Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,527
- 5,762
Poleni sana, this is ccm bratha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni sana, this is ccm bratha
Ni bilionea wa Chadema?Hutaki,kameze wembe ndugu,ama kasage chupa umeze!!!
.[emoji23][emoji23][emoji23] pole sana
mbwembwe zote zile za nini kuchukua fomu tu, na maandamano hayaruhusiwi
mbona wengine wamechukua kwa utaratibu
this is ccm bratha ..sisi ndio wenye nchi lazima mfuate utaratibu.Kwel ujinga na ushamba ni mzigo mzto
Ni kufuata utaratibu tu bwashee!Bwashee hamtoacha kuweweseka
wewe ni ccm kuliko Nape au Kinana ?this is ccm bratha ..sisi ndio wenye nchi lazima mfuate utaratibu.
ccm is here to stay forever milele aminawewe ni ccm kuliko Nape au Kinana ?
Hiyo utaikuta kule kwa askofu Gwajima!Natafuta coment hapa ya DINI NA SIASA havichangamani.
Mbona juzi tumetoka kanisani kwende ibada ya ndoa na kuelekea ukumbini kwa msafara wa magari na matarumbeta. Mbona hajaitwa mtu kuwa kaandamana?Huyu ameanza kampeni kabla ya muda, hivyo atawekewa pingamizi na kutupwa kabla ya muda, sijui kwa nini hawa wapinzani hawasomi kanuni na sheria za uchaguzi.
Wakala wa nini?Maandamano yake yametishia kuiondoa Tanzania kwenye uchumi wa kati. Huyo ni wakala wa mabeberu!
Anafika na kutoka mzee wake RPCMagufuli ebu muachie Mara moja mtumishi wa Mungu
Shida ni kuwa jimbo hilo lilikuwa la mke, ooh sorry mkwe wa Ndugai yule aliye Angua kilio ubungeni utadhani kapapaswa makalio.Kutafuta wadhamini ni kampeni?
Kuna vitu vingine vya hovyo. Mbowe alichukua fomu bila màandamano..[emoji23][emoji23][emoji23] pole sana
mbwembwe zote zile za nini kuchukua fomu tu, na maandamano hayaruhusiwi
mbona wengine wamechukua kwa utaratibu
Crime ❌Nabii shilla is not a crime
Mbowe ameshachukua fomu?Kuna vitu vingine vya hovyo. Mbowe alichukua fomu bila màandamano.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app