Uchaguzi 2020 Bila unafiki unamshawishije mwalimu ambaye hajaongezwa mshahara kwa miaka mitano na bado ukambambika makato ya bodi kibabe aipende CCM?

Uchaguzi 2020 Bila unafiki unamshawishije mwalimu ambaye hajaongezwa mshahara kwa miaka mitano na bado ukambambika makato ya bodi kibabe aipende CCM?

Ndio maana nimewaomba walimu waache unafiki waseme ukweli kwasababu nasikia mshahara wako ukiathiriwa kwa namna yoyote ile inaathiri mafao Yao ya uzeeni ya kustahafu ! Sasa je kama wanakubalina na kujenga nchi wanajua consequences zake baadae?...
Mkuu nilikwambia subiria comments za walimu!, Sasa umeona comments zao!?
 
Mtoto mjinga humuudhi mamake, same thing you did broh!.

Congratulations because you made it [emoji2][emoji2].
Karibu ubungo riveside tuna tigo, airtel, zantel, holtel, NMB, CRDB, NBC, BOA etc tunafanya miamala uwalimu ni laana.
 
Karibu ubungo riveside tuna tigo, airtel, zantel,holtel, NMB,CRDB, NBC, BOA etc tunafanya miamala uwalimu ni laana
😃😃 Ngoja walimu wakusikie hapo ndo utaelewa kuwa hata mbuyu ulianza Kama mchicha😂.
 
Hebu tuwàsaidie Hawa wenzetu kujibu swali hili japo naamini watumishi wote hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitano mfululizo.

Mimi sio mwajiriwa wa gvt Ila hebu leo nivae viatu vyao...

seems ulifeli economics
 
Hebu tuwàsaidie Hawa wenzetu kujibu swali hili japo naamini watumishi wote hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitano mfululizo.

Mimi sio mwajiriwa wa gvt Ila hebu leo nivae viatu vyao...
Kwani walandimu wanaakili? Kama wanaongozwa na 'sidablyutii' sembuse Sisiemu...saiz wanapigania wakasimamie uchaguz binafsi huwa nawafananisha na mabekitatu
 
Hebu tuwàsaidie Hawa wenzetu kujibu swali hili japo naamini watumishi wote hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitano mfululizo.

Mimi sio mwajiriwa wa gvt Ila hebu leo nivae viatu vyao...
Lissu akitembea na wafanyakaz vizuri hakika jiwe yuko taabani! Ingawa kwa upande wa walimu kuna shida kidogo ktk uelewa wao,walimu walio wengi n mazezeta sana! Akili zao ziko kama za kuku n wepesi kusahau maumivu waliyoyapata ndan ya miaka mitano pind wapatato nafas ya kusimamia uxhaguz
 
Jamani ualimu ni wito msiwaze sana maisha mazuri. Hahahaha nimefikiria tu
 
Sio walimu tu, bali ni watumishi wote wa umma labda wavaa makombati ndio wameongezewa.
Si walimu tu bali ni pamoja na wastaafu wote wa serikali na waajiriwa wanaolazimishwa kuweka fedha zao katika benki ya NMB ambako kuna makato yasio na mashiko. Dhuluma. Hawaruhusiwi kuchagua benki
 
Lissu akitembea na wafanyakaz vizuri hakika jiwe yuko taabani! Ingawa kwa upande wa walimu kuna shida kidogo ktk uelewa wao,walimu walio wengi n mazezeta sana! Akili zao ziko kama za kuku n wepesi kusahau maumivu waliyoyapata ndan ya miaka mitano pind wapatato nafas ya kusimamia uxhaguz
Please acha kuwatukana mkuu!, Usimlazishe mtu aamini unachokiamini wewe Mkuu unakwama wapi!, Kila anauhuru wa kuchagua anachokipenda ili mladi tu asivunje sheria, hata Kama wamepata mateso ndani ya miaka mitano but they still love JPM. Tusijifanye wajuzi wa Mambo mkuu😬😬.
 
Hebu tuwàsaidie hawa wenzetu kujibu swali hili japo naamini watumishi wote hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitano mfululizo.

Mimi sio mwajiriwa wa Government Ila hebu leo nivae viatu vyao.

Imagine wewe ndio mwenyekiti wa chama cha siasa taifa unakuja kumuomba kura mwalimu ambae hujamuongeza mshahara wake kwa miaka mitano na Kama haitoshi ukampiga makato ya bodi ya mikopo ya 8% kibabe je mwalimu huyu unamshawishije akupe kura leo?

Hebu nisaidieni Mimi nimeshindwa.

Tiririka namna utakavyomshawishi mwalimu huyu akupe kura, tena mwaka huu na asahau ubaya uliomfanyia.

Kazi kwenu mabingwa wa kutongoza!
Mimi ni muajiriwa lakini nitaipigia kura CCM.

Wadanganye wasiojua kupembua mambo. Kama unafikiri kuongeza mishahara ni suala la kusema bila mikakati ya kuongeza tija na uzalishaji ulu mapato yawe yaongezeke basi mwambie mgombea wako arudi kwanza akajifunze uchumi.

Urais na uanaharakati ni vitu viwili tofauti kabisa.
 
Namwambia kuwa kama yuko dar es salaam anahitaji tuu kitambulisho kwenda kazini, pia umeme umeshuka na utashuka zaidi bwawa letu likikamilika, njia ni nzuri anaweza tumia private car yake kwenda kazini. Pia wakati wa corona kapokea salary yake kama kawaida. Sokoni hakuna mfumuko wa bei. Nyanya 500, karoti 500, hoho 500, na mihogo na mbaazi vipo kwa afya. Asisahau kuwa bima ya familia nzima ya afya ipo anahitaji nauli tuu kwenda hospitali.
 
Hebu tuwàsaidie hawa wenzetu kujibu swali hili japo naamini watumishi wote hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitano mfululizo.

Mimi sio mwajiriwa wa Government Ila hebu leo nivae viatu vyao.

Imagine wewe ndio mwenyekiti wa chama cha siasa taifa unakuja kumuomba kura mwalimu ambae hujamuongeza mshahara wake kwa miaka mitano na Kama haitoshi ukampiga makato ya bodi ya mikopo ya 8% kibabe je mwalimu huyu unamshawishije akupe kura leo?

Hebu nisaidieni Mimi nimeshindwa.

Tiririka namna utakavyomshawishi mwalimu huyu akupe kura, tena mwaka huu na asahau ubaya uliomfanyia.

Kazi kwenu mabingwa wa kutongoza!
Mkuu wewe ni mwalimu??
 
Hebu tuwàsaidie hawa wenzetu kujibu swali hili japo naamini watumishi wote hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitano mfululizo.

Mimi sio mwajiriwa wa Government Ila hebu leo nivae viatu vyao.

Imagine wewe ndio mwenyekiti wa chama cha siasa taifa unakuja kumuomba kura mwalimu ambae hujamuongeza mshahara wake kwa miaka mitano na Kama haitoshi ukampiga makato ya bodi ya mikopo ya 8% kibabe je mwalimu huyu unamshawishije akupe kura leo?

Hebu nisaidieni Mimi nimeshindwa.

Tiririka namna utakavyomshawishi mwalimu huyu akupe kura, tena mwaka huu na asahau ubaya uliomfanyia.

Kazi kwenu mabingwa wa kutongoza!
Bodi ya mikopo ni 15%
 
Lissu akitembea na wafanyakaz vizuri hakika jiwe yuko taabani! Ingawa kwa upande wa walimu kuna shida kidogo ktk uelewa wao,walimu walio wengi n mazezeta sana! Akili zao ziko kama za kuku n wepesi kusahau maumivu waliyoyapata ndan ya miaka mitano pind wapatato nafas ya kusimamia uxhaguz
Acha kututukana kijana walimu wako. Huwezi kumzidi busara mwalimu wako. Tafuta mbinu ya kushawishi na sio hii ya kuita walimu mazezeta ambao kimsingi ni wazazi wako.
 
Back
Top Bottom