TANZIA Bilionea Mathias Manga afariki dunia

TANZIA Bilionea Mathias Manga afariki dunia

Arusha na Kilimanjaro kunani wazee...!! Maana mnamfata mwendazake Kwa speed ya 5G mpaka sio poa
Kitimoto na pombe...leads to body inflammation, na watu wa huko nafikiri unawajua kwenye nguruwe na pombe. So wengi wana underlying conditions, corona inacheza nao.
 
Kwani alilazwa muda mrefu ?Maana Pulmonanry embolism inatokana na thrombosis ikifanikiwa kufika kwenye mapafu. Na Thrombosis (damu kuganda huwapata watu waliolala tu.Watu ambao hawapo active. Hasa wagonjwa wa Corona wanaokaa hospital muda mrefu ndo maana wanapewa Lovenox n.k
Wanasema chanjo poa inaleta thrombosis
 
Wanaoishi NH Arusha mitaa ya nyuma za ofisi za ccm ngarenaro bila shaka watakuwa wanafahamu kasiri laki alilokuwa anaishi.

Nakumbuka mfanya usafi wa pale kipindi nikiwa mdogo kwa mara ya mwisho nimemuona jamaa anamuendesha Marehemu .Huyu hasemwi vizuri kwa sababu amekufa la hasha jamaa alikuwa mtu mwenyewe roho ya kipekee

Pia alipishana na serikali ya mwendazake kilichomkuta watu wa sakina wanaelewa nini kilitokea kwenye jengo lake ambalo lingekuwa na ghorofa refu kwa kanda ya kaskazini
Alipishana nini na Mwendazake?
 
Ila hawa matajiri wa Arusha na Kilimanjaro wanafahamiana wao tu!

Toka lini huyu jamaa amekuwa mmiliki halali wa Gold Crest na Snow Crest?

Hizi hoteli za Gold Crest na Snow Crest ni hoteli za SERIKALI zinazomilikiwa na PSSSF.

Huyo jamaa alikuwa amepanga tu humo! Yaani alikuwa ni kama MPANGAJI lakini BABA MWENYE NYUMBA yupo.
 
FRESHO ambae pia alikuwa kawekeza shinyanga?
Iliyokua East Africa hotel zamani.

Matajiri wanasepa si mchezo,LaSwai mwenye kibo palace yeye tulikua nae msibani kwa fogo mwenzao mwingine aitwae FRESHO huko kijijini.
Ila nyie watu wa ARUSHA na KILIMANJARO mna matatizo! Mimi ndio FRESHO na kila siku nafanya mazoezi pale JOSHONI! Yule aliyefariki alikuwa ni mfanyakazi wangu.
 
Arusha kila mfanyabiashara mkubwa wa madini anaitwa bilionea hatakama hana USD 1billion yaani Tsh trilioni 2.3
 
Back
Top Bottom