Zombi Mweusi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 841
- 1,755
Kuna laizer yule wa mondi huyu ni watatu nae maisha yao sio magumu xana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulipoteaga wapi weweeWameamua watutoe kwenye reli kwa style hiyo sio.
hata mi nimeshangaa manake ni story tofauti na aliyotuletea komredi kitoabu kuwa ruby kidogo tu utajili hoop sasa tani tano si useless kabisa michanga iyoTani tano bilion moja [emoji15][emoji15]
Mkuu acha kukalili hayo madini sio ruby pure yako mixer au ndo walewale note ya mia mbili mmeambiwa inauzwa million mia moja ukiuliza wapi utaambiwa dar nioneshe mteja hamna"madini yenye thamani" alafu tani tano(5)=1.7b,kwa hali hii acha amshukuru huyohuyo aliyemshukuru.
Nilikuwa bize dingii si unaja tulikuwa kwenye kipindi kigumu cha uchaguzi kidogo nilibanwa?Ulipoteaga wapi wewee
Mkuu acha kukalili hayo madini sio ruby pure yako mixer au ndo walewale note ya mia mbili mmeambiwa inauzwa million mia moja ukiuliza wapi utaambiwa dar nioneshe mteja hamna
Pia kuna jina la JanetNi muda sasa wa kuwapa watoto wetu majina ya kina laizer , maana c kwa kismat hiki
Hao Janet wote waume zao ni wana demokrasia hujapata ona, sio madikteta kabisa.Pia kuna jina la Janet
Mke wa Raisi Museveni anaitwa Janet, mke wa Raisi Kagame anaitwa Janet na mke wa Raisi Magufuli anaitwa Janet