Uchaguzi 2020 Bilionea Daniel Shilla wa CHADEMA atakiwa kuripoti polisi Ifakara baada ya kuandamana bila kibali

Uchaguzi 2020 Bilionea Daniel Shilla wa CHADEMA atakiwa kuripoti polisi Ifakara baada ya kuandamana bila kibali

Bilionea wa Chadema Nabii na mtume Daniel Daniel Shilla ametakiwa kuripoti kituo kikuu cha polisi wilayani Ifakara leo asubuhi.

Shilla ametia nia ya ubunge jimbo la Kilombero na jana alichukua fomu na kuzunguka na wapambe mjini humo.

Maendeleo hayana vyama!

Pia soma > Uchaguzi 2020 - Bilionea Nabii Shilla ajitosa kumkabili Lijualikali jimbo la Kilombero kupitia CHADEMA

viongozi wetu CCM wanavyoiogopa Chadema hadi mimi kichefuchefu!
 
Eti billionea! Mkulima huyu ndiyo unamtukuza hivo? Sijui umesona au huna elimu! Unamjua bilionea wewe? Haya tutajie hela aliyonayo hadi umuite jina hilo! Acha siasa za kishamba basi!
 
kama ni kweli mbona hata hiyo nafasi ya babayake itakuwa mashakani, compromising will be soln
huyo hapo
Screenshot_20200706-124136.jpg
 
Ccm bana yaani una-mpromote mtu pasina kujua😂, hapa hata waliokuwa hawamjua wamemjua. Jifunzeni kuzijua mbinu za watu na mjue namna ya kuzikontro.
 
Eti kwa sababu ni "mtumishi wa Mungu" basi ndio anajiona ana haki ya kuvunja sheria. Atulie akione cha mtema kuni sasa.
 
"Bilionea" anawakokota nyumbu kama yule Mzee wa Monduli, mwenyekiti wa saccoss najua kutambaa na fursa hizi.
 
Hii ndio tanzania bana, bwana mdogo ameasha anza kuundiwa zengwe asubuhi mapema
Muwage na akili ata kidogo, JPM mwenye kisu mwenyewe kachukua fomu kimyakimya na ndinga yake akasepa, wewe ndo ulete mbwembwe?
 
Back
Top Bottom