Kwa iyo baby umefurahia sisi kufa kwa wingi??!Sure, moshi hapafai. Mortuary zimejaa, na majeneza hamna,
Mafundi Sahiv wanafanya kazi usiku na na mchana.
Nilikuwa kule wiki mbili nimejionea kwa macho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa iyo baby umefurahia sisi kufa kwa wingi??!Sure, moshi hapafai. Mortuary zimejaa, na majeneza hamna,
Mafundi Sahiv wanafanya kazi usiku na na mchana.
Nilikuwa kule wiki mbili nimejionea kwa macho
Ni duniani kote vifo vimekuwa vingi isivyo kawaida. Maisha yamepotea sana. Nashangaa aliyepaswa kulaumiwa mchina yupo yupo tu.Inasikitisha Sana!! Uviko19 imekuja kuleta maumivu duniani.
Mkuu vipi zile apartments za Erasto Msuya nani kazirithiMsh
Mshaanza kujadili urithi ajazikwa kha
Mkuu vipi zile apartments za Erasto Msuya nanibkazirithiMsh
Mshaanza kujadili urithi ajazikwa kha
Toa kafara wapendwa wakoHawa jamaa nimepiga nao mishe Abdillah Soro akiwa anaishi Njoro Moshi na Sunda akiwa Araa duu yaani Mimi giza Totoro wao walishatoboa kitambo Mimi nabangaiza kweli maisha ni safari
Wewe unaongelea "Snow Crest" marehemu anahusika na "Gold Crest"Huyu ni tajiri wa Tanzanite na mmiliki wa ile hoteli yenye ma issues, Golden Crest, Arusha, kwenye Moshi Arusha Rd.
P
Upo sahihi, Golden Crest ni ya Marehemu Mathias MangaMkuu kuna mahali hujaelewa, Arusha kuna Snow Crest iliopo njia ya kuelekea Tengeru, pia Kuna Golden Crest ambayo kipindi cha nyuma ilikuwa inaitwa East Africa Hoteli ipo Jirani na Kibo Palace mtaa wa uzunguni.
Ukikaa pale uchira au old moshi yaani barabarani utahesabu magari yanayopitisha maiti hadi uchokeHadi majeneza moshi yameadimika, Sahiv majeneza yanatoka mkoani kuja moshi
Huyo anachanganya Snow crest na Golden crestMwenye izo hotel si ashakufa!!! Au wako share na uyu marehemu!
Ni Nyanza....Huyu ni tajiri wa Tanzanite na mmiliki wa ile hoteli yenye ma issues, Golden Crest, Arusha, kwenye Moshi Arusha Rd.
P
Baba? Majambazi NSSF yalaaniwe...Kwa kweli. Ila tupige nyungu, wosia kuntu wa baba.
Amekaa hospital muda kidogo ...Kwani alilazwa muda mrefu ?Maana Pulmonanry embolism inatokana na thrombosis ikifanikiwa kufika kwenye mapafu. Na Thrombosis (damu kuganda huwapata watu waliolala tu.Watu ambao hawapo active. Hasa wagonjwa wa Corona wanaokaa hospital muda mrefu ndo maana wanapewa Lovenox n.k
Ni duniani kote vifo vimekuwa vingi isivyo kawaida. Maisha yamepotea sana. Nashangaa aliyepaswa kulaumiwa mchina yupo yupo tu.
Lazima nishangae sababu alikuwa mwema kwa watu wengiKwamba tajiri hafariki ama!?
[emoji848]
Wakinga mna tabu sana kufa ni ibada. Pia usisahau wachaga huwa wanazikwa kwao hivyo dunia nzima usitegemee ukienda moshi utakuta mchaga mmoja kafariki..Sure, moshi hapafai. Mortuary zimejaa, na majeneza hamna,
Mafundi Sahiv wanafanya kazi usiku na na mchana.
Nilikuwa kule wiki mbili nimejionea kwa macho
Bora mzee baba,umekuja maana nyie ndiyo wadau wenyeweMathias ni bilionea kweli acha porojo,ana vitega uchumi ya mabilioni ya tsh.
Sio kweli watu wanalipa labda kama haupo dunia hii mimi nimeona misiba mingi tena miaka ya nyuma kidogo mtu anaedai wengine hawajaandikishana wanapeleka hela kwa kuita kikao na familia hata wanaodai pia wanalipwa...maisha yanaendelea fedha sio kila kitu..Mmmh mkuu utakuwa wa kwanza duniani mwenye roho hii
Aisee vifo vimekua vingi sana kwa kweli...Mkuu kuwa makini na wewe huko minjingu unapochoma mkaa unaona wenzako wanatangulia