Bilionea Rostam Aziz amemalizana na Vodacom Tanzania (Auza hisa zote kwa Vodacom SA)

Bilionea Rostam Aziz amemalizana na Vodacom Tanzania (Auza hisa zote kwa Vodacom SA)

kila kitu ni .majaaliwa na mungu ndio anayempangia.acha roho ya kwanini ukimwona mwenzio kapata mafanikio
ndiomaana huwa hamjaaliwi kutokana na roho zenu za kwann
 
kila kitu ni .majaaliwa na mungu ndio anayempangia.acha roho ya kwanini ukimwona mwenzio kapata mafanikio
ndiomaana huwa hamjaaliwi kutokana na roho zenu za kwann
Ungeanza kumuuliza kwanza babu yako kwanini hajafanikiwa?

Au nae ni kutokana na roho yake ya kwanini?
 
kuna wale walionunua hisa huko vodacom mambo yaliishia wapi
Hata mh. Waziri Mkuu alimnunulia mkewe pia,tuendele kujipa moyo mkuu labda Msipofaidika nazo nyinyi basi hata huko mbeleni wanaweza wakafaidika watoto/wajukuu wenu.

Kwenye hisa kuna aina 2 za kufaidika

1.Kupata dividend/gawiwo

2.Kupata Capital gains(unapouza hisa zako)

So mjiulize wkt mnanunua mlilenga kupata nini kati ya hivyo viwili.
 
Huyo jamaa ni noma..
Kapiga bei fasta kabla kitumbua hakijaingia Mchanga..
Musiba aliwahi kusema Vodacom ni msaada wa Mandela kwa CCM , sasa sijui ni akina nani ndani ya CCM waliichomoa Vodacom ndani ya CCM kiaina..
Sasa hiyo ni Vodacom , vp kuhusu mali zingine za chama zilizokwapuliwa kiujanja ujanja...!
Kwa hiyo Rostam kaamua kuwarudishia wa south VODA yao ili CCM wakiitaka Vodacom yao walio pewa na Madiba waifute huko South upya?
 
kila kitu ni .majaaliwa na mungu ndio anayempangia.acha roho ya kwanini ukimwona mwenzio kapata mafanikio
ndiomaana huwa hamjaaliwi kutokana na roho zenu za kwann
Siyo vitu vyoye ni majaliwa kutoka kwa Mungu ,vingine vina mkono wa binaadamu!
 
Halafu haziuziki Rostam kawezaje kuuza? Soko la hisa litoe utafanunuzi kwa Nini hisa zingine Kama hizo za Rostam zinauzika na zingine haziuziki kwa Nini? Waandishi wa habari fuatilieni hilo
Voda Tz walitoa asilimia 25 tu za Hisa zao kuingizwa sokoni Rostam alibaki na zake kama zilizvyo
 
kuna wale tulionunua bila mipango yoyote swala lilikuwa umenunua hisa tu
Hata mh. Waziri Mkuu alimnunulia mkewe pia,tuendele kujipa moyo mkuu labda Msipofaidika nazo nyinyi basi hata huko mbeleni wanaweza wakafaidika watoto/wajukuu wenu.

Kwenye hisa kuna aina 2 za kufaidika

1.Kupata dividend/gawiwo

2.Kupata Capital gains(unapouza hisa zako)

So mjiulize wkt mnanunua mlilenga kupata nini kati ya hivyo viwili.
 
Demand&Supply ina rule kwny uuzaji wa hisa

Rostam alikua at 1st ana 35% percent ya tota shares,so alikua ni minor s/holder akauza akabakiza 17.5% alizozimalizia kuuza sasa.

So point ya msingi hapa ni kwamba rostam alikua anauza shares mil. 588 at per zinazo represent 17.5%,kitu ambacho lazima akitaka kuuza shars zake Major shareholder watazitaka fasta kuongeza % ya umiliki wa hisa kwny Co.

Nyie wananchi mnaouza hisa zenu sijui 100 au 500 mjiulize zina represent % ya total shares za Voda?Mngekua na shares za maana wala msingepata tabu kuuza,brokers wangewagombania wale commision ya maana.
Bado sijaelewa mnunuzi akija sokoni anataka hisa milioni 100 lazima ziwe za Rostam tu au humu ndani haziwezi kuwemo hata Mia mbili za watu wengine? Ina maana Rostam alizipeleka sokoni kuwa nauza na huko sokoni Kuna hisa za watu wengine mnunuzi akija si ananunua hisa anazozikuta sokoni..Fafanua hapo je za Rostam ziliingia sokoni au hazikuingia?
 
kuna wale tulionunua bila mipango yoyote swala lilikuwa umenunua hisa tu
Basi hapo ni kusikilizia gawiwo tu likitoka unavuta chako,maana ukisema uziuze sokoni kwenyewe hakuja kaa vzr.
 
Hapo Tanzania na Magufuli wetu hatupati kitu, Rostam Aziz ni mkwepa kodi mahiri
Conglomerates investment model,Hii ni ngumu sana kujua mmiliki ni nani,.Kama Rastam angalia compuni inayomiliki hisa imasajiliwa Jersey Island.Ukifuatilia tena unakuta ukifuatilia tena Iyo kampuni pia inamilikiwa na kampuni nyingine uko Solomon Island labda..Hdi kujua nani anastahili kulipa kodi ni shughuli,,
 
Channel 10&Magic fm-Ilikua Mali ya Rostam kwa sasa inamilikiwa na CCM,jiulize ilikuaje ikarudi CCM?

Vodacom Tz-Ililetwa na CCM nchini wkt Jamaa akiwa mweka hazina wa CCM,akaipiga juu kwa juu.

Leo ukiwauliza mlipateja pesa nyingi hivi?zina anza story ooh babu yetu alikua anafanya biashara za ngozi kutoka huko Igunga&Bukene kupeleka nchi za nje,hajah kalaghabaho.
Wakati Vodacom inaingia Tanzania Rostam hakuwa mweka hazina wa Ccm wala kiongozi wa ngazi yeyote wa chama zaidi ya kuwa mbunge.

Wakti huo pia hisa zake zilikuwa chini ya 20% kabla ya kuwashawishi wenzake akina Noni kumuuzia hisa (maarifa ya biashara na kuona mbali). Kipindi hicho hakuna aliyekuwa anadhani biashara ya mitandao ya simu itakuwa kubwa kiasi hicho.

Mwaka 2013 akauza 17.2% ya hisa zake (maarifa ya biashara - biashara iko juu na hisa zina thamani kubwa sana na kusoma nyakati zinazokuja).

Hivi karibuni kauza nusu iliyobaki kwa 220 million Usd (maarifa ya biashara - ukweli kuwa soko la simu limekuwa na linaelekea kuwa gumu sana kwa sababu ya ushindani)

Nina hakika kama angekuwa na hisa za Safaricom Kenya (ambako imedhibiti soko) asingeuza hisa zake.

Tukubali tukatae, jamaa ana maarifa sana ya biashara. Bila kuwa na maarifa ya kutosha hata uwe mweka hazina wa vyama vyote huwezi kufanikiwa kibiashara kiasi hicho.
 
View attachment 1214645

Tanzanian Tycoon Rostam Aziz Sells Last Tranche Of Vodacom Shares For $220 Million

Tajiri Kongwe nchini Tanzania Rostam Aziz, Hatimaye amemalizia Ngwe ya Mwisho ya Mauzo fungu la mwisho la Hisa zake za Vodacom Tanzania kwa kuwauzia Vodacom South Africa.

Kwa Mujibu wa report kutoka Citizen newspaper, Aziz ameuza fungu lake la 588 million (Shea) iliyokuwa imebaki Vodacom Tanzania, ambayo ilikuwa ikisimamiwa na Mirambo Holdings, Moja ya kampuni zake za uwekezaji kwendaVodacom South Africa, kwa dili lililokamilishwa kupitia Dar es Salaam Stock Exchange Jumatano iliyopita.

Shea (Shares) hizo zilithaminishwa kwa takribani dola milioni mbili na ishirini $220 wakati wa mauzo. Msemaji wa Vodacom Tanzania hakutaka kutoa ushirikiano wakati alipoombwa kutoa maoni yoyote juu ya hilo.

Dili hilo limekuja karibu Miezi kumi tangu 'Washikadau' (shareholders) wa Dar es Salaam Stock Exchange-kuorodhesha kupitishwa kwa mauzo ya sehemu ya Mirambo Holdings iliyobaki Vodacom Tanzania

Rostam Aziz (55) ndiye aliyewezesha kuingia kwa Vodacom South Africa nchini Tanzania, awali alikuwa akimili wastani wa asilimia ya 35% fungu ndani ya Vodacom Tanzania.

Mwaka 2014, aliuza asilimia 17.2% ya fungu la Vodacom Tanzania iliyokuwa ikimilikiwa na kampuni yake ya binafsi ya uwekezaji Cavalry Holdings, iliyosajiliwa Jersey Island ikiwa na umiliki wa 17.8% ya hisa.

Rostam Aziz, ni bilionea wa kwanza nchini na bado anaongoza kwa biashara. Mbali na kumiliki hisa zake Vodacom Tanzania, amepata utajiri mkubwa kupitia mikataba ya uwekezaji na ujenzi wa Biashara za Mgodi Caspian Mining, Bandari ya Dar es Salaam, Majengo ya Biashara na Makazi nchini na Mashariki ya kati sambamba na uwekezaji kupitia vyombo vya habari nchini Tanzania (Channel Ten/Magic FM/ DTV/CTN/C2C nk).

Mwezi July Mwaka huu alizindua Biashara ya kiwanda cha Ujazaji gesi, Dar es Salaam (Petroleum Gas-LPG) yenye thamani ya dola za kimarekani $65Millioni.
Pesa huenda kwenye pesa
 
Channel 10&Magic fm-Ilikua Mali ya Rostam kwa sasa inamilikiwa na CCM,jiulize ilikuaje ikarudi CCM?

Vodacom Tz-Ililetwa na CCM nchini wkt Jamaa akiwa mweka hazina wa CCM,akaipiga juu kwa juu.

Leo ukiwauliza mlipateja pesa nyingi hivi?zina anza story ooh babu yetu alikua anafanya biashara za ngozi kutoka huko Igunga&Bukene kupeleka nchi za nje,hajah kalaghabaho.
[emoji16][emoji16][emoji16] wanapenda chai Sana ....asilimia 99 wanabackground za kimagumashi tu..tuendelee kupambana kwa njia zetu tu.
 
Hiyo US $ 20M itapelekwa kwenye kufanya figisu za uchaguzi mwakani
Nalog off
 
Huyo jamaa ni noma..
Kapiga bei fasta kabla kitumbua hakijaingia Mchanga..
Musiba aliwahi kusema Vodacom ni msaada wa Mandela kwa CCM , sasa sijui ni akina nani ndani ya CCM waliichomoa Vodacom ndani ya CCM kiaina..
Sasa hiyo ni Vodacom , vp kuhusu mali zingine za chama zilizokwapuliwa kiujanja ujanja...!
Kwani Vodacom iliingia nchini mwaka gani?
 
Back
Top Bottom