emavalery
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 628
- 1,243
HahahahaArusha mtu hata akiuza gesi kwa jumla anaitwa bilionea wakati ni distributor tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaArusha mtu hata akiuza gesi kwa jumla anaitwa bilionea wakati ni distributor tu
Bado bossHajamaliza
Hawa jamaa nimepiga nao mishe Abdillah Soro akiwa anaishi Njoro Moshi na Sunda akiwa Araa duu yaani Mimi giza Totoro wao walishatoboa kitambo Mimi nabangaiza kweli maisha ni safariKigogo pale sasa amebaki sunda au vijana wa abdilai soro
Sio Shaba? Kuna MTU amesema kauawa na watu waovu.Delta is fucking ..... day and night all four ways moth.erfucker
Hata Ile ya Mwanza pale PPF plaza si ni ya kwake?Huyu ni tajiri wa Tanzanite na mmiliki wa ile hoteli yenye ma issues, Golden Crest, Arusha, kwenye Moshi Arusha Rd.
P
Arusha na Kilimanjaro kunani wazee...!! Maana mnamfata mwendazake Kwa speed ya 5G mpaka sio poa
Ni tajiri wa vitu na roho, ameinua wafanyakazi wako wote ni mamilionea Arusha na MoshiNdio nani huyu bwashee?
RIP
Pole mkuuDah Kaka yangu wa damu Ndugu yangu mpendwa tulipanga mengi kwenye msiba wa Baba miezi 2 tu imepita. Mungu ameamua.
Najua utaliza wengi Arusha na pale kijijini kwetu Manyire. Natangulia kukusubiri uletwe nikupumzishe.
Tangulia Kaka tangulia. Mungu ametenda.
Karibu na madini, au Kibo palace, ya Moshi road ni Snow crestHivi gold crest ni ile ipo mitaa ilipo kibo palace au ile ipo arusha moshi road??ambayo ipo kama imetelekezwa??majina yananichanganya
Hongera kwa uaminifuMarehemu alinikopesha milioni mbili dah naipeleka kwa familia inauma sana
Duuh hii kali fafanua plsMungu ametenda wakati ameuawa kwa mikono ya waovu?
Pole sana kwa msiba wa nduguyo.
Pole sana MkuuDah Kaka yangu wa damu Ndugu yangu mpendwa tulipanga mengi kwenye msiba wa Baba miezi 2 tu imepita. Mungu ameamua.
Najua utaliza wengi Arusha na pale kijijini kwetu Manyire. Natangulia kukusubiri uletwe nikupumzishe.
Tangulia Kaka tangulia. Mungu ametenda.
Vipi kwa Gold Crest Ya Home town- Mwanza Mkuu?Ni ya Kwake pia??Huyu ni tajiri wa Tanzanite na mmiliki wa ile hoteli yenye ma issues, Golden Crest, Arusha, kwenye Moshi Arusha Rd.
P
Huyu ni tajiri wa Tanzanite na mmiliki wa ile hoteli yenye ma issues, Golden Crest, Arusha, kwenye Moshi Arusha Rd.
P
Mwaka jana mama alifariki, mwaka huu June Baba kafuata Na leo hii Kaka Matias kaenda. Mungu ni mwema.