TANZIA Bilionea Ginimbi wa Zimbabwe afariki Dunia

Ndiyo hivyo mkuu kifo ulichopangiwa sio rahisi kuki escape hata uendeshe gari taratibu kiasi gani siku ikifika mzee you are gone, kwani atakua amekimbiza gari kwa mara ya kwanza itakua ni kawaida yake we angalia collection za gari zake ni za mwendo kasi so ni jambo la wakati tu,
 

Jaman hata hakuwa amelewa hivyo nimeona video akiwa ndio anaingia kwa gari aondoke akiwa mzima kabisa hata hajalewa
 
Hakuna cha God's plan .Waliambiwa aendeshe gari amelewa.Msinsingizie Mungu kwa vitu vya kujitakia.Kifo kinaepukika na sio kila kifo ni kazi ya Mungu.Unywe sumu useme siku yake ilifika ya nini
Unajua death formula wewee au umeamua kubisha tu
 
Hakuna cha God's plan .Waliambiwa aendeshe gari amelewa.Msinsingizie Mungu kwa vitu vya kujitakia.Kifo kinaepukika na sio kila kifo ni kazi ya Mungu.Unywe sumu useme siku yake ilifika ya nini
Unaweza kunywa sumu lakini pia usife unakubaliana nami? Ndiyo nasema sasa vifo vina formula kali na ni Mungu tu ajuae hilo
 
Pole zodwa na watoto! Pia familia ya mama mdogo moana na binti yake aliye muacha kijijini !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…