RightInasemekana ni bilionea wa mchongo aliye chongwa na mwendakuzimu ili kushawishi wafanyabiashara kukubali kuingia eneo la ukuta wa mirerani....
Kwamba huamini kama jamaa hana HELA!?Inasemekana ni bilionea wa mchongo aliye chongwa na mwendakuzimu ili kushawishi wafanyabiashara kukubali kuingia eneo la ukuta wa mirerani....
Angekuwa na hizo bilioni angelalama kukosa umeme wakati generator kama zile anazouza Criss Lukosi zipo kibao??Kwamba huamini kama jamaa hana HELA!?
Du; mkuu umeisha wahi kufanya biashara? Tuanzie hapo kwanza.Angekuwa na hizo bilioni angelalama kukosa umeme wakati generator kama zile anazouza Criss Lukosi zipo kibao??
Alikuambia hana generator?Angekuwa na hizo bilioni angelalama kukosa umeme wakati generator kama zile anazouza Criss Lukosi zipo kibao??
Akili za kimasikini na kujikatia tamaa, kila tajiri ametoa kafara ya damu ndio nyie type.Inasemekana ni bilionea wa mchongo aliye chongwa na mwendakuzimu ili kushawishi wafanyabiashara kukubali kuingia eneo la ukuta wa mirerani....
Mijitu Mingine huwa Yakupuuzwa nduguDu; mkuu umeisha wahi kufanya biashara? Tuanzie hapo kwanza.
Bilionea wa mchongo, majenerata yapo mpaka ya 440KVA used Dar Kwa bei chini ya Tshs 100,000,000..Mwambie Laizer anaishi Africa, ups and down Africa ni kawaida sana due to our primitive ambao hata yeye pia anao..
Biashara yake ya uchimbaji kwa aina ile ya uchimbaji atahitaji Standby generator la zaidi ya 100KVa
Hata kama kwake ana ^jeni-leta,^ ndiyo kusema eti asiwatetee wananchi wa hali ya chini--wanyonge? Ama kweli ubinafsi Afrika mwisho Bahari ya Mediteraniani!Angekuwa na hizo bilioni angelalama kukosa umeme wakati generator kama zile anazouza Criss Lukosi zipo kibao??
Tanzania ina safari ndefu sana, kwa mtaji huu wa fikra mbututa!Bilionea wa mchongo, majenerata yapo mpaka ya 440KVA used Dar Kwa bei chini ya Tshs 100,000,000..
Umeme wa kutosha, kuendeshea shughuli zake na kijiji!
Yeye bilionea anashindwaje kuboresha biashara yake Kwa kujiongezea ufanisi!?
Inasemekana kwamba, kwa kauli yake hii, soon atanyang'anywa ^ubilionea!^Labda yeye atasikilizwa na huu utawala mbovu
Alafu hana hata hela ya kununulia jeneretaInasemekana ni bilionea wa mchongo aliye chongwa na mwendakuzimu ili kushawishi wafanyabiashara kukubali kuingia eneo la ukuta wa mirerani....
Inasemekana ni bilionea wa mchongo aliye chongwa na mwendakuzimu ili kushawishi wafanyabiashara kukubali kuingia eneo la ukuta wa mirerani....
Achana nae huyo,,hao si ndo wale watoto wachuo wamejaa humu JF wengi wao hawana uelewa wowote zaidi ushoga ushogaDu; mkuu umeisha wahi kufanya biashara? Tuanzie hapo kwanza.