Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Habari nilizozipata muda huu ni kwamba Mathias Manga, bilionea wa jiji la Arusha amefariki dunia.
Mfanyabiashara wa Arusha Mathias Manga, mmiliki wa Gold Crest Mwanza na Arusha, amefariki akiwa Afrika Kusini kwa matibabu
Pia, Soma=> Mfanyabiashara wa madini Mathias Manga, apigwa risasi(2015)