TANZIA Bilionea Mathias Manga afariki dunia

TANZIA Bilionea Mathias Manga afariki dunia

Dah nlipanga nimkope marehemu million 5 dah kifo hichi dah!! Kimeniaribia mipango yangu.
R.I.P aise..
 
Huyo alikuwa bilionea au milionea tu. Sifa za kubumba hizo. Mabilionea huwajui ? Wapo kama Kina kitano wanaomiliki makumi ya meli hao ndio matajiri. Mtu amiliki kihotel tena jengo la kukodi halafu awe bilionea ? Pole sana.
Kwanza haitwi Kitano anaitwa Kitana,Watu wa Kanda ya ziwa mnajua tajiri Ni yule tu anaemiliki meli za kubeba mizigo za tani 100 tu nje ya hapo hakuna tajiri 😄😄😄.Siku hizi ameacha kuwakata wavuvi mikono(carwash style) Kule visiwani?

Exposure Ni muhimu Sana.
 
Poleni sana kwa msiba, Mola awape pumizko lenye mwanga na Amani ya milele wote waliotangulia mbele ya haki. Ameen.

Tunaomba basi muwe mnatupia na picha!

Huu ni ulimwengu wa visual digital which means ni rahisi sana suluhisho kupatikana endapo tangible evidences zinakuwepo!

Tupieni visuals (be it vids or dig-pics) za nyumba nyingi tupu na uchache wa watu, pls.

Na kila msiba mnaohudhuria unaotokana na cv-19.

...
Wewe ni mwanafunzi wa research mwaka wa mwisho itakuwa unataka kufanya research ya population 😅😅😅 raw data.
 
Sasa kama mtu alishauza mawe zaidi ya B 15
Atakosaje kuwa bilionea
Au washazoea wale wanajianika mtandaoni 😂😂

Ova

Mbona uwa zinayayuka wanaanza kukopa kwa wanyonge

Unakuta mtu kweli alipata B 20 hata na zaidi lakini anapiga Simu umkope million tano au ni masharti ya kiganga
 
DUNIA INAUMIZA SANA
MTU KAMA HUYU AMEKYWA SAADA SANA KWA WATU WA ARUSHA ANAONDOKA YANABAKI MASHENZI DUNIAN DOH
RIP BR RAHA YA MILELE AKUPEE EE BWANA
Wale kina saba mbaya au dizaini hizo huwa hawafi..
Wanakufa watu soft hearted kbs
 
Utakuwa umerogwa wewe sio bure
Waelimisheni hawa watu maana hawafahamu chochote! Kuna watu walikuja na BAIBUI tu! KANZU pamoja na MAKOBAZI kuja kufanya biashara za watu kipindi cha UJAMAA na UHUJUMU UCHUMI.

Halafu hawa watu huwa sio WAARABU! Ni WAJERUMANI 🇩🇪 na WAITALIANO 🇮🇹 ndio wanaofanya biashara kwa niaba ya WATANZANIA WEUSI na hii ilikuwa inafanyika tangu kipindi cha UJAMAA na UHUJUMU UCHUMI.

Kwahiyo hawa wote mnaowaona iwe ni WAHINDI, WAARABU na WAZUNGU ni wafanyakazi tu ambao wanafanya biashara kwa niaba ya WATANZANIA WEUSI.

Na haya makosa huwa pia yanafanyika SERIKALINI kipindi cha kukusanya MAPATO na KODI au ikitokea kampuni imepata matatizo yoyote, mara nyingi huwa wanawajibishwa WAFANYAKAZI [ WAKURUNGENZI ] ambao huwa sio WAMILIKI HALALI WA KAMPUNI.

Na hii huwa inatokea mara nyingi sana, lakini tatizo kubwa huwa ni kukosa taarifa sahihi yaani WAINGEREZA 🇬🇧 wanasema ni "LACK OF INFORMATION" za wahusika.

Hata IKULU YA TANZANIA 🇹🇿 huwa wanaita WAFANYA BIASHARA ambao sio sahihi, wale huwa ni WAFANYAKAZI tu lakini huwa sio WAMILIKI HALALI WA MAKAMPUNI.

Na hii inatokea mara nyingi sana kwenye kampuni za MeTL! Kampuni za SUPERGROUP! Kampuni za LAKE OIL! Hata MKURUNGENZI wa kampuni ya FRESHO alishawahi kuitwa IKULU na ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️! Lakini WAKURUNGENZI huwa ni WAFANYAKAZI tu kama WAFANYAKAZI wengine, kinachotakiwa ni kufahamu WAMILIKI HALALI WA MAKAMPUNI na hawa ndio huwa wanapaswa kuwajibika na chochote kinachohusu KAMPUNI.
 
Dah Kaka yangu wa damu Ndugu yangu mpendwa tulipanga mengi kwenye msiba wa Baba miezi 2 tu imepita. Mungu ameamua.

Dini zilitujaza upumbavu kupindukia.

Ingekuwa Ulaya familia ingetoa statement za kukomalia mhalifu akamatwe.

Afisa wa Ubalozi nchini Uingereza aligonga baiskeli ya mtoto na na kuua, akakimbilia kwao Marekani. Wazazi wamekomaa mpaka dunia inaenda kubadilisha Vienna Protocals ili kusudi balozi akamatwe arudishwe Uingereza kujibu mashtaka ya kuua kizembe zembe. Bahati mbaya lakini uzembe!

Huku kwetu jitu linachapa mwenzake risasi ya shingo, ndugu wa damu wa marehemu anakuja JF anasema Mungu aliamua.

Dini potofu na shule dhaifu.
 
Back
Top Bottom