Uchaguzi 2020 Bilionea Daniel Shilla wa CHADEMA atakiwa kuripoti polisi Ifakara baada ya kuandamana bila kibali

Uchaguzi 2020 Bilionea Daniel Shilla wa CHADEMA atakiwa kuripoti polisi Ifakara baada ya kuandamana bila kibali

Huyu ameanza kampeni kabla ya muda, hivyo atawekewa pingamizi na kutupwa kabla ya muda, sijui kwa nini hawa wapinzani hawasomi kanuni na sheria za uchaguzi.
 
Bilionea wa Chadema Nabii na mtume Daniel Daniel Shilla ametakiwa kuripoti kituo kikuu cha polisi wilayani Ifakara leo asubuhi.

Shilla ametia nia ya ubunge jimbo la Kilombero na jana alichukua fomu na kuzunguka na wapambe mjini humo.

Maendeleo hayana vyama!
Baba yake ni RPC.. ngoja tuone
 
Huyu ameanza kampeni kabla ya muda, hivyo atawekewa pingamizi na kutupwa kabla ya muda, sijui kwa nini hawa wapinzani hawasomi kanuni na sheria za uchaguzi.
Kutafuta wadhamini ni kampeni?
 
Bilionea wa Chadema Nabii na mtume Daniel Daniel Shilla ametakiwa kuripoti kituo kikuu cha polisi wilayani Ifakara leo asubuhi.

Shilla ametia nia ya ubunge jimbo la Kilombero na jana alichukua fomu na kuzunguka na wapambe mjini humo.

Maendeleo hayana vyama!
Bilionea wa CHADEMA?Maana yake ni nini,ungeweza kuandika vizuri tu,hakuna bilionea wa CHADEMA,CCM,ACT,TADEA,TLP wala cuf.Tutumie jukwaa vizuri,kizazi kisichokuwa na chuki wala uchonganishi ni faida kwa Taifa.
 
Bilionea wa CHADEMA?Maana yake ni nini,ungeweza kuandika vizuri tu,hakuna bilionea wa CHADEMA,CCM,ACT,TADEA,TLP wala cuf.Tutumie jukwaa vizuri,kizazi kisichokuwa na chuki wala uchonganishi ni faida kwa Taifa.
Hutaki,kameze wembe ndugu,ama kasage chupa umeze!!!
 
Jamani jamani shilla must be free
.[emoji23][emoji23][emoji23] pole sana

mbwembwe zote zile za nini kuchukua fomu tu, na maandamano hayaruhusiwi
mbona wengine wamechukua kwa utaratibu
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Bilionea wa Chadema Nabii na mtume Daniel Daniel Shilla ametakiwa kuripoti kituo kikuu cha polisi wilayani Ifakara leo asubuhi.

Shilla ametia nia ya ubunge jimbo la Kilombero na jana alichukua fomu na kuzunguka na wapambe mjini humo.

Maendeleo hayana vyama!
FB_IMG_1574277425198.jpg
 
Bilionea wa Chadema Nabii na mtume Daniel Daniel Shilla ametakiwa kuripoti kituo kikuu cha polisi wilayani Ifakara leo asubuhi.

Shilla ametia nia ya ubunge jimbo la Kilombero na jana alichukua fomu na kuzunguka na wapambe mjini humo.

Maendeleo hayana vyama!
Hii ya kuitwa pilisi ndio itampandisha chati na kumpa umaarufu zaidi kwani badala ya kujulikana na wana kilombero tu atajulikana nchi nzima.
 
Back
Top Bottom