makedonia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 4,171
- 3,461
mazuzu ni mtaji wa lumumba.Watapigiwa kura na madaraja na ndege walizonunua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mazuzu ni mtaji wa lumumba.Watapigiwa kura na madaraja na ndege walizonunua.
Mkuu nilikwambia subiria comments za walimu!, Sasa umeona comments zao!?Ndio maana nimewaomba walimu waache unafiki waseme ukweli kwasababu nasikia mshahara wako ukiathiriwa kwa namna yoyote ile inaathiri mafao Yao ya uzeeni ya kustahafu ! Sasa je kama wanakubalina na kujenga nchi wanajua consequences zake baadae?...
Kazi kwako mleta uzi!, Hii comment nadhani imekukatisha tamaa Sana mleta uzI😄 superbug.Watumishi wa umma tuko pamoja na Mh. Rais Magufuli mpaka miradi aliyoanzisha ikamilike!
Huweza kuendelea kujiita mwalimu wakati humo kwenye orodha ya waliopatikana na vyeti feki!Mm ni mwalimu kusema kweli kutoka moyoni Magufuri hawez pata kura yangu
Yeah!,hapa mkuu umeongea point 👊.Huweza kuendelea kujiita mwalimu wakati humo kwenye orodha ya waliopatikana na vyeti feki!
Karibu ubungo riveside tuna tigo, airtel, zantel, holtel, NMB, CRDB, NBC, BOA etc tunafanya miamala uwalimu ni laana.Mtoto mjinga humuudhi mamake, same thing you did broh!.
Congratulations because you made it [emoji2][emoji2].
Maneno ya mjinga haya.Mfanyakazi hewa hiyo, sema aliponea chupuchupu kama bwabwa la Ubelgiji
😃😃 Ngoja walimu wakusikie hapo ndo utaelewa kuwa hata mbuyu ulianza Kama mchicha😂.Karibu ubungo riveside tuna tigo, airtel, zantel,holtel, NMB,CRDB, NBC, BOA etc tunafanya miamala uwalimu ni laana
Hebu tuwàsaidie Hawa wenzetu kujibu swali hili japo naamini watumishi wote hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitano mfululizo.
Mimi sio mwajiriwa wa gvt Ila hebu leo nivae viatu vyao...
Kwani walandimu wanaakili? Kama wanaongozwa na 'sidablyutii' sembuse Sisiemu...saiz wanapigania wakasimamie uchaguz binafsi huwa nawafananisha na mabekitatuHebu tuwàsaidie Hawa wenzetu kujibu swali hili japo naamini watumishi wote hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitano mfululizo.
Mimi sio mwajiriwa wa gvt Ila hebu leo nivae viatu vyao...
Watapshida walimu wengi n mqzezetaigiwa kura na madaraja na ndege walizonunua.
Lissu akitembea na wafanyakaz vizuri hakika jiwe yuko taabani! Ingawa kwa upande wa walimu kuna shida kidogo ktk uelewa wao,walimu walio wengi n mazezeta sana! Akili zao ziko kama za kuku n wepesi kusahau maumivu waliyoyapata ndan ya miaka mitano pind wapatato nafas ya kusimamia uxhaguzHebu tuwàsaidie Hawa wenzetu kujibu swali hili japo naamini watumishi wote hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitano mfululizo.
Mimi sio mwajiriwa wa gvt Ila hebu leo nivae viatu vyao...
Si walimu tu bali ni pamoja na wastaafu wote wa serikali na waajiriwa wanaolazimishwa kuweka fedha zao katika benki ya NMB ambako kuna makato yasio na mashiko. Dhuluma. Hawaruhusiwi kuchagua benkiSio walimu tu, bali ni watumishi wote wa umma labda wavaa makombati ndio wameongezewa.
Please acha kuwatukana mkuu!, Usimlazishe mtu aamini unachokiamini wewe Mkuu unakwama wapi!, Kila anauhuru wa kuchagua anachokipenda ili mladi tu asivunje sheria, hata Kama wamepata mateso ndani ya miaka mitano but they still love JPM. Tusijifanye wajuzi wa Mambo mkuu😬😬.Lissu akitembea na wafanyakaz vizuri hakika jiwe yuko taabani! Ingawa kwa upande wa walimu kuna shida kidogo ktk uelewa wao,walimu walio wengi n mazezeta sana! Akili zao ziko kama za kuku n wepesi kusahau maumivu waliyoyapata ndan ya miaka mitano pind wapatato nafas ya kusimamia uxhaguz
Mimi ni muajiriwa lakini nitaipigia kura CCM.Hebu tuwàsaidie hawa wenzetu kujibu swali hili japo naamini watumishi wote hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitano mfululizo.
Mimi sio mwajiriwa wa Government Ila hebu leo nivae viatu vyao.
Imagine wewe ndio mwenyekiti wa chama cha siasa taifa unakuja kumuomba kura mwalimu ambae hujamuongeza mshahara wake kwa miaka mitano na Kama haitoshi ukampiga makato ya bodi ya mikopo ya 8% kibabe je mwalimu huyu unamshawishije akupe kura leo?
Hebu nisaidieni Mimi nimeshindwa.
Tiririka namna utakavyomshawishi mwalimu huyu akupe kura, tena mwaka huu na asahau ubaya uliomfanyia.
Kazi kwenu mabingwa wa kutongoza!
Mkuu wewe ni mwalimu??Hebu tuwàsaidie hawa wenzetu kujibu swali hili japo naamini watumishi wote hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitano mfululizo.
Mimi sio mwajiriwa wa Government Ila hebu leo nivae viatu vyao.
Imagine wewe ndio mwenyekiti wa chama cha siasa taifa unakuja kumuomba kura mwalimu ambae hujamuongeza mshahara wake kwa miaka mitano na Kama haitoshi ukampiga makato ya bodi ya mikopo ya 8% kibabe je mwalimu huyu unamshawishije akupe kura leo?
Hebu nisaidieni Mimi nimeshindwa.
Tiririka namna utakavyomshawishi mwalimu huyu akupe kura, tena mwaka huu na asahau ubaya uliomfanyia.
Kazi kwenu mabingwa wa kutongoza!
Bodi ya mikopo ni 15%Hebu tuwàsaidie hawa wenzetu kujibu swali hili japo naamini watumishi wote hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitano mfululizo.
Mimi sio mwajiriwa wa Government Ila hebu leo nivae viatu vyao.
Imagine wewe ndio mwenyekiti wa chama cha siasa taifa unakuja kumuomba kura mwalimu ambae hujamuongeza mshahara wake kwa miaka mitano na Kama haitoshi ukampiga makato ya bodi ya mikopo ya 8% kibabe je mwalimu huyu unamshawishije akupe kura leo?
Hebu nisaidieni Mimi nimeshindwa.
Tiririka namna utakavyomshawishi mwalimu huyu akupe kura, tena mwaka huu na asahau ubaya uliomfanyia.
Kazi kwenu mabingwa wa kutongoza!
Acha kututukana kijana walimu wako. Huwezi kumzidi busara mwalimu wako. Tafuta mbinu ya kushawishi na sio hii ya kuita walimu mazezeta ambao kimsingi ni wazazi wako.Lissu akitembea na wafanyakaz vizuri hakika jiwe yuko taabani! Ingawa kwa upande wa walimu kuna shida kidogo ktk uelewa wao,walimu walio wengi n mazezeta sana! Akili zao ziko kama za kuku n wepesi kusahau maumivu waliyoyapata ndan ya miaka mitano pind wapatato nafas ya kusimamia uxhaguz