Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ma-issues gani?Huyu ni tajiri wa Tanzanite na mmiliki wa ile hoteli yenye ma issues, Golden Crest, Arusha, kwenye Moshi Arusha Rd.
P
Snow crest siyo gold crestHuyu ni tajiri wa Tanzanite na mmiliki wa ile hoteli yenye ma issues, Golden Crest, Arusha, kwenye Moshi Arusha Rd.
P
Akikujibu nitagma-issues gani?
Mwaka jana mama alifariki, mwaka huu June Baba kafuata Na leo hii Kaka Matias kaenda. Mungu ni mwema.
Hahahahaha dah CCM wanatupeleka mbali sanaanDiwani wa "CCM"?
...kufwaa wote mamaee
Duh pole sana Kamanda! tushukuru kwa kila jamboMwaka jana mama alifariki, mwaka huu June Baba kafuata Na leo hii Kaka Matias kaenda. Mungu ni mwema.
Aliuzaga madini ya tz wakati fulaniHuyu ni tajiri wa Tanzanite na mmiliki wa ile hoteli yenye ma issues, Golden Crest, Arusha, kwenye Moshi Arusha Rd.
P
Ndio huyo mkuu,Ni Kaka yao na mwenye Co. Ya HARSHO na Ni kaka pia wa mmiliki wa co. Ya maji HILL WATER.FRESHO ambae pia alikuwa kawekeza shinyanga?
Golden Crest ipo Old Moshi Road mkuu. Iliyopo Moshi-Arusha Road ni Snow CrestHuyu ni tajiri wa Tanzanite na mmiliki wa ile hoteli yenye ma issues, Golden Crest, Arusha, kwenye Moshi Arusha Rd.
P
Mkuu kuwa makini na wewe huko minjingu unapochoma mkaa unaona wenzako wanatangulia
Mungu ametenda wakati ameuawa kwa mikono ya waovu?Dah Kaka yangu wa damu Ndugu yangu mpendwa tulipanga mengi kwenye msiba wa Baba miezi 2 tu imepita. Mungu ameamua.
Najua utaliza wengi Arusha na pale kijijini kwetu Manyire. Natangulia kukusubiri uletwe nikupumzishe.
Tangulia Kaka tangulia. Mungu ametenda.
Barakoa inazuia risasi?Kuanzia juzi walikuwa wanasema amefariki lakin naona leo maneno yamezidi....dah tuvae barakoa kwakweli