Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,894
- 1,622
Jamaa kafia South Africa, alikua anaumwa alienda kutibiwa huko
Aliumwa nini babaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa kafia South Africa, alikua anaumwa alienda kutibiwa huko
Ameumwa mda kiasi sema alikua anapambana na matibabu....huyu ni mtu na nusu kwangu 2010 nimepata rizki sana kwake,rip matias wa manga gemsKuna mtu amesema watu wa hali ya chini Hawafi?
Kwani alilazwa muda mrefu ?Maana Pulmonanry embolism inatokana na thrombosis ikifanikiwa kufika kwenye mapafu. Na Thrombosis (damu kuganda huwapata watu waliolala tu.Watu ambao hawapo active. Hasa wagonjwa wa Corona wanaokaa hospital muda mrefu ndo maana wanapewa Lovenox n.kNani amekuambia amepigwa risasi ?alikuwa na shida za mapafu ( Pulmonary embolism). risasi alipigwa mwaka 2016 na watu wasiojulikana
Dah 😢, vifo hivi. Halafu bado alikuwa anadai maana umri sio kivileeeAmeumwa mda kiasi sema alikua anapambana na matibabu....huyu ni mtu na nusu kwangu 2010 nimepata rizki sana kwake,rip matias wa manga gems
Mkuu kijijini kwetu watu wamebakia wachache sana, nyumba nyingi kuliko watu, na nyingi zipo tupu
Namkumbuka alikuwa awabani wafanyakazi enzi za barcelona na man u hatar sanaAmeumwa mda kiasi sema alikua anapambana na matibabu....huyu ni mtu na nusu kwangu 2010 nimepata rizki sana kwake,rip matias wa manga gems
Aisee pole Sana mkuu,haya mambo ya mitandaoni mnaweza kutukanana kumbe mnajuana.Ni kweli kabisa, hata mimi nilihudhuria. Tujipe pole.
Na kupanga hapo sio mchezo Ni mwendo wa kulipia tu kwa Square metre in Dollars.Majengo hayo Mali ya PSSSF yeye alikuwa mkodishaji tu
Ni kweli aliwasitiri sana mifukoNa kupanga hapo sio mchezo Ni mwendo wa kulipia tu kwa Square metre in Dollars.
Hopefully atakua na succession plan.Ni kweli aliwasitiri sana mifuko
Mwaka jana mama alifariki, mwaka huu June Baba kafuata Na leo hii Kaka Matias kaenda. Mungu ni mwema.
Kafara limekataa!
Habari nilizozipata muda huu ni kwamba Mathias Manga, bilionea wa jiji la Arusha amefariki dunia.
Watanzania kuna laana imewaingia japo mnaona mpo sawaArusha na Kilimanjaro kunani wazee...!! Maana mnamfata mwendazake Kwa speed ya 5G mpaka sio poa
Thrombosis (damu kuganda huwapata watu waliolala tu.
Arusha- Moshi ni Snow Crest.Hivi gold crest ni ile ipo mitaa ilipo kibo palace au ile ipo arusha moshi road??ambayo ipo kama imetelekezwa??majina yananichanganya
Unanikumbusha enzi hizo kila mwenye gari anaitwa tajiriArusha mtu hata akiuza gesi kwa jumla anaitwa bilionea wakati ni distributor tu
Ww Victoire toka utuambie Magu anaelekea kupata nafuu ghafla tukaambiwa amebinuka sikuamini tena......Kwani alilazwa muda mrefu ?Maana Pulmonanry embolism inatokana na thrombosis ikifanikiwa kufika kwenye mapafu. Na Thrombosis (damu kuganda huwapata watu waliolala tu.Watu ambao hawapo active. Hasa wagonjwa wa Corona wanaokaa hospital muda mrefu ndo maana wanapewa Lovenox n.k
Matunda ya story za Kigogo hayo.Ww Victoire toka utuambie Magu anaelekea kupata nafuu ghafla tukaambiwa amebinuka sikuamini tena......