Sasa wewe unazani billionaire anajificha?Inasemekana ni bilionea wa mchongo aliye chongwa na mwendakuzimu ili kushawishi wafanyabiashara kukubali kuingia eneo la ukuta wa mirerani....
Acha chuki kwa St.FrancisAlafu jinga kama hilo unakuta limepata A St Fransis
Kumiliki generator ndio sign ya utajiri? Ina maana kwamba kwakuwa ni tajiri ndio hana haki ya kulalamika?Angekuwa na hizo bilioni angelalama kukosa umeme wakati generator kama zile anazouza Criss Lukosi zipo kibao??
Alikuambia hana generator?
Bilionea jamani😁😄Yeye kama nani
Hata kama kwake ana ^jeni-leta^ ndiyo kusema eti asiwatetee wananchi wa hali ya chini--wanyonge? Ama kweli ubinafsi Afrika mwisho Bahari ya Mediteraniani!
Unajua ulichoandika au?Inasemekana ni bilionea wa mchongo aliye chongwa na mwendakuzimu ili kushawishi wafanyabiashara kukubali kuingia eneo la ukuta wa mirerani....
Njoo uikalie basi uzidi kunenepa..punda wwUnajua ulichoandika au?
Hiyo inaonyesha uchawa wa kijinga ambao unao,
Na nyie ndo wasafisha viatu na wabeba vipochi n vibegi vya wahuni.
Huyu laiza ni mchimba rubi wa longido sasa wewe unadhai usiposema magufuli hutapata chakula kwa uchawa wako.
hapo sasa yan Mambo mengine yanatia hasira sana yaniAlafu jinga kama hilo unakuta limepata A St Fransis
Huyu ni Gabriel Laizer wa Ruby sio Saniniu Laizer wa Tanzanite. Usikurupuke elewa mada. Hawa ni watu wawili. Moja yupo na Tanzanite Mererani na Mwingine yupo na Ruby Longido.Inasemekana ni bilionea wa mchongo aliye chongwa na mwendakuzimu ili kushawishi wafanyabiashara kukubali kuingia eneo la ukuta wa mirerani....
Huyu mchizi aliwahi uza ujiwe za matan 1.5 bil kwa arusha ni mtoto mdogo hizo kina sunda ,mathew,malapa wanapiga sanaa kila mwezi ...huyu ni mpenda sifa mwezi jana kuna muhuni kapiga bil 2 kakataa mavyombo vyomboPumbaf wewe wacha kuwadanganya watu huyo Mmasaai hana cha ubilionea bali alitumika kama dekio tu .
Mimi niko hapa Arusha hana lolote zaidi ya kudanganywa na jiwe naye akaingia mkenge
Primitive comment.Mwambie Laizer anaishi Africa, ups and down Africa ni kawaida sana due to our primitive ambao hata yeye pia anao..
Biashara yake ya uchimbaji kwa aina ile ya uchimbaji wala hata hahitaji Standby generator la zaidi ya 100KVa...
Offcourse watu wote tunapaswa kupaza sauti juu ya hili la umeme lakini in business lazima uwe flexible kuendana na mazingira ya KiaAfrica hata ikiwezekana wewe kusaidia jamii inayokuzunguka with simple solutions...
Hawa jamaa hawawezi kwa kupinga pinga Kila kitu.Endelea kuamini hivyo, yawezekana ikawa ukweli but still haipingiki kuwa jamaa ni billionaire…. Tembea Arusha pengine utawaza tofauti na hizo hearsay.
Primitive comment.
tanzania kila kitu ni conspiracy theoryInasemekana ni bilionea wa mchongo aliye chongwa na mwendakuzimu ili kushawishi wafanyabiashara kukubali kuingia eneo la ukuta wa mirerani....