Bila UMAFIA hujawa tajiri bado. Umafia ndio dira ya utajiri

Mtu anataka pesa hiyo hiyo akalewe halafu anataka utajiri, anataka pesa hiyo hiyo akahonge vimada (michepuko) halafu anataka utajiri!

Utajiri wa bahati mbaya au bahati nzuri, siyo utajiri huo. Tuwache kujazana ujinga.
 
Raia wa kigeni wakianzisha biashara bongo wanapewa msamaha wa kodi kwa miaka mi5 ya kwanza

Lakni ww mwenyeji ukifungua biashara yako leo, tegemea kesho kufatwa na TRA, FIRE, H/MASHAURI, TBS, TFDA, 0SHA, NEMC and the likes!!

Kwa namna hyo unafikiri utatoboa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Roho ndo kitu gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tajiri kuingia peponi ni kipengele maana wengi wanafanya kazi nyingi na shetani kuliko Mungu. Wanaua just to get shit straight
Mie sioni tatizo hapo maana mbinguni kwenyewe hatuendi na mwili ila roho tu sasa kwa nini uteseke duniani?
Ukipata mchongo wa utajiri hata kama ni uchawi we piga ili ule raha duniani halafu ukifa itakayoenda motoni ni roho tu na hakutakuwa na wa kukucheka huko.
Mie nikipata mganga wa kuaminika wa utajiri niko tayari hata kutoa kafara wanaccm hata wanne au zaidi.!
 
Mbona sijawahi kuyaona Kwa Mark Zuckerberg,Jeff bezos, warren Buffett,amancio Ortega, Bernad arnault, Elon musk , Na matajiri wengine.


Matajiri wengi wa bongo Hela zao ni za makando kando lazima uwe na roho mbaya
Hao ndo mafundi wa upigaji, wakwepaji wakubwa wa tax na ma lobyist wa kimataifa 😂 mshamba_hachekwi ona hi😂😃
 
Mzee Hata hao ma billionaire was mbele nao baadhi ni 🔥🔥, ni wakwepa Kodi na ma lobyist
 
Bado natafuta mwalimu wa kufundisha courses za computer kama vile word excel PowerPoint publisher adobe acrobat chatgpt windows operating system ,Linux operating system etc.kama una hiyo skillset usisite kunicheki.
 
Amancio Ortega ni bonge la drugs dealer.

Mbona hujawataja akina Bill Gates, Abrahamovich au sababu ushajua walipataje pataje utajiri wao?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Abrahamovich nafaham umafia wake na Rafiki yake Putin. Bill Gates sifahamu chochote mi nilidhani amepitia njia za kawaida tu bila makandokando yoyote, kwani ana tuhuma gani?
 
Inafikirisha sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…