Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Walikua wanne, na wote walikufa. Lakini Ginimbi alitupwa nje ya gari kwasababu haku amefunga mkandaKuna waliopona ktk hiyo ajali!? Walikuwemo wangapi??
Mmbea mmeuleta so tujue kila kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikua wanne, na wote walikufa. Lakini Ginimbi alitupwa nje ya gari kwasababu haku amefunga mkandaKuna waliopona ktk hiyo ajali!? Walikuwemo wangapi??
Mmbea mmeuleta so tujue kila kitu.
Sasa nani hayupo karbu na zari akaishi milele..akili zingneMbona Zari akiwa na ukaribu nao wanakufa??
Mkuu ulikuepo kweny hyo contract?He sold his soul to the devil in exchange of money and power
Yeye ndo aliandaa huo mkataba wa jamaa kujiuza kwa devil
Basi nayeye atakwenda na maji tu[emoji3]Yeye ndo aliandaa huo mkataba wa jamaa kujiuza kwa devil
Kuna watu umbea ni ajira kwaoWatu wanajua mpaka sugamamy wake ni nani, mkewe ni nani, wanae ni akina nani, wanae wa kufikia ni akina nani, n.k.
Si ajabu wanajua hata saizi ya viatu alivyokuwa anavaa..
Kuna watu huwa wanajua sana kuhukumu wenzao.
Socialite kutoka pande za Zimbabwe, ambaye pia ni mfanyabiashara tajiri, Ginimbi, amepata ajali mbaya Siku ya leo na kufariki dunia hapo hapo.
Mfanyabiashara huyo pia alikuwa Karibu na Zari the bosslady, Ginimbi alipata ajali hiyo alipokuwa akielekea kwenye birthday pa
chukua tu mzigo kama unaupenda
nimeona dereva wa Honda fit kasurvive alafu majamaa wamevuta,ikifika siku yako hutoboi
![]()
![]()
this time wakaamua wambebe na ye mwenyewe, pesa hizi!FLAMBOYANT businessman and socialite, Genius ‘Ginimbi’ Kadungure, Tuesday lost his mother.
Ginimbi’s mother, Juliana was admitted at a clinic in Harare.
According to sources, she lost a battle with cancer.
The socialite confirmed news of his mother’s death in a post on his Twitter page.
“Today it’s one of my darkest days in my life, but who am I to question God. I did all things that money can buy, but this thing called Life it is only God that gives it. My mother, my world is now in heaven. RIP,” he wrote.
Around this same time last year, he buried his younger brother, Andrew whom he sent off in a top notch funeral attended by high profile figures.
**Jamaa alitoa mpaka wakaisha
Ginimbi ana mke anayeitwa Zodwa Mkandila ambaye wana watoto wawili,Mkewe pia ni mfanyabiashara mkubwa sana nchini zimbabwe ni CEO wa Traverze Travel ambayo alianzisha mwaka 2003 baada ya kuacha kazi ya receptionist.
Kwani ukiendeshwa ndio hufiJaman unakuwa na pesa kwanin usiendeshweena dereva ati
Duh,sawa wewe huwa sikupingiHana mtoto bwana. Huyo Zondwa alikuwa sugarmamy wake. Zondwa ndo ana watoto wakubwa mpaka wajukuu.
Icho kilichofichwa kwenye nyota MWENYEWE**** you.
Then die ur mother..
Pole Boss hata mi Trump hajbu text zanguDaaah!So sad huyu mchizi nilikuwa nachati naye insta.Kuna mchongo alitaka aniunganishe nao imeniuma kinoma yaaan.
Asante mkuu kwa niabaKapata ajali na Rolls Roys kagongana na gari 3 gari ikawaka moto....yaeekea alikua kasi sana na pengine pombe ilichangia.....R.I.P Don
Zodwa si yule dada anaechezaga na kamguu kamoja huku kaachia kichupi chake na ana msambwanda hivi, code ndiyo hizo au nimekoseaGinimbi ana mke anayeitwa Zodwa Mkandila ambaye wana watoto wawili,Mkewe pia ni mfanyabiashara mkubwa sana nchini zimbabwe ni CEO wa Traverze Travel ambayo alianzisha mwaka 2003 baada ya kuacha kazi ya receptionist.