Mtu Fodontino
JF-Expert Member
- May 9, 2021
- 351
- 558
Huyu siyo yule wa ukutaniInasemekana ni bilionea wa mchongo aliye chongwa na mwendakuzimu ili kushawishi wafanyabiashara kukubali kuingia eneo la ukuta wa mirerani....
kweli mnakazi..huyu siyo billionea wa Tanzanite bali wa rubby,,mbona hamsoni nakuelewa?Kama kweli ni billionaire basi atakuwa mshamba sana huyo
Utalalamikaje na umeme wakati kwa utajiri wako unaweza kuwasha mji mzima?
Huyo inaonekana hata lile Jiwe alipewa tu aseme ni lake
kweli mnakazi..huyu siyo billionea wa Tanzanite bali wa rubby,,mbona hamsoni nakuelewa?
Endelea kubwabwaja mpumbav wewe, utahitaj miaka 100 mbele kumfikia yeyeInasemekana ni bilionea wa mchongo aliye chongwa na mwendakuzimu ili kushawishi wafanyabiashara kukubali kuingia eneo la ukuta wa mirerani....
[emoji3064].wahuni wameanza Yao ,umefika home kwa laizer ,mijengo anayo miliki umeiona,!?,shule ya sec. aliyojenga umeiona !?. learn to learn to others.Inasemekana ni bilionea wa mchongo aliye chongwa na mwendakuzimu ili kushawishi wafanyabiashara kukubali kuingia eneo la ukuta wa mirerani....