Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Umeomaeeee?Huyu mchizi aliwahi uza ujiwe za matan 1.5 bil kwa arusha ni mtoto mdogo hizo kina sunda ,mathew,malapa wanapiga sanaa kila mwezi ...huyu ni mpenda sifa mwezi jana kuna muhuni kapiga bil 2 kakataa mavyombo vyombo
Huyu yupo kulinda kila kitu kilichopendwa na Jiwe.