TANZIA Bilionea Mathias Manga afariki dunia

TANZIA Bilionea Mathias Manga afariki dunia

Sasa hivi SHIRECU wamebakiza malori yale yaliyo chokachoka, wakati wanaume tunakufungia vipuri 1561. Hiyo ni BLUE COAST pekee yake bado hujagusa SIMBA LOGISTICS ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ wakina Sulla waliimaliza kabisa SHIRECU.
 
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ Chuga matajiri wa huko wanaowajua Ni wakina Fresho,Gaki,Jambo,Phantom(zamani) na wengine wachache,wengine waliobaki wao wanawaona Ni waganga njaa tu.
Hao wote ni wafanyakazi tu! Na PHANTOM alikuwa anashika mali za wafanyakazi wa SHIRECU na hata huo mgodi wa EL HILAL DIAMOND MINE ni mgodi wa aliyekuwa mfanyakazi wa SHIRECU na nadhani kwa miaka ya hivi karibuni wataanza kuundesha wenyewe.
 
Ww Victoire toka utuambie Magu anaelekea kupata nafuu ghafla tukaambiwa amebinuka sikuamini tena......
pia alisema babu tale hatoshinda ubunge na akasema tale amemtoa kafara mkewe....tale akashinda ubunge alipoulizwa akasema hajashinda kihalali bali kapendelewa tu na magufuli si unakumbuka uchafuzi mkuu wa mwaka 2020 chini ya jiwe
 
Mwenye NDEGESELA alikuwa ni mfanyakazi wa TRA - SHINYANGA, kipindi hicho alibeba milioni mia tano [ 500,000,000 ] na hii ilikuwa ni mwaka 1999.
Nasikiaga wanasema Ndegesela Ni darasa 7, sasa huko TRA sijui alifanya kazi kwa qualifications zipi?
 
Nasikiaga wanasema Ndegesela Ni darasa 7, sasa huko TRA sijui alifanya kazi kwa qualifications zipi?
Hakuna zari la mentali! NDEGESELA na yeye ni mfanyakazi tu pale na anafanyika kama bosheni lakini mwenye mali yupo.

Mwenye mali ukifika pale kiwandani unaweza ukamuona kwenye upande wa mahesabu.

Yaani mwenye kampuni ya NDEGESELA alikuwa ni mfanyakazi wa TRA - SHINYANGA na alikuwa upande wa uhasibu.

Na ndio yule jamaa kipindi cha MAGUFULI alikutwa na shilingi BILIONI TANO kwenye PERSONAL ACCOUNT yake.
 
Da kumbe na mzee wake alishiatangulia...kipindi flani tulikuwa na kazi katika kijiji cha manyire, jioni yake akatupa bia kwenye bar yake...mtu simple saana...huwezi jua ana mtoto kizito sana...wapumzike kwa amani
 
Back
Top Bottom