radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,260
Si za ccm auWataalanu wa hisa tusaidieni hisa za Rostam zimeuzika vipi hisa za wengine mbona haziuziki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si za ccm auWataalanu wa hisa tusaidieni hisa za Rostam zimeuzika vipi hisa za wengine mbona haziuziki?
Exactly kama jumla ya hisa zilizo orodheshwa na kampuni usika let's say ni laki tano ambazo zinakuwa mikononi mwa watu mbali mbali ambao ni ordinary na preferred ukiweze kuwashawishi ukazinunu a zote basi kampuni itakuwa yako. Lkn mara nyingi sheria hairuhusu shares zote kumilikiwa na mutu mmoja maana ikitokea hvyo hyo Haitakuwa tena public company bali italudi kuwa private maana itakuwa inamilikiwa na mutu mmoja.Kuuliza si ujinga, hivi ikitokea unanunua hisa mfululizo mpaka umekamata umekamata asilimia kubwa ya shares mahali mahali moja kwa moja unakuwa mmiliki wa kampuni husika?
Toka mkuu ameingia kwenye kiti biashara ya hisa imekuwa ya kidwazi sana sema kuna makampuni bei za hisa zinapanda ikiwemo na vodacom japo sio kwa proportion iliyozoeleka.Kuna jamaa yangu alinunua hisa za vodacom kipindi wanauza mwaka juzi anasema hazijapanda bei hata sh. 1 mpaka leo.
Hii biashara ya hisa ina wenyewe.
Halafu haziuziki Rostam kawezaje kuuza? Soko la hisa litoe utafanunuzi kwa Nini hisa zingine Kama hizo za Rostam zinauzika na zingine haziuziki kwa Nini? Waandishi wa habari fuatilieni hiloKuna jamaa yangu alinunua hisa za vodacom kipindi wanauza mwaka juzi anasema hazijapanda bei hata sh. 1 mpaka leo.
Hii biashara ya hisa ina wenyewe.
Labda Rostam kamua kuuza hisa zake kwa hasara!Halafu haziuziki Rostam kawezaje kuuza? Soko la hisa litoe utafanunuzi kwa Nini hisa zingine Kama hizo za Rostam zinauzika na zingine haziuziki kwa Nini? Waandishi wa habari fuatilieni hilo
Haikubaliki kwenye soko Kuna kiwango Huwezi shukaLabda Rostam kamua kuuza hisa zake kwa hasara!
Hivi mwisho wa kusajili ni lini mkuu, maana kila siku Wamejitahidi kunitumia sms ya kujisajili ninaignore tuKampuni za simu za mkononi zitaanguka sana kimapato wakati sheria ya usajili wa line za simu itakapoanza kazi rasmi hapo mwishoni mwa mwezi huu. Taarifa za TCRA wiki iliyopita ni kuwa asilimia 12 tu ya wamiliki wa line za simu ndio walikuwa wamesajiliwa.
Wengi hapa mlinunua zile ordinary shares zilizouzwa Tsh. 850/share,so kama ulinunua hisa za Tsh.5mil maana yake ulinunnua hisa almost 5900 tu,hapo hujawaweka walionunua hisa za Tsh. mil. 1 ambao ni wengi.Halafu haziuziki Rostam kawezaje kuuza? Soko la hisa litoe utafanunuzi kwa Nini hisa zingine Kama hizo za Rostam zinauzika na zingine haziuziki kwa Nini? Waandishi wa habari fuatilieni hilo
chanel 10 na Magic kanyanganywa na ccmView attachment 1214645
Tanzanian Tycoon Rostam Aziz Sells Last Tranche Of Vodacom Shares For $220 Million
Tajiri Kongwe nchini Tanzania Rostam Aziz, Hatimaye amemalizia Ngwe ya Mwisho ya Mauzo fungu la mwisho la Hisa zake za Vodacom Tanzania kwa kuwauzia Vodacom South Africa.
Kwa Mujibu wa report kutoka Citizen newspaper, Aziz ameuza fungu lake la 588 million (Shea) iliyokuwa imebaki Vodacom Tanzania, ambayo ilikuwa ikisimamiwa na Mirambo Holdings, Moja ya kampuni zake za uwekezaji kwendaVodacom South Africa, kwa dili lililokamilishwa kupitia Dar es Salaam Stock Exchange Jumatano iliyopita.
Shea (Shares) hizo zilithaminishwa kwa takribani dola milioni mbili na ishirini $220 wakati wa mauzo. Msemaji wa Vodacom Tanzania hakutaka kutoa ushirikiano wakati alipoombwa kutoa maoni yoyote juu ya hilo.
Dili hilo limekuja karibu Miezi kumi tangu 'Washikadau' (shareholders) wa Dar es Salaam Stock Exchange-kuorodhesha kupitishwa kwa mauzo ya sehemu ya Mirambo Holdings iliyobaki Vodacom Tanzania
Rostam Aziz (55) ndiye aliyewezesha kuingia kwa Vodacom South Africa nchini Tanzania, awali alikuwa akimili wastani wa asilimia ya 35% fungu ndani ya Vodacom Tanzania.
Mwaka 2014, aliuza asilimia 17.2% ya fungu la Vodacom Tanzania iliyokuwa ikimilikiwa na kampuni yake ya binafsi ya uwekezaji Cavalry Holdings, iliyosajiliwa Jersey Island ikiwa na umiliki wa 17.8% ya hisa.
Rostam Aziz, ni bilionea wa kwanza nchini na bado anaongoza kwa biashara. Mbali na kumiliki hisa zake Vodacom Tanzania, amepata utajiri mkubwa kupitia mikataba ya uwekezaji na ujenzi wa Biashara za Mgodi Caspian Mining, Bandari ya Dar es Salaam, Majengo ya Biashara na Makazi nchini na Mashariki ya kati sambamba na uwekezaji kupitia vyombo vya habari nchini Tanzania (Channel Ten/Magic FM/ DTV/CTN/C2C nk).
Mwezi July Mwaka huu alizindua Biashara ya kiwanda cha Ujazaji gesi, Dar es Salaam (Petroleum Gas-LPG) yenye thamani ya dola za kimarekani $65Millioni.
Alipatana na Meko ili aweza kufanya alilichokifanya kwa VodaCom Tz.Si alikuwa amepatana na mzee meko, kwanini anauza hisa, nini anaogopa?
Duh kasanuka nn huyu mapema kaamua uza hisa zake au kuna kitu kinataka endelea hapo kati
Halafu haziuziki Rostam kawezaje kuuza? Soko la hisa litoe utafanunuzi kwa Nini hisa zingine Kama hizo za Rostam zinauzika na zingine haziuziki kwa Nini? Waandishi wa habari fuatilieni hilo
Sijaelewa.Ni hivi kwani mnunuzi wa hisa ukienda kununua hisa unaenda kusema unataka hisa za Juma au hamisi au Rostam?.Si unaomba tu kununua hisa zilizoko sokoni .Kwani Kuna mahali pa kujaza kuonyesha unazitaka za Magdalena au za Asha Ngedere?Inshort nyinyi mnamiliki vijihisa tu wala majority s/holders hawana habari na nyinyi ndio maana hata mkienda pale kwa brokers hamna mtu ana shobo na shares zenu,ila mtu yoyote tajiri mwenye hisa za mabilioni za voda akitaka kuziuza hata leo ni fasta tu.
Ushauri:Muwe mnatafuta kwanza ushauri khs mambo ya hisa kabla hamja yakimbilia kuzinunua.
Kaibe na wewe CCM,Channel 10&Magic fm-Ilikua Mali ya Rostam kwa sasa inamilikiwa na CCM,jiulize ilikuaje ikarudi CCM?
Vodacom Tz-Ililetwa na CCM nchini wkt Jamaa akiwa mweka hazina wa CCM,akaipiga juu kwa juu.
Leo ukiwauliza mlipateja pesa nyingi hivi?zina anza story ooh babu yetu alikua anafanya biashara za ngozi kutoka huko Igunga&Bukene kupeleka nchi za nje,hajah kalaghabaho.
Sijaelewa.Ni hivi kwani mnunuzi wa hisa ukienda kununua hisa unaenda kusema unataka hisa za Juma au hamisi?.Si inaomba tu kununua hisa zilizoko sokoni .Kwani Kuna mahali pa kujaza kuonyesha unazitaka za Magdalena au za Asha Ngedere?
Kaibe na wewe CCM,
Haya ndio matatizo ya Mswaha,mtu akifanikiwa tu kimaisha mnamwita mwizi
kaibe na wewe sasa tuone kama utafanikiwa[emoji2211]