TANZIA Bilionea Mathias Manga afariki dunia

TANZIA Bilionea Mathias Manga afariki dunia

Msh
Mshaanza kujadili urithi ajazikwa kha
Mkuu vipi zile apartments za Erasto Msuya nanibkazirithi
Hawa jamaa nimepiga nao mishe Abdillah Soro akiwa anaishi Njoro Moshi na Sunda akiwa Araa duu yaani Mimi giza Totoro wao walishatoboa kitambo Mimi nabangaiza kweli maisha ni safari
Toa kafara wapendwa wako
 
Mkuu kuna mahali hujaelewa, Arusha kuna Snow Crest iliopo njia ya kuelekea Tengeru, pia Kuna Golden Crest ambayo kipindi cha nyuma ilikuwa inaitwa East Africa Hoteli ipo Jirani na Kibo Palace mtaa wa uzunguni.
Upo sahihi, Golden Crest ni ya Marehemu Mathias Manga

Snow Crest ni ya Marehemu Mzee Mollel nae kafariki mwaka huu huu
 
Kwani alilazwa muda mrefu ?Maana Pulmonanry embolism inatokana na thrombosis ikifanikiwa kufika kwenye mapafu. Na Thrombosis (damu kuganda huwapata watu waliolala tu.Watu ambao hawapo active. Hasa wagonjwa wa Corona wanaokaa hospital muda mrefu ndo maana wanapewa Lovenox n.k
Amekaa hospital muda kidogo ...
 
Wanaoishi NH Arusha mitaa ya nyuma za ofisi za ccm ngarenaro bila shaka watakuwa wanafahamu kasiri laki alilokuwa anaishi.

Nakumbuka mfanya usafi wa pale kipindi nikiwa mdogo kwa mara ya mwisho nimemuona jamaa anamuendesha Marehemu .Huyu hasemwi vizuri kwa sababu amekufa la hasha jamaa alikuwa mtu mwenyewe roho ya kipekee

Pia alipishana na serikali ya mwendazake kilichomkuta watu wa sakina wanaelewa nini kilitokea kwenye jengo lake ambalo lingekuwa na ghorofa refu kwa kanda ya kaskazini
 
Sure, moshi hapafai. Mortuary zimejaa, na majeneza hamna,
Mafundi Sahiv wanafanya kazi usiku na na mchana.
Nilikuwa kule wiki mbili nimejionea kwa macho
Wakinga mna tabu sana kufa ni ibada. Pia usisahau wachaga huwa wanazikwa kwao hivyo dunia nzima usitegemee ukienda moshi utakuta mchaga mmoja kafariki..
 
Mmmh mkuu utakuwa wa kwanza duniani mwenye roho hii
Sio kweli watu wanalipa labda kama haupo dunia hii mimi nimeona misiba mingi tena miaka ya nyuma kidogo mtu anaedai wengine hawajaandikishana wanapeleka hela kwa kuita kikao na familia hata wanaodai pia wanalipwa...maisha yanaendelea fedha sio kila kitu..
 
Back
Top Bottom