Bila Ukristo Dunia ingekalika? Mfano, Myahudi apigwe na kulemewa na Irani, Waarabu wangeandamana kupinga mauwaji ya wayahudi?

Umapata tabu na kujiumiza kichwa,hao waarabu na waisrael ni ndugu na wote wako mashariki ya kati,angalia wanavyofanana kwa mambo yao.
1.Maandishi yao yanaandikwa kutoka kuia kwenda kushoto.
2.Maandishi yao,yanasomeka kutoka kulia kwenda kushoto.
Wayahudi hawatumii biblia wala quran ..tena kitabu chao kinachuki dhidi wakristu kama ile tamaduni yao ya kuwatemea mate .. ni moja ya maagizo ndani ya kitabu chao .."Tora"
Umeelezea vizuri sana.
 
Comments za uzi husika zinadhihirisha comment yako mkuu
Yani kama si sheria za kiserikali kuanzishwa kila mtu angetaka dini yake ndio iwe katiba ya kuongoza nchi nzima.

Kama wafanyavyo Taliban kule Afghanistan.

Dini lazima ziwe controlled kwa sheria kali sana, Maana dini ni sumu mbaya katika jamii.
 
Ohhh sorry inaitwa Tanaka

Labda nisaidie uelewe, neno Tanakh ni kifupisho cha makundi matatu muhimu ya Biblia ya Kiyahudi kwa maana Torah (Instruction, or Law, also called the Pentateuch - Vile vitabu vitano vya Musa), Neviʾim (Prophets- Manabii kama Isaya, Amos, Nehemia, Yeremia n.k), and Ketuvim (Writings- vitabu vya historia kama Wimbo ulio bora, Mithali, Mhubiri, Ayub n.k).

Hivyo neno hilo Tanakh linachukua zile herufi za mwanzo za makundi hayo matatu hivyo vitabu.

Na Tanakh ni Biblia ya kiyahudi kwa ukamilifu wake.

Sasa hapo unachosema wewe njiwa ni kile kilichomo kwenye kitabu kingine cha Wayahudi kiitwacho Talmud.
Talmud ni kitabu kinachokusanya mafundisho ya walimu wa Kiyahudi ni
kama zile hadith za mtume. Zinazungumzia maisha ya wayahudi kwa kupitia mifano halisi ya watu wao mashuhuri.
Talmud siyo maandisho ambayo Wayahudi wanadai kuwa yametoka kwa Mungu na mengi yamejaa chuki za wazi kwa watu ambao siyo Wayahudi.

Natumaini umeelewa
 
Baaasi basi basi! Inatosha kabisa mkuu

Labda anamajibu, ngoja tumsubiri aje kutetea hoja yake
 
Yani kama si sheria za kiserikali kuanzishwa kila mtu angetaka dini yake ndio iwe katiba ya kuongoza nchi nzima.

Kama wafanyavyo Taliban kule Afghanistan.

Dini lazima ziwe controlled kwa sheria kali sana, Maana dini ni sumu mbaya katika jamii.
Dini ilitakiwa iwe moja tu, kusingekua na matatizo mengi, its either you are in or out
 
Huwezi ukatudanganya kwamba magaidi eti wanafadhiliwa na mabepari wakati wenyewe magaidi kwa pamoja wanalikanusha hilo na kudai kwamba wenyewe wanampigania mungu wao anayeitwa allah na kwamba wakifa wakimpigania huyo mungu wao wanaenda akhera na kupewa mabikra 72 wenye macho kama mayai na uume unasimama kwa mwaka mzima na pombe inayotiririka kwenye mito ya huko akhera.

Kwa akili ya kawaida tu waislam kamwe hawawezi kukubali kumtumikia kafiri hivyo acheni uongo wenu kwani hatujaona hata siku moja waislam wakiandamana kulaani hivyo vikundi vya kigaidi pale vinapofanya vitendo vyao vya kigaidi na sana sana tunaona tu wakiviunga mkono na kulaani yale mataifa yaliyo mstari wa mbele kupigana dhidi ya ugaidi.
 
Sahihi
 
Sasa una maana wao Waislam hawana akili mpaka wakubali kutumiwa na watu wa magharibi kufanya ugaidi?
 
Dini zote ni takataka, ingawa dini zote ni uzushi na uongo lakini kwa wahindu na wabudha hawa ndio pekee wenye dini zilizo na amani&upendo wa kweli, dini zinginezo ni ushenzi mtupu.

Hasa kwa kizazi hiki tunachoongozwa kwa sheria zilizo na utu hatukutakiwa kabisa kuwa wafuasi wa hizi dini zilizoletwa kwa nia ovu na ushenzi mwingi.

Ukristo na uislam ndio chanzo cha maovu duniani, bila hizi takataka dunia ingekuwa mahala salama sana
 
Mimi ni mkristo lakini nadiriki kusema you nothing of what u talking about. Do you think religion has anything do with the world piece or chaos.?

Ipo hivi hata huo ukristo unaosemea wewe ukafatilia historia yake vzr Kuna time waliuana sana sababu ya kueneza au kuupinga ukristo. Ulaya Kuna time inaitwa the medieval time hao wakatoliki walipigana sana vita vinaitwa vita vya msalaba na commander wa vita in chief alikuwa ni pope mwenyewe.

Wamenyukana sana ila walipoona vita Haina faida wakakaa pamoja na kuamua kuingia mikataba ya kuheshimiana kila mtu kadili anaoona aabudu inavomfaa ila tuu uheshimu utu na haki ya mtu.

My bro SISI wakristo pia tulikuwa eashenzi tuu, tumeua na kuuana sana kwa ajili ya interest lakni lkn trust me tulibadili mtazamo tuu baada ya kuona vita hainaga mbabe. Yaani unashinda vita lakni unaishi maisha magumu Bora hata usingepigana ile vita.

Nimeongea sana. Badae
 
Mimi ni mkristo lakini nadiriki kusema you nothing of what u talking about. Do you think religion has anything do with the world piece or chaos.?

Ipo hivi hata huo ukristo unaosemea wewe ukafatilia historia yake vzr Kuna time waliuana sana sababu ya kueneza au kuupinga ukristo. Ulaya Kuna time inaitwa the medieval time hao wakatoliki walipigana sana vita vinaitwa vita vya msalaba na commander wa vita in chief alikuwa ni pope mwenyewe.

Wamenyukana sana ila walipoona vita Haina faida wakakaa pamoja na kuamua kuingia mikataba ya kuheshimiana kila mtu kadili anaoona aabudu inavomfaa ila tuu uheshimu utu na haki ya mtu.

My bro SISI wakristo pia tulikuwa eashenzi tuu, tumeua na kuuana sana kwa ajili ya interest lakni lkn trust me tulibadili mtazamo tuu baada ya kuona vita hainaga mbabe. Yaani unashinda vita lakni unaishi maisha magumu Bora hata usingepigana ile vita.

Nimeongea sana. Badae
 
Asamte kwa kutuleta kwenye historia ya enzi hiyo ya kuipambania Imani kabla haijaelewaka na kukolea, hata hivyo kuna mahali umeiacha hoja

Je? Uisilamu au nchi ya za kiislamu zinaweza kuandamana kupinga mauwaji ya Wakristo kunapotokea vita kama ilivyo kwa Israeli na Wapalestine, mataifa kama ya marekani, Uhispania, Ufaransa ambayo ni mataifa ya Wakristo wengi kuandamana kupinga mauwaji ya Wapalestine ambao ni Waisilam kwa uwingi wao

Au watakuwa wakifurahia tu na kujisemea wanaokufa ni makafiri?
 
Wakristo hawatetei deni yao sisi waislam ndio tunatetea dini yetu. Wakristo wao wanaielezea dini yao ilivo hawaitetei Ndo mana hata ukiitukana din yao huwa sio wakali sana wanaacha dini yao ijitetee yenyewe. Kuna kitu cha kujifunza hapa waislamu wenzangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…