Ngorunde
Platinum Member
- Nov 17, 2006
- 4,672
- 9,806
Unaomboleza kama wanyakyusa.Dah Kaka yangu wa damu Ndugu yangu mpendwa tulipanga mengi kwenye msiba wa Baba miezi 2 tu imepita. Mungu ameamua.
Najua utaliza wengi Arusha na pale kijijini kwetu Manyire. Natangulia kukusubiri uletwe nikupumzishe.
Tangulia Kaka tangulia. Mungu ametenda.
Pole sana mkuu...Mungu akupe ujasiri.