ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Na bado policcm watachoka na kuanza kujihojiHii ndio tanzania bana, bwana mdogo ameasha anza kuundiwa zengwe asubuhi mapema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado policcm watachoka na kuanza kujihojiHii ndio tanzania bana, bwana mdogo ameasha anza kuundiwa zengwe asubuhi mapema
Na bado policcm watachoka na kuanza kujihojiHii ndio tanzania bana, bwana mdogo ameasha anza kuundiwa zengwe asubuhi mapema
Tena manjagu ndiyo walimsafisha kuwa siyo yeye aliyeituma ila hawajasema kuwa siyo yeye aliyekuwa anapiga mitiMbona Gwaji boy kamlaza muumini kifo cha mende ajakamatwa
Baba yake ni RPC.. ngoja tuoneBilionea wa Chadema Nabii na mtume Daniel Daniel Shilla ametakiwa kuripoti kituo kikuu cha polisi wilayani Ifakara leo asubuhi.
Shilla ametia nia ya ubunge jimbo la Kilombero na jana alichukua fomu na kuzunguka na wapambe mjini humo.
Maendeleo hayana vyama!
Kutafuta wadhamini ni kampeni?Huyu ameanza kampeni kabla ya muda, hivyo atawekewa pingamizi na kutupwa kabla ya muda, sijui kwa nini hawa wapinzani hawasomi kanuni na sheria za uchaguzi.
Bilionea wa CHADEMA?Maana yake ni nini,ungeweza kuandika vizuri tu,hakuna bilionea wa CHADEMA,CCM,ACT,TADEA,TLP wala cuf.Tutumie jukwaa vizuri,kizazi kisichokuwa na chuki wala uchonganishi ni faida kwa Taifa.Bilionea wa Chadema Nabii na mtume Daniel Daniel Shilla ametakiwa kuripoti kituo kikuu cha polisi wilayani Ifakara leo asubuhi.
Shilla ametia nia ya ubunge jimbo la Kilombero na jana alichukua fomu na kuzunguka na wapambe mjini humo.
Maendeleo hayana vyama!
Hutaki,kameze wembe ndugu,ama kasage chupa umeze!!!Bilionea wa CHADEMA?Maana yake ni nini,ungeweza kuandika vizuri tu,hakuna bilionea wa CHADEMA,CCM,ACT,TADEA,TLP wala cuf.Tutumie jukwaa vizuri,kizazi kisichokuwa na chuki wala uchonganishi ni faida kwa Taifa.
.[emoji23][emoji23][emoji23] pole sanaJamani jamani shilla must be free
Bilionea wa Chadema Nabii na mtume Daniel Daniel Shilla ametakiwa kuripoti kituo kikuu cha polisi wilayani Ifakara leo asubuhi.
Shilla ametia nia ya ubunge jimbo la Kilombero na jana alichukua fomu na kuzunguka na wapambe mjini humo.
Maendeleo hayana vyama!
Hii ya kuitwa pilisi ndio itampandisha chati na kumpa umaarufu zaidi kwani badala ya kujulikana na wana kilombero tu atajulikana nchi nzima.Bilionea wa Chadema Nabii na mtume Daniel Daniel Shilla ametakiwa kuripoti kituo kikuu cha polisi wilayani Ifakara leo asubuhi.
Shilla ametia nia ya ubunge jimbo la Kilombero na jana alichukua fomu na kuzunguka na wapambe mjini humo.
Maendeleo hayana vyama!