JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Sasa wewe unazani billionaire anajificha?Inasemekana ni bilionea wa mchongo aliye chongwa na mwendakuzimu ili kushawishi wafanyabiashara kukubali kuingia eneo la ukuta wa mirerani....
Ushamtembelea ukaona jinsi alivyobadilika?
Teh guy is billionaire for real na sio mchongo.