TANZIA Bilionea Mathias Manga afariki dunia

We jamaa unaongea kama mtoto wa vidudu,hakuna tajiri kama kweli unavojinasibu ww ni fogo ambae angeandika upupu wa kipuuzi kama huu,eti pizza sjui land cruiser .acha utoto we unaonekana kapurwa tu huna lolote












Hii WAINGEREZA πŸ‡¬πŸ‡§ wanaita ni MIDDLE FINGER πŸ–•πŸΌ​
 
Acha utoto ,jiheshimu asee maana inaonekana una stress na maisha ww.
STRESS ZA MAISHA unazo wewe hapo! Nitafute nikupe AJIRA YA KUDUMU kwenye KIWANDA CHA SUKARI CHA MTIBWA kilichopo TULIANI - MOROGORO.

Mimi ndio MANDELA CHARLES, jina linalosoma kwenye leseni ya timu ya MTIBWA SUGAR FC. Kwahiyo usiulize kuhusu KIWANDA CHA SUKARI.

Mimi nipo SHINYANGA sasa hivi! Na huu ni muda wa mazoezi, ngoja niwahi pale JOSHONI nikakimbie kimbie. Siunajua tena 😁😁
 
Umpe ajira nani ww bwege!? Umeskia nataka ajira!? tushajiajiri kitambo njoo kwenye tanzanite acha ushamba na kujisifu upuuzi.
 
Umpe ajira nani ww bwege!? Umeskia nataka ajira!? tushajiajiri kitambo njoo kwenye tanzanite acha ushamba na kujisifu upuuzi.
Hii WAINGEREZA πŸ‡¬πŸ‡§ wanaita ni MIDDLE FINGER πŸ–•πŸΌ na WASWAHILI πŸ‡ΉπŸ‡Ώ wanaita ni KIDOLE CHA KATI πŸ–•πŸΌ.
 
Ndio huwa kuna MATAMBIKO mengi sana! Na wengine huwa wanatoa hadi WATOTO wao wa kuzaa wenyewe.
Kwa hio mzee wa SHIRECU hata elimu ya Mining hua haisaidii Kama Uchawi kwny uchimbaji wa madini?au niukosefu wa elimu ya madini unawafanya wafanye hivyo?Vipi Ile migodi Kama ya Buzwagi nao hua wanafanya mambo ya Uchawi Kama waswahili?
 
Kwa hio mzee wa SHIRECU hata elimu ya Mining hua haisaidii Kama Uchawi kwny uchimbaji wa madini?
Haya mambo ya MATAMBIKO huwa wanafanya watu ambao hawana ELIMU na kitu fulani.
au niukosefu wa elimu ya madini unawafanya wafanye hivyo?
Kwenye madini ya vito ndio huwa wanafanya mambo ya MATAMBIKO lakini kwenye dhahabu sio sana. Mimi binafsi huwa sishiriki kwenye hayo mambo.
Vipi Ile migodi Kama ya Buzwagi nao hua wanafanya mambo ya Uchawi Kama waswahili?
Hapana! Buzwagi huwa wanafanya shughuli zao kwa teknolojia. Mimi binafsi nilishaenda kwenye shughuli za uchimbaji mdogo mdogo na nilichokishuhudia ni watu wengi wanafanya kazi kwa mazoea, huwa hakuna taaluma kule. Ndio maana watu wengine huwa wanapata hasara kwa kutokujua.
 
I appreciate mzee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…