Bila Waajemi kuingilia kati, leo hii Syria, Lebanon, Palestina yote na sehemu kubwa ya Misri zingekuwa zimechukuliwa kwa nguvu na Israel

Bila Waajemi kuingilia kati, leo hii Syria, Lebanon, Palestina yote na sehemu kubwa ya Misri zingekuwa zimechukuliwa kwa nguvu na Israel

Let say hii abracadabra uliyoyiandika hapa ni kweli, kuna shida gani Israel kuichukua Misri?.
Ama zama za mwenye nguvu kuchukua chochote zimeshaisha?.
Wao walitumia nguvu kuua wenyeji wa Africa ya kaskazini, why dunia iwaonee huruma wao?.
 
Haihitaji udadisi kujua kwamba hamas ni magaidi na yanastahili kutokomezwa bila huruma..
Vita inaingia mwezi wa nne sasa. Mivifaru, midege ya kijeshi, mimeli ya kijeshi, jeshi zima lenye askari zaidi ya M2 na wengine wa akiba juu wameitwa kuongeza nguvu, plus na manowar za Marekani kuingilia kati na intelejensia za nchi zote mbili kufanya kazi pamoja Lakini wapi wameshindwa kuokoa mateka hata mmoja anaezuiliwa na vijana wasiozid elf 20, ambao hawana jeshi, hawana kifaru, hawana ndege ya kivita, meli wala silaha yoyote ya maana.

Na kaeneo kenyewe hata Kigamboni kubwa. Mpaka Biden anaamua kuomba suluhisho la nchi mbili baada ya CIA kumpa taarifa kuwa mivifaru yao na midege jumlisha ukubwa wa jeshi lao haviwezi kuwasaidia kushinda vita au kuokoa mateka hata mmoja. Hii vita inalivua taifa teule nguo mchana kweupe.
 
Israeli haiko kihivyo kama unavyoaminishwa na wavaa vipedo na misuli wenzako. Israeli inapigania sovereign yake.Huko Westbank, ni maeneo ya Israel kwa zaidi ya miaka elfu 3 iliyopita. Kabla ya hata jina Palestine kuwepo kwenye uso wa Dunia. Ikitokea Israeli imechukua eneo la mtu kama ilivyo Golan heights, inakuwa ni sababu ya usalama wake.
Wayahudi wa bonyokwa mna changamoto ya sana ya elimu.

Tazama ramani ya dunia ya kabla ya 1948 uone km utaona kwenye Ramani hio kuna nchi inaitwa ISRAEL.
Mbona nyie viumbe mtihani sana kuelewa?
Tunajua ISRAEL imeandikwa kwenye kitabu chenu kuwa nj taifa teule. Hata nchi nzima wakigeuka mashoga na wauwaji nyie kwenu wataendelea kuwa taifa teule no matter what.
Lkn kuweni na aibu japo kidogo mnapoandika huu utumbo hapa JF. manake ummah unawashangaa na kuzidi kuwapuuza kwa uongo na udhaifu wa elimu mnao uonyesha hapa.
Kuku maji wahed.
 
Wakati Israel inarudishwa kwenye ramani 1947/8 hizo nchi za kiarabu zilikuwa hazina chochote cha maana kwenye uchumi. Walikuwa wakiishi kwenye tents na kupanda ngamia. Hata Wasaudia huwa wanakiri hilo mara kwa mara tu
Walikiri wapi? Hebu tupe ushahidi ili tujiridhishe. Sio kila unaemuona humu umchukulie mla matango pori kama wewe. Wengine tuna akili zetu za kuhoji na kuhitaji facts haraka iwezekanavyo.

Halaf mada inazungumzia ushujaa wa waajemi sio waarab kwani waarab na wayahudi original (sio hawa wazungu kina Netanyahu) wote akili zao na uwezo wao wa kupembua mambo ni mmoja.
 
Vita inaingia mwezi wa nne sasa. Mivifaru, midege ya kijeshi, mimeli ya kijeshi, jeshi zima lenye askari zaidi ya M2 na wengine wa akiba juu wameitwa kuongeza nguvu, plus na manowar za Marekani kuingilia kati na intelejensia za nchi zote mbili kufanya kazi pamoja Lakini wapi wameshindwa kuokoa mateka hata mmoja anaezuiliwa na vijana wasiozid elf 20, ambao hawana jeshi, hawana kifaru, hawana ndege ya kivita, meli wala silaha yoyote ya maana.

Na kaeneo kenyewe hata Kigamboni kubwa. Mpaka Biden anaamua kuomba suluhisho la nchi mbili baada ya CIA kumpa taarifa kuwa mivifaru yao na midege jumlisha ukubwa wa jeshi lao haviwezi kuwasaidia kushinda vita au kuokoa mateka hata mmoja. Hii vita inalivua taifa teule nguo mchana kweupe.
Vita dhidi ya ugaidi siku zote huwa ni ngumu na itachukua muda mrefu. Hata mkubwa wa kazi Netanyahu alisema hilo wazi siku alipotangaza vita rasmi baada ya shambulizi la kigaidi Oct 7
 
Hizi stori zenu mnazodanganyana redio imani ni shida sana Israel inachopigania ni mipaka yake ilichorwa kwenye torati yao mahali walipoishi mababu zao kama Jerusalem, Judea and Samaria hana mpango na ardhi za waarabu ukimuona anashika ardhi za waarabu ni kuajili ya kujilinda TU kama Golan height na Gaza nafikiri ili Hamas wazimrushie rushie maroketi
Mipaka ilichorwa na TORATI unataka kusema Musa alikuwa ESTATE AGENT anagawa Ardhi kwa watu? [emoji1787]
Halafu cha ajabu mnaandika Uongo bila chembe ya aibu.
Kingine. Ikija kwenye issues za kudhulumu watu TORATI mnaikubali lkn kweny ISSUE za Nyie kuacha POMBE na Kula MBUZI KATOLIKI na Kutokula mali za watu bila Haki mnasema TORATI IMEPOTWA NA WAKATI.

Mkiendelea hivi Jahannam lzm muingie kwa speed kali.
 
Vita dhidi ya ugaidi siku zote huwa ni ngumu na itachukua muda mrefu. Hata mkubwa wa kazi Netanyahu alisema hilo wazi siku

wayahudi wenyewe wa israel wanasema nchi yao ni ya kigaidi au huelewi kiengereza ?? basi hata mchungaji wako haelewi ?? kampelekee akutafsirie usilitie aibu kanisa lako



 
Uelewa wako ni mdogo sana
Waarabu lazima amshukuru mzungu sababu ndo aliyemwambia haya mafuta ni fedha hii ni gas

Mwarabu alikua hajui kinachoendelea huku duniani
Nazungumzia jeshi la mtu mmoja (muajemi) kuzidhibiti karibu nchi zote unazoziona zina nguvu na teknolojia ya kisasa hapo mashariki ya kati ili zisijitanue kwa njia yoyote.

Waarab na hao wayahudi wako wote akili zao moja ndomaana wazungu aliamua kuja kuitumia nchi yao kama kichaka cha kuvamia nchi zingine kwa kujifanya eti na wao ni wayahudi kumbe wazungu tu wa Ulaya na wamethibitiwa wasiteke nchi hata moja.
 
Huo ni mtazamo wako, ila jumuiya ya kimataifa inatambua dola ya Israeli tangu ilipoundwa mwaka 1948.
Hata serikali ya kikoloni ya kingereza hapa Tanganyika ilikuwa inatambulika katika jumuiya ya kimataifa.

Hata serikali ya makaburu pia ilikuwa inatambulika katika jumuia ya kimataifa lakini hii haiondoi ukweli kwamba serikali hizo zilikuwa sio za raia halali wa nchi hizo. Hivyo Israel kutambuliwa na jumuia hiyo isikunye uamini kuwa ndio wenye nchi.
 
Miaka elfu iliyopita wewe umejuaje kama West bank ni eneo la Israel????
FB_IMG_1704607109583.jpg
 
ndio ilivyo, hata jordan na lebanon zinaweza kutwaliwa na israel. Cha msingi wakae kwa amani na huyo jirani yao wasiyompenda. Misri aliona hayo akaona isiwe taabu akaingia kwenye mkataba wa amani na israel wa camp david
Haya mambo ni makubwa kwako, pia hauwezi kuyasoma na ukayaelewa huku ukiwa na njaa.

Malizia kwanza kula ugali wako hapo kwenye profile yako, alaf urudi kusoma vizuri kilichoandikwa kwenye thread. Nina imani baada ya hapo utakuja na comment inayoeleweka.
 
Niaje waungwana

Baada ya wazungu kufanikiwa kuwaweka watu wao pale mashariki ya kati (Palestina + Israel), Plan ya pili ilikuwa ni kuwasaidia watu hao kujitanua kutoka nchi moja kwenda nchi nyingine kidogo kidogo, mpaka pale watapojikuta wamefanikiwa kujenga empire na kuzifikia zile nchi zenye uchumi mkubwa wa mafuta kama vile Saudi Arabia, Iraq, Iran nk.

Baada ya kufanikiwa kuzifikia nchi hizo, hatua ambayo ingefuata ni kutumia ukubwa wa empire yao kuvamia nchi moja moja. Na ingekuwa rahisi kwa sababu empire yao ingekuwa kubwa, plus misaada ya kijeshi kama vile silaha kubwakubwa kutoka Marekani na Ulaya, fedha za kuwasaidia kununua material mbali mbali ya kutengeneza silaha nk. Hivyo wangepiga nchi moja moja na kuchukua eneo lote la Mashariki ya kati lenye utajiri mkubwa wa mafuta, na kuhakikisha kuwa eneo lote linakuwa chini ya nchi hizo za magharibi kupitia mgongo wa Israel.

Waarabu haswa zile nchi zilizokuwa kwenye target kama vile Saudi Arabia, Oman nk wao hawakuwa na habari ya kile kinachoendelea au kinachopangwa kufanywa dhidi yao. Wao kikubwa washibe wali, watafune tende na kulaghaiwa kwa maneno matamu na serikali za Marekani, UK na nchi nyingine za magharibi.

Shida kubwa kwa viongozi wa nchi za magharibi ilikuwa ni namna gani wataweza kuidhibiti Iran ambayo haionekani kudhibitika. Wakitega mtego wa wali na tende kama walivyowategea waarab muajemi hakamatiki, wakitengeneza propaganda za kumdhoofisha muajemi hadhoofiki, wakimuwekea vikwazo ili kuuwa uchumi wake moja kwa moja, jamaa wanatumia njia nyingine kukwepa vikwazo na kuiingizia nchi yao hela za kufanya mambo yao kama kawaida. Kifupi jamaa waliwatia jasho viongozi wa magharibi awamu kwa awamu.

Kila raisi wa Marekani alipoingia alikuja na mbinu zake, mwisho wa siku muda wake unaisha bila mbinu zake kufanikiwa, anakuja raisi mungine, hivyo mpaka anatoka bila mabadiliko yoyote ya mafanikio. Hii ni toka miaka ya 70 mpaka leo waajemi wameshindikana, na kuwa tishio kubwa kwa mpango wao walioupanga miaka mingi.

Waajemi ambao wao kiasili sio waarab, waliliona hilo mapema kabla hata halijapangwa vizuri mezani. Wakajitaarisha mapema na chochote kitachotokea wadili nacho muda huo huo kabla ya kujitanua na kusabanisha madhara makubwa kwa nchi yao na majirani zao.

Na hapo ulitumika uzoefu walio nao miaka na miaka. Historia tena ya wazungu wenyewe inakubali kwamba Uajemi kabla ya kuzaliwa Yesu (BC), na kabla ya utawala wa waroma, waliwahi kuwa na empire (himaya) ambayo ilitawala sehemu kubwa huko Asia ikiwemo Israel ya leo. Hivyo hawa ni watu wenye nguvu, akili na uwezo mkubwa wa kujilinda toka maelfu ya miaka iliyopita. Leo hii ukitaja nchi ambazo ziliwahi kuwa na empire kubwa na zenye nguvu duniani basi yao pia himo.

Sasa basi, baada ya waajemi kugundua mipango hiyo, wakaanza kutafuta mbinu za kumdhibiti adui na wasaidizi wake.

Before Israel na Marekani hawajajiandaa kufanya mpango wa kuzivamia kwanza Lebanon, Syria nk, yeye muajemi akawawahi kwa kuwaweka vijana wenye silaha, mbinu za kijehi na misimamo ya kupigania ardhi zao pale pale karibu na mipaka ya Israel. Hivyo kuhakikisha kwamba kabla maadui hawajasogea huku kukamata nchi hizo za Syria, Lebanon na nchi yote ya Palestina, wadhibitiwe kwanza na vijana hao ambao wengi wao wameshatoboka roho, kufa kwao ni sehemu ya maisha tu (kama vile kula, kuoga, kuvaa au kwenda chooni) tofauti na askari wa Israel ambao wao wanaenda vitani, huku wakiwafikiria wake zao na watoto wao.

Na kweli mpango huo wa waajemi umesaidia kwa kiasi kikubwa kuzima ndoto za mataifa ya magharibi kuziteka na kuzikalia nchi hizo kama walivyopanga. Leo hii waarab wa Saudi Arabia ndo kama vile akili kwa mbaali zinaaza kuwaingia na kuanza kushirikiana na muajemi kidgo kidogo baada ya kupewa mchoro mzima wa kile kilichokuwa kinapangwa na wakorofi hao wa dunia.

Lakini pia pamoja na kuandaa vijana wa kuidhibiti Israel isijitanue kama ilivyopangwa, vilevile hawakutaka kuipa nafasi nchi yoyote adui asogelee anga lao, ndomaana kila Mmarekani alipojaribu kusogeza ndege zake na meli zake za kijeshi karibu na anga la waajemi zilishambuliwa zote na kuachwa majivu matupu.

Kwa namna hiyo ikabidi mmarekani na yeye aje na mbinu kama ya waajemi kwa kuweka watu wake mashariki ya kati ambao na wao watapambana kwa lengo la kulinda masilahi yao, na pengine kuangalia njia za kuwadhibiti vijana waliowekwa na waajemi.

Kundi hilo la kulinda masilahi ya Marekani likapewa jina la Alkaida, wakakusanywa kina Osama, wafuga ndevu mbali mbali na wale wafia dini ambao hawakuwa wanajua kinachoendelea katika mpango ule. Yani unakuta mfia dini na yeye anajiunga na alkaida kumuunga mkono Osama bila kujua kwamba Osama mwemyewe yupo kwenye mission zake.

Baada ya miongo kadhaa ya Osama na genge lake kuleta sintofahamu mashariki ya kati, na Osama kuonekana kuwa ameshachoka kuendelea na mission ile kutokana na umri, pia kupoteza mvuto kwa alkaida mashariki ya kati, ikabidi waamue kumrudisha Osama Marekani akaendelee na maisha yake ya kula bata na wajukuu zake kutokana na kazi kubwa aliyoifanya. Ila ili arudishwe Marekani na kuacha kuzungumziwa alipoendea ikabidi ipangwe ambush ya kutengeneza kifo chake ili asije akafuatiliwa tena waandishi habari ambao wengi wangetaka kujua alipo na operation ya mchongo ya Marekani kumtafuta imeshia wapi.

Osama akapangiwa kifo cha kutengenezwa waandishi wa habari walipotaka kuoneshwa maiti walizungushwa zungushwa na kukwepwa, walipotaka pia kuonesha angalau kaburi wakaambia amezikiwa baharini na picha likaishia hapo. Mpaka leo hakuna aliona maiti ya Osama wala kaburi lake. Lakini wale waliouwawa ki ukweli kama kina Ghadafi, Sadam Hussein na wengine wengi wa aina hiyo maiti zao zilionekana na makaburi yao yanajulikana yalipo.

Baadae likatengenezwa kundi lingine na kupewa jina la Islamic state ila makundi yote yanapoanzishwa yanapewa onyo kwamba yafanye uharibifu kote mashariki ya kati ili kutimiza lengo la kusogelea mipaka ya adui (Uajemi), ila wasijisahau wakaingia mpaka Israel kutengeneza maafa kwa ndugu wa wale waliowatuma. Hivyo hauwezi kukuta makundi hayo yana mpango wala wazo la kuvamia Israel kama wafanyavyo Hizbulla, Hamas na wengine ambao hawana deal na magharibi.

Muajemi sio sawa na Iraq au Libya kwamba utaenda kuivamia muda wowote. Ile haivamiliki kishamba, ndomaana Marekani na washirika wake waliweza kuzivamia Iraq, Libya, Vietnam, Syria, Cuba nk ambazo kimsingi hazijawahi kufanya uharibifu wowote kwa Marekani, lakini Muajemi ambae hufanya uharibifu mkubwa na sometimes mauaji kwa askari wa Marekani hawajawahi kuthubutu kuigusa, cause wanajua wakithubutu kuigusa nchi hizo zitakumbana na vita ambayo itasababisha hasara kubwa kwao, lakini muda huo wanajua Israel haitokuwepo tena katika ramani ya mashariki ya kati anymore, hivyo CIA na Mosad wanawaambia kabisa viongozi wao kuwa jamaa hawaingiliki hovyo hovyo, maana ni hatari na nusu. Ndomaana miaka yote wamekuwa wakifanya ambush tu za hapa na pale, lakini muajemi na yeye anajibu kwa kishindo na kwa madhara makubwa mno kwao.

Hilo ndio swala linalomfanya sasa hivi raisi wa Marekani akubali yaishe kwa kutaka kuundwa taifa lingine la Palestina, waisrael wabaki na sehemu yao waliobahatika kuiteka miaka hiyo. Maana amegundua kwamba ile mbinu waliokuwa wamepanga kamwe haitowezekana as long as Iran still Super Power katika eneo lao la Mashariki ya kati. Bila yenyewe sasa hivi nchi zote zingekuwa mikoa ya Israel na Marekani angetengeneza bomba la mafuta kutoka katika Saudia Arabia, Iran, Iraq, Syria liende hadi kwake. Halafu UK na wamagharibi wengine nao wajipendelee nchi zingine zilizobaki.

But ndo hivyo mission is impossible. Waarab wawashukuru sana waajemi kwa kuwalinda.

Nikishasoma mtu kuandika kua “Waisrael ni wazungu waliowaweka pale basi siwezi msikiliza Maana anaropoka hajui anachoongea”
 
Niaje waungwana

Baada ya wazungu kufanikiwa kuwaweka watu wao pale mashariki ya kati (Palestina + Israel), Plan ya pili ilikuwa ni kuwasaidia watu hao kujitanua kutoka nchi moja kwenda nchi nyingine kidogo kidogo, mpaka pale watapojikuta wamefanikiwa kujenga empire na kuzifikia zile nchi zenye uchumi mkubwa wa mafuta kama vile Saudi Arabia, Iraq, Iran nk.

Baada ya kufanikiwa kuzifikia nchi hizo, hatua ambayo ingefuata ni kutumia ukubwa wa empire yao kuvamia nchi moja moja. Na ingekuwa rahisi kwa sababu empire yao ingekuwa kubwa, plus misaada ya kijeshi kama vile silaha kubwakubwa kutoka Marekani na Ulaya, fedha za kuwasaidia kununua material mbali mbali ya kutengeneza silaha nk. Hivyo wangepiga nchi moja moja na kuchukua eneo lote la Mashariki ya kati lenye utajiri mkubwa wa mafuta, na kuhakikisha kuwa eneo lote linakuwa chini ya nchi hizo za magharibi kupitia mgongo wa Israel.

Waarabu haswa zile nchi zilizokuwa kwenye target kama vile Saudi Arabia, Oman nk wao hawakuwa na habari ya kile kinachoendelea au kinachopangwa kufanywa dhidi yao. Wao kikubwa washibe wali, watafune tende na kulaghaiwa kwa maneno matamu na serikali za Marekani, UK na nchi nyingine za magharibi.

Shida kubwa kwa viongozi wa nchi za magharibi ilikuwa ni namna gani wataweza kuidhibiti Iran ambayo haionekani kudhibitika. Wakitega mtego wa wali na tende kama walivyowategea waarab muajemi hakamatiki, wakitengeneza propaganda za kumdhoofisha muajemi hadhoofiki, wakimuwekea vikwazo ili kuuwa uchumi wake moja kwa moja, jamaa wanatumia njia nyingine kukwepa vikwazo na kuiingizia nchi yao hela za kufanya mambo yao kama kawaida. Kifupi jamaa waliwatia jasho viongozi wa magharibi awamu kwa awamu.

Kila raisi wa Marekani alipoingia alikuja na mbinu zake, mwisho wa siku muda wake unaisha bila mbinu zake kufanikiwa, anakuja raisi mungine, hivyo mpaka anatoka bila mabadiliko yoyote ya mafanikio. Hii ni toka miaka ya 70 mpaka leo waajemi wameshindikana, na kuwa tishio kubwa kwa mpango wao walioupanga miaka mingi.

Waajemi ambao wao kiasili sio waarab, waliliona hilo mapema kabla hata halijapangwa vizuri mezani. Wakajitaarisha mapema na chochote kitachotokea wadili nacho muda huo huo kabla ya kujitanua na kusabanisha madhara makubwa kwa nchi yao na majirani zao.

Na hapo ulitumika uzoefu walio nao miaka na miaka. Historia tena ya wazungu wenyewe inakubali kwamba Uajemi kabla ya kuzaliwa Yesu (BC), na kabla ya utawala wa waroma, waliwahi kuwa na empire (himaya) ambayo ilitawala sehemu kubwa huko Asia ikiwemo Israel ya leo. Hivyo hawa ni watu wenye nguvu, akili na uwezo mkubwa wa kujilinda toka maelfu ya miaka iliyopita. Leo hii ukitaja nchi ambazo ziliwahi kuwa na empire kubwa na zenye nguvu duniani basi yao pia himo.

Sasa basi, baada ya waajemi kugundua mipango hiyo, wakaanza kutafuta mbinu za kumdhibiti adui na wasaidizi wake.

Before Israel na Marekani hawajajiandaa kufanya mpango wa kuzivamia kwanza Lebanon, Syria nk, yeye muajemi akawawahi kwa kuwaweka vijana wenye silaha, mbinu za kijehi na misimamo ya kupigania ardhi zao pale pale karibu na mipaka ya Israel. Hivyo kuhakikisha kwamba kabla maadui hawajasogea huku kukamata nchi hizo za Syria, Lebanon na nchi yote ya Palestina, wadhibitiwe kwanza na vijana hao ambao wengi wao wameshatoboka roho, kufa kwao ni sehemu ya maisha tu (kama vile kula, kuoga, kuvaa au kwenda chooni) tofauti na askari wa Israel ambao wao wanaenda vitani, huku wakiwafikiria wake zao na watoto wao.

Na kweli mpango huo wa waajemi umesaidia kwa kiasi kikubwa kuzima ndoto za mataifa ya magharibi kuziteka na kuzikalia nchi hizo kama walivyopanga. Leo hii waarab wa Saudi Arabia ndo kama vile akili kwa mbaali zinaaza kuwaingia na kuanza kushirikiana na muajemi kidgo kidogo baada ya kupewa mchoro mzima wa kile kilichokuwa kinapangwa na wakorofi hao wa dunia.

Lakini pia pamoja na kuandaa vijana wa kuidhibiti Israel isijitanue kama ilivyopangwa, vilevile hawakutaka kuipa nafasi nchi yoyote adui asogelee anga lao, ndomaana kila Mmarekani alipojaribu kusogeza ndege zake na meli zake za kijeshi karibu na anga la waajemi zilishambuliwa zote na kuachwa majivu matupu.

Kwa namna hiyo ikabidi mmarekani na yeye aje na mbinu kama ya waajemi kwa kuweka watu wake mashariki ya kati ambao na wao watapambana kwa lengo la kulinda masilahi yao, na pengine kuangalia njia za kuwadhibiti vijana waliowekwa na waajemi.

Kundi hilo la kulinda masilahi ya Marekani likapewa jina la Alkaida, wakakusanywa kina Osama, wafuga ndevu mbali mbali na wale wafia dini ambao hawakuwa wanajua kinachoendelea katika mpango ule. Yani unakuta mfia dini na yeye anajiunga na alkaida kumuunga mkono Osama bila kujua kwamba Osama mwemyewe yupo kwenye mission zake.

Baada ya miongo kadhaa ya Osama na genge lake kuleta sintofahamu mashariki ya kati, na Osama kuonekana kuwa ameshachoka kuendelea na mission ile kutokana na umri, pia kupoteza mvuto kwa alkaida mashariki ya kati, ikabidi waamue kumrudisha Osama Marekani akaendelee na maisha yake ya kula bata na wajukuu zake kutokana na kazi kubwa aliyoifanya. Ila ili arudishwe Marekani na kuacha kuzungumziwa alipoendea ikabidi ipangwe ambush ya kutengeneza kifo chake ili asije akafuatiliwa tena waandishi habari ambao wengi wangetaka kujua alipo na operation ya mchongo ya Marekani kumtafuta imeshia wapi.

Osama akapangiwa kifo cha kutengenezwa waandishi wa habari walipotaka kuoneshwa maiti walizungushwa zungushwa na kukwepwa, walipotaka pia kuonesha angalau kaburi wakaambia amezikiwa baharini na picha likaishia hapo. Mpaka leo hakuna aliona maiti ya Osama wala kaburi lake. Lakini wale waliouwawa ki ukweli kama kina Ghadafi, Sadam Hussein na wengine wengi wa aina hiyo maiti zao zilionekana na makaburi yao yanajulikana yalipo.

Baadae likatengenezwa kundi lingine na kupewa jina la Islamic state ila makundi yote yanapoanzishwa yanapewa onyo kwamba yafanye uharibifu kote mashariki ya kati ili kutimiza lengo la kusogelea mipaka ya adui (Uajemi), ila wasijisahau wakaingia mpaka Israel kutengeneza maafa kwa ndugu wa wale waliowatuma. Hivyo hauwezi kukuta makundi hayo yana mpango wala wazo la kuvamia Israel kama wafanyavyo Hizbulla, Hamas na wengine ambao hawana deal na magharibi.

Muajemi sio sawa na Iraq au Libya kwamba utaenda kuivamia muda wowote. Ile haivamiliki kishamba, ndomaana Marekani na washirika wake waliweza kuzivamia Iraq, Libya, Vietnam, Syria, Cuba nk ambazo kimsingi hazijawahi kufanya uharibifu wowote kwa Marekani, lakini Muajemi ambae hufanya uharibifu mkubwa na sometimes mauaji kwa askari wa Marekani hawajawahi kuthubutu kuigusa, cause wanajua wakithubutu kuigusa nchi hizo zitakumbana na vita ambayo itasababisha hasara kubwa kwao, lakini muda huo wanajua Israel haitokuwepo tena katika ramani ya mashariki ya kati anymore, hivyo CIA na Mosad wanawaambia kabisa viongozi wao kuwa jamaa hawaingiliki hovyo hovyo, maana ni hatari na nusu. Ndomaana miaka yote wamekuwa wakifanya ambush tu za hapa na pale, lakini muajemi na yeye anajibu kwa kishindo na kwa madhara makubwa mno kwao.

Hilo ndio swala linalomfanya sasa hivi raisi wa Marekani akubali yaishe kwa kutaka kuundwa taifa lingine la Palestina, waisrael wabaki na sehemu yao waliobahatika kuiteka miaka hiyo. Maana amegundua kwamba ile mbinu waliokuwa wamepanga kamwe haitowezekana as long as Iran still Super Power katika eneo lao la Mashariki ya kati. Bila yenyewe sasa hivi nchi zote zingekuwa mikoa ya Israel na Marekani angetengeneza bomba la mafuta kutoka katika Saudia Arabia, Iran, Iraq, Syria liende hadi kwake. Halafu UK na wamagharibi wengine nao wajipendelee nchi zingine zilizobaki.

But ndo hivyo mission is impossible. Waarab wawashukuru sana waajemi kwa kuwalinda.

Ingekua ina hamu ya maendeo kwann ili rudisha Sinai??

Ardhi kubwa kuliko nchi yote ya israel
 
Back
Top Bottom