Bila Waajemi kuingilia kati, leo hii Syria, Lebanon, Palestina yote na sehemu kubwa ya Misri zingekuwa zimechukuliwa kwa nguvu na Israel

Let say hii abracadabra uliyoyiandika hapa ni kweli, kuna shida gani Israel kuichukua Misri?.
Ama zama za mwenye nguvu kuchukua chochote zimeshaisha?.
Wao walitumia nguvu kuua wenyeji wa Africa ya kaskazini, why dunia iwaonee huruma wao?.
 
Haihitaji udadisi kujua kwamba hamas ni magaidi na yanastahili kutokomezwa bila huruma..
Vita inaingia mwezi wa nne sasa. Mivifaru, midege ya kijeshi, mimeli ya kijeshi, jeshi zima lenye askari zaidi ya M2 na wengine wa akiba juu wameitwa kuongeza nguvu, plus na manowar za Marekani kuingilia kati na intelejensia za nchi zote mbili kufanya kazi pamoja Lakini wapi wameshindwa kuokoa mateka hata mmoja anaezuiliwa na vijana wasiozid elf 20, ambao hawana jeshi, hawana kifaru, hawana ndege ya kivita, meli wala silaha yoyote ya maana.

Na kaeneo kenyewe hata Kigamboni kubwa. Mpaka Biden anaamua kuomba suluhisho la nchi mbili baada ya CIA kumpa taarifa kuwa mivifaru yao na midege jumlisha ukubwa wa jeshi lao haviwezi kuwasaidia kushinda vita au kuokoa mateka hata mmoja. Hii vita inalivua taifa teule nguo mchana kweupe.
 
Wayahudi wa bonyokwa mna changamoto ya sana ya elimu.

Tazama ramani ya dunia ya kabla ya 1948 uone km utaona kwenye Ramani hio kuna nchi inaitwa ISRAEL.
Mbona nyie viumbe mtihani sana kuelewa?
Tunajua ISRAEL imeandikwa kwenye kitabu chenu kuwa nj taifa teule. Hata nchi nzima wakigeuka mashoga na wauwaji nyie kwenu wataendelea kuwa taifa teule no matter what.
Lkn kuweni na aibu japo kidogo mnapoandika huu utumbo hapa JF. manake ummah unawashangaa na kuzidi kuwapuuza kwa uongo na udhaifu wa elimu mnao uonyesha hapa.
Kuku maji wahed.
 
Wakati Israel inarudishwa kwenye ramani 1947/8 hizo nchi za kiarabu zilikuwa hazina chochote cha maana kwenye uchumi. Walikuwa wakiishi kwenye tents na kupanda ngamia. Hata Wasaudia huwa wanakiri hilo mara kwa mara tu
Walikiri wapi? Hebu tupe ushahidi ili tujiridhishe. Sio kila unaemuona humu umchukulie mla matango pori kama wewe. Wengine tuna akili zetu za kuhoji na kuhitaji facts haraka iwezekanavyo.

Halaf mada inazungumzia ushujaa wa waajemi sio waarab kwani waarab na wayahudi original (sio hawa wazungu kina Netanyahu) wote akili zao na uwezo wao wa kupembua mambo ni mmoja.
 
Vita dhidi ya ugaidi siku zote huwa ni ngumu na itachukua muda mrefu. Hata mkubwa wa kazi Netanyahu alisema hilo wazi siku alipotangaza vita rasmi baada ya shambulizi la kigaidi Oct 7
 
Mipaka ilichorwa na TORATI unataka kusema Musa alikuwa ESTATE AGENT anagawa Ardhi kwa watu? [emoji1787]
Halafu cha ajabu mnaandika Uongo bila chembe ya aibu.
Kingine. Ikija kwenye issues za kudhulumu watu TORATI mnaikubali lkn kweny ISSUE za Nyie kuacha POMBE na Kula MBUZI KATOLIKI na Kutokula mali za watu bila Haki mnasema TORATI IMEPOTWA NA WAKATI.

Mkiendelea hivi Jahannam lzm muingie kwa speed kali.
 
Vita dhidi ya ugaidi siku zote huwa ni ngumu na itachukua muda mrefu. Hata mkubwa wa kazi Netanyahu alisema hilo wazi siku

wayahudi wenyewe wa israel wanasema nchi yao ni ya kigaidi au huelewi kiengereza ?? basi hata mchungaji wako haelewi ?? kampelekee akutafsirie usilitie aibu kanisa lako



Your browser is not able to display this video.
 
Uelewa wako ni mdogo sana
Waarabu lazima amshukuru mzungu sababu ndo aliyemwambia haya mafuta ni fedha hii ni gas

Mwarabu alikua hajui kinachoendelea huku duniani
Nazungumzia jeshi la mtu mmoja (muajemi) kuzidhibiti karibu nchi zote unazoziona zina nguvu na teknolojia ya kisasa hapo mashariki ya kati ili zisijitanue kwa njia yoyote.

Waarab na hao wayahudi wako wote akili zao moja ndomaana wazungu aliamua kuja kuitumia nchi yao kama kichaka cha kuvamia nchi zingine kwa kujifanya eti na wao ni wayahudi kumbe wazungu tu wa Ulaya na wamethibitiwa wasiteke nchi hata moja.
 
Huo ni mtazamo wako, ila jumuiya ya kimataifa inatambua dola ya Israeli tangu ilipoundwa mwaka 1948.
Hata serikali ya kikoloni ya kingereza hapa Tanganyika ilikuwa inatambulika katika jumuiya ya kimataifa.

Hata serikali ya makaburu pia ilikuwa inatambulika katika jumuia ya kimataifa lakini hii haiondoi ukweli kwamba serikali hizo zilikuwa sio za raia halali wa nchi hizo. Hivyo Israel kutambuliwa na jumuia hiyo isikunye uamini kuwa ndio wenye nchi.
 
ndio ilivyo, hata jordan na lebanon zinaweza kutwaliwa na israel. Cha msingi wakae kwa amani na huyo jirani yao wasiyompenda. Misri aliona hayo akaona isiwe taabu akaingia kwenye mkataba wa amani na israel wa camp david
Haya mambo ni makubwa kwako, pia hauwezi kuyasoma na ukayaelewa huku ukiwa na njaa.

Malizia kwanza kula ugali wako hapo kwenye profile yako, alaf urudi kusoma vizuri kilichoandikwa kwenye thread. Nina imani baada ya hapo utakuja na comment inayoeleweka.
 

Nikishasoma mtu kuandika kua “Waisrael ni wazungu waliowaweka pale basi siwezi msikiliza Maana anaropoka hajui anachoongea”
 

Ingekua ina hamu ya maendeo kwann ili rudisha Sinai??

Ardhi kubwa kuliko nchi yote ya israel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…