelee kuwepo kwenye ardhi ya palestina ni tawala za siri za kizayuni zinazoshikilia madaraka Saudi Arabia, Jordan, Egypt, UAE, Kuwait, Bahrain, Qatar na Oman.
Bila ya tawala za nchi hizo kung'olewa madarakani ni kazi bure tu. Hizo ndiyo tawala zinazolipia gharama zote za mazayuni kuendelea kuwepo palestina.
Nguvu kubwa zielekezwe kwenye kuwaelimisha wananchi wa nchi za Kiarabu, waamke kutoka usingizini.
Ujinga wa kiwango cha juu huu ๐๐Quran huwezi ielewa kwa kusoma Aya moja tu. Lazima uangalie Aya zilizotangulia na zinazofuatia zinazungumzia maudhui gani! Kwa mfano ukisoma ukisoma Aya ya 4 ya sura ya 107/ suuratil maauun. Allaah anasema:
ูููู ููู ุตููู.
(Adhabu kali itawapata wenye kuswali)
Unaweza elewa kuwa kuswali ni dhambi na wanaoswali wataadhibiwa na Allaah siku ya kiyama.
Na mtu anaweza tetea hoja hii kwa kusema kwamba Aya Iko wazi kwamba ADHABU KALI ITAWAPATA WENYE KUSWALI au OLE WAO WENYE KUSWALI!.
Lakini ukiunganisha Aya hiyo na Aya inayofuata
ุงูุฐูู ูู ุนู ุตูุงุชูู ุณุงููู
"Wale ambao wanazipuuza swala zao ndio utagundua kwamba makusudio ya walengwa katika aya ya nne ni kundi maalumu ya watu wanaoswali bila kuchunga tarafibu za swala kama alovyoelekeza Mtume ุตูู ุงููู ุนููู ูุณูู .
Sasa wewe unapong'ang'ania Aya moja bila kuangalia Aya zilizotangulia ni dalili ya ulimbukeni na uzumbukuku wa kujitia ujuaji wa mambo usiyoyajua!
NonsenseTafauti ya Aya na tafsiri ya Aya ni nini?! Umeleta maneno ya kiswahili halafu unasema siyo tafsiri ya Aya.?! Kwani Quran imeteremshwa kwa lugha ya kiswahili.?! Mbona unashindwa kujitetea kiasi kwamba hata mnaswara anaweza gundua kuwa unadanganya watu.?! Ulicholeta ni translation ya Aya from Arabic halafu unasema ni Aya siyo tafsiri ya Aya! MAJANGA HAYA!.
Maajuza wenzio wake wa Ismail Haniya wanalia hakuwapa password ya account yake ya madola aliyokuwa akiyachuma kwa ulaghai wake wa free PalestineUnaonesha hata unachokisoma hukielewi.