Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hata Mimi nashangaa,Mwambie Laizer anaishi Africa, ups and down Africa ni kawaida sana due to our primitive ambao hata yeye pia anao..
Biashara yake ya uchimbaji kwa aina ile ya uchimbaji wala hata hahitaji Standby generator la zaidi ya 100KVa...
Offcourse watu wote tunapaswa kupaza sauti juu ya hili la umeme lakini in business lazima uwe flexible kuendana na mazingira ya KiaAfrica hata ikiwezekana wewe kusaidia jamii inayokuzunguka with simple solutions...
Kama kweli ni billionaire basi atakuwa mshamba sana huyo
Utalalamikaje na umeme wakati kwa utajiri wako unaweza kuwasha mji mzima?
Huyo inaonekana hata lile Jiwe alipewa tu aseme ni lake
🤣🤣🤣🤣 Hakuna umasikini mbaya kama wa kifikra ndio ambao tunao Tanzania huyo mtu anayesema hivyo utakuta anaishi kwa mama yake au kuna mjimama linamlea ndio hapo utashangaaHii ndo bongo hadi Marehemu anaonewa wivu. Bilionea anaitwa wa mchongo daah
Huyo hana wa kumsikililza maana alikuwa ni mtu wa jiweLabda yeye atasikilizwa na huu utawala mbovu
Mwenzako kaulizwa aliwahi kufanya biashara yoyoteAlafu hana hata hela ya kununulia jenereta
Hana hata uhalali wa kuitwa bilionea maana aliandaliwa kama chambo na baada ya hiyo misheni akatupwaEndelea kuamini hivyo, yawezekana ikawa ukweli but still haipingiki kuwa jamaa ni billionaire…. Tembea Arusha pengine utawaza tofauti na hizo hearsay.
Hivi huyo Chriss Lukosi ile michango ya rambirambi alirudisha?Angekuwa na hizo bilioni angelalama kukosa umeme wakati generator kama zile anazouza Criss Lukosi zipo kibao??
Kwanini tanesco walizuiwa wasitumie majenereta kuzalisha umeme au mafuta, pamoja na kwamba kuna hiyo mitambo ya Genereta ?Mchimbaji gani anategemea Tanesco na anaitwa bilionea!!!
[emoji2][emoji2][emoji2]
HanaAlikuambia hana generator?
Huyo ni product ya Jiwe aliingia jf makusudi kuharibu Threads zinazo ikosoa ccm au kumkosoa Jiwe.Sometimes nikisomaga maandishi ya namna hiyi ukweli hua naisikitikia sana nchi yangu, kwamba huyu nae alikwenda shule akasoma kabisa na huenda alifauru! Unaweza kudhani nchi ni kama ina laana aise; imagine hawa ndio future ya nchi yetu wana mawazo ya kijinga namna hi yaani
Nafikiri unatania tu mkuu, au ndo fikra zakoAhamishie shughuli za uchimbaji Sudan kama vipi. This is Tanzania bwana
Kama pesa kapewa haina shida, shida ni kama kajiita Bilionea bila pesa.Inasemekana ni bilionea wa mchongo aliye chongwa na mwendakuzimu ili kushawishi wafanyabiashara kukubali kuingia eneo la ukuta wa mirerani....
Duuu eti na huyu alifaulu kidato cha nne [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]