Bilionea Laizer aishukia Serikali kutokana na mgao wa umeme

Baada ya kupata hizo pesa amegeuka kuwa ni muwakilishi wa wananchi.
Hata kama kwake ana ^jeni-leta^ ndiyo kusema eti asiwatetee wananchi wa hali ya chini--wanyonge? Ama kweli ubinafsi Afrika mwisho Bahari ya Mediteraniani!
 
Inasemekana ni bilionea wa mchongo aliye chongwa na mwendakuzimu ili kushawishi wafanyabiashara kukubali kuingia eneo la ukuta wa mirerani....
Unajua ulichoandika au?
Hiyo inaonyesha uchawa wa kijinga ambao unao,
Na nyie ndo wasafisha viatu na wabeba vipochi n vibegi vya wahuni.

Huyu laiza ni mchimba rubi wa longido sasa wewe unadhai usiposema magufuli hutapata chakula kwa uchawa wako.
 
Unajua ulichoandika au?
Hiyo inaonyesha uchawa wa kijinga ambao unao,
Na nyie ndo wasafisha viatu na wabeba vipochi n vibegi vya wahuni.

Huyu laiza ni mchimba rubi wa longido sasa wewe unadhai usiposema magufuli hutapata chakula kwa uchawa wako.
Njoo uikalie basi uzidi kunenepa..punda ww
 
Inasemekana ni bilionea wa mchongo aliye chongwa na mwendakuzimu ili kushawishi wafanyabiashara kukubali kuingia eneo la ukuta wa mirerani....
Huyu ni Gabriel Laizer wa Ruby sio Saniniu Laizer wa Tanzanite. Usikurupuke elewa mada. Hawa ni watu wawili. Moja yupo na Tanzanite Mererani na Mwingine yupo na Ruby Longido.
 
Pumbaf wewe wacha kuwadanganya watu huyo Mmasaai hana cha ubilionea bali alitumika kama dekio tu .

Mimi niko hapa Arusha hana lolote zaidi ya kudanganywa na jiwe naye akaingia mkenge
Huyu mchizi aliwahi uza ujiwe za matan 1.5 bil kwa arusha ni mtoto mdogo hizo kina sunda ,mathew,malapa wanapiga sanaa kila mwezi ...huyu ni mpenda sifa mwezi jana kuna muhuni kapiga bil 2 kakataa mavyombo vyombo
 
Kwa hiyo huyo
Laizer siku hizi hapati Mahabali ya Tanzanite kisa mgao Wa umeme? Au kismati yake ilikuwa Jiwe?
 
Primitive comment.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…