Ndo njia yetu sote tutapitia. Nikikumbuka kifo kasi ya Mbususu na kutafuta hela inapunguaNdio mipango ya Mwenyezi Mungu,Tusihofu wala kuhuzunika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo njia yetu sote tutapitia. Nikikumbuka kifo kasi ya Mbususu na kutafuta hela inapunguaNdio mipango ya Mwenyezi Mungu,Tusihofu wala kuhuzunika
Mmmh mkuu utakuwa wa kwanza duniani mwenye roho hiiMarehemu alinikopesha milioni mbili dah naipeleka kwa familia inauma sana
Ya Arusha-Moshi road ni Snow CrestHivi gold crest ni ile ipo mitaa ilipo kibo palace au ile ipo arusha moshi road??ambayo ipo kama imetelekezwa??majina yananichanganya
Hivi gold crest ni ile ipo mitaa ilipo kibo palace au ile ipo arusha moshi road??ambayo ipo kama imetelekezwa??majina yananichanganya
Mmmh mkuu utakuwa wa kwanza duniani mwenye roho hii
Kwa kweli. Ila tupige nyungu, wosia kuntu wa baba.
Gold crest ya Mwanza, au nyingine?Dah Mathias Manga alkua mtu poa sana This is sad news...mmiliki wa Gold Crest. Dah.RIP
Gold crest ya Mwanza, au nyingine?
Tusiache kumwomba Mungu kwani yeye ndie awapae hata hao watengeneza chanjo uhai
R.I.P Diwani wanguHuyu ni tajiri wa Tanzanite na mmiliki wa ile hoteli yenye ma issues, Golden Crest, Arusha, kwenye Moshi Arusha Rd.
P
Nyingine ipo mwanzaHivi gold crest ni ile ipo mitaa ilipo kibo palace au ile ipo arusha moshi road??ambayo ipo kama imetelekezwa??majina yananichanganya
Hiyo ya Ngulelo (Arusha _ Moshi Road) inaitwa Snow Crest.Hivi gold crest ni ile ipo mitaa ilipo kibo palace au ile ipo arusha moshi road??ambayo ipo kama imetelekezwa??majina yananichanganya
FRESHO ambae pia alikuwa kawekeza shinyanga?Iliyokua East Africa hotel zamani.
Matajiri wanasepa si mchezo,LaSwai mwenye kibo palace yeye tulikua nae msibani kwa fogo mwenzao mwingine aitwae FRESHO huko kijijini.
Mathias Manga, bilionea wa jiji la Arusha, na Diwani wa Kata ya Mlangarini Arumeru Magharibi (CCM),Ndio nani huyu bwashee?
RIP
Pole sanaDah Kaka yangu wa damu Ndugu yangu mpendwa tulipanga mengi kwenye msiba wa Baba miezi 2 tu imepita. Mungu ameamua.
Najua utaliza wengi Arusha na pale kijijini kwetu Manyire. Natangulia kukusubiri uletwe nikupumzishe.
Tangulia Kaka tangulia. Mungu ametenda.
Mkuu kuwa makini na wewe huko minjingu unapochoma mkaa unaona wenzako wanatanguliaPole ni Ndugu , Jamaa na marafiki.......Mabilionea wanazidi Kwisha.