Uje arusha, tuhudhurue msibaRest well Mathias
Pole kwa familia na wote walioguswa na msiba huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uje arusha, tuhudhurue msibaRest well Mathias
Pole kwa familia na wote walioguswa na msiba huu
Huyu nwamba ashakuwaga green guard kumbe?!
Wacha uwongo! Lini ulitafuta jeneza Moshi ukakosa?Hadi majeneza moshi yameadimika, Sahiv majeneza yanatoka mkoani kuja moshi
Pia ipo ya hapa Mwanza sijui nayo ilikuwa yake.. RIP
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Asante kiongozi,mwamba kaondoka aseeTupo tu mzee,mpela mpela tu
Poleni sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ww Victoire toka utuambie Magu anaelekea kupata nafuu ghafla tukaambiwa amebinuka sikuamini tena......
Ndio nakaribia arusha sasa. Asubuhi tutakua pamojaUje arusha, tuhudhurue msiba
Siyo Pulmonary embolismNani amekuambia amepigwa risasi ?alikuwa na shida za mapafu ( Pulmonary embolism). risasi alipigwa mwaka 2016 na watu wasiojulikana
Ni Nini mkuu?Siyo Pulmonary embolism
Tutafutane, msiba ni kufarijiana... HahahahahaNdio nakaribia arusha sasa. Asubuhi tutakua pamoja
Dah, maisha haya wacha tu jamani.
Habari nilizozipata muda huu ni kwamba Mathias Manga, bilionea wa jiji la Arusha amefariki dunia.
Pia, Soma=> Mfanyabiashara wa madini Mathias Manga, apigwa risasi(2015)
Gold Crest ya pale mwanza?Dah Mathias Manga alkua mtu poa sana This is sad news...mmiliki wa Gold Crest. Dah.RIP