Charles Mandela
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 2,752
- 2,282
We jamaa unaongea kama mtoto wa vidudu,hakuna tajiri kama kweli unavojinasibu ww ni fogo ambae angeandika upupu wa kipuuzi kama huu,eti pizza sjui land cruiser .acha utoto we unaonekana kapurwa tu huna lolote
Acha utoto ,jiheshimu asee maana inaonekana una stress na maisha ww.View attachment 1909510
View attachment 1909512
View attachment 1909514
Hii WAINGEREZA [emoji636] wanaita ni MIDDLE FINGER [emoji1596]
Tulia SUMU ikuingie! Ukisikia MAUMIVU, ujue DAWA ndio imepenya hiyo!Acha utoto ,jiheshimu asee maana inaonekana una stress na maisha ww.
STRESS ZA MAISHA unazo wewe hapo! Nitafute nikupe AJIRA YA KUDUMU kwenye KIWANDA CHA SUKARI CHA MTIBWA kilichopo TULIANI - MOROGORO.Acha utoto ,jiheshimu asee maana inaonekana una stress na maisha ww.
Umpe ajira nani ww bwege!? Umeskia nataka ajira!? tushajiajiri kitambo njoo kwenye tanzanite acha ushamba na kujisifu upuuzi.STRESS ZA MAISHA nizitoe wapi! Nitafute nikupe AJIRA YA KUDUMU kwenye KIWANDA CHA SUKARI CHA MTIBWA kilichopo TULIANI - MOROGORO.
Mimi ndio MANDELA CHARLES, jina linalosoma kwenye leseni ya timu ya MTIBWA SUGAR FC. Kwahiyo usiulize kuhusu KIWANDA CHA SUKARI.
Mimi nipo SHINYANGA sasa hivi! Na huu ni muda wa mazoezi, ngoja niwahi pale JOSHONI nikakimbie kimbie. Siunajua tena [emoji16][emoji16]
Hii WAINGEREZA π¬π§ wanaita ni MIDDLE FINGER ππΌ na WASWAHILI πΉπΏ wanaita ni KIDOLE CHA KATI ππΌ.Umpe ajira nani ww bwege!? Umeskia nataka ajira!? tushajiajiri kitambo njoo kwenye tanzanite acha ushamba na kujisifu upuuzi.
Utoto bado unakusumbua ww,acha nikupotezee.Hii WAINGEREZA [emoji636] wanaita ni MIDDLE FINGER [emoji1596]
Ngoja kesho nitapita pita maeneo ya MITAA YA VIWANDANI!πππ walikuaga na Yale maisuzu flani hivi ya kizamaniii, nadhani yatakua Ni scrapper sa hivi.
Mimi sio mwenzio wewe! Na kesho naanza kwenda KANISANI kwenye misa za asubuhi. Yaani mwaka huu mpaka mkome ππSio itakua bali ni jinsia ya kike. Punguza povu shosti
Mimi sio mwenzio wewe! Na kesho naanza kwenda KANISANI kwenye misa za asubuhi. Yaani mwaka huu mpaka mkome [emoji23][emoji23]
Numbisa aliwahi sana kwenye mahusiano! Ndio maana kila mwanaume anadhani ni SHOSTI yake! Ila asijali bado ana muda mwingi wa kujirekebisha, anitafute PM tuyajenge πHahahah aiseee si mchezo.
Mwenzio nimeanza mtizi pale JOSHONI! Njoo unione ninavyofumania nyavu! Halafu wewe unanipenda tu, sema bado unajishebedua πSio itakua bali ni jinsia ya kike. Punguza povu shosti
Ndio huwa kuna MATAMBIKO mengi sana! Na wengine huwa wanatoa hadi WATOTO wao wa kuzaa wenyewe.Nothing phases me kwa wafanya biashara ya madini na mabasi/magari.....tumeshuhudia vituko vyao vingi.
Kwa hio mzee wa SHIRECU hata elimu ya Mining hua haisaidii Kama Uchawi kwny uchimbaji wa madini?au niukosefu wa elimu ya madini unawafanya wafanye hivyo?Vipi Ile migodi Kama ya Buzwagi nao hua wanafanya mambo ya Uchawi Kama waswahili?Ndio huwa kuna MATAMBIKO mengi sana! Na wengine huwa wanatoa hadi WATOTO wao wa kuzaa wenyewe.
Haya mambo ya MATAMBIKO huwa wanafanya watu ambao hawana ELIMU na kitu fulani.Kwa hio mzee wa SHIRECU hata elimu ya Mining hua haisaidii Kama Uchawi kwny uchimbaji wa madini?
Kwenye madini ya vito ndio huwa wanafanya mambo ya MATAMBIKO lakini kwenye dhahabu sio sana. Mimi binafsi huwa sishiriki kwenye hayo mambo.au niukosefu wa elimu ya madini unawafanya wafanye hivyo?
Hapana! Buzwagi huwa wanafanya shughuli zao kwa teknolojia. Mimi binafsi nilishaenda kwenye shughuli za uchimbaji mdogo mdogo na nilichokishuhudia ni watu wengi wanafanya kazi kwa mazoea, huwa hakuna taaluma kule. Ndio maana watu wengine huwa wanapata hasara kwa kutokujua.Vipi Ile migodi Kama ya Buzwagi nao hua wanafanya mambo ya Uchawi Kama waswahili?
I appreciate mzee.Haya mambo ya MATAMBIKO huwa wanafanya watu ambao hawana ELIMU na kitu fulani.
Kwenye madini ya vito ndio huwa wanafanya mambo ya MATAMBIKO lakini kwenye dhahabu sio sana. Mimi binafsi huwa sishiriki kwenye hayo mambo.
Hapana! Buzwagi wanafanya teknolojia.
Subiri Numbisa nimtumie picha yangu halafu niifute kesho asubuhi ππI appreciate mzee.
Mzee baba unavurugu hatari haahaaaaha naona Watu wanataka ligi na tajiri ya mbokaSubiri Numbisa nimtumie picha yangu halafu niifute kesho asubuhi ππ
ππππ utatisha Sana mzee.Subiri Numbisa nimtumie picha yangu halafu niifute kesho asubuhi ππ