Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nimejiuliza ni kama mheshimiwa sana mnyaluWA PEMBENI KAMA NAMJUA VILEEE
Team Lowassa ,Alikuwa ...kipindi hichoNi mmoja wa watu wake,wana mikakati,wana mitandao wa kumwezesha Mzee wa ardhi kuzama pale mtaa wa magogoni!
Nani kakwambia kuwa ukichanjwa hupati au kufa?Balaa hili. Alikuwa hajachanjwa ?
Na kama mambo hapa yangetulia bila ya haya "Magaidi" kusumbua hayo ya "Enzi za JK Ikulu..." yangeonekana kama cha mtoto mbele ya huyu "Maza Mizinguo."Enzi za JK ikulu palikuwa kama kwa msela wake...daah pumzika ulipojiandalia capitalist Somaiya
Kihindi hicho wakiwa wamefiwa hadi kuzika wimbo ndio huo wanasema shanti shanti....ow mwanzo mwisho wimbo ndio huoShanti Shanti ndio nini wakuu?
70% ya wanao katika kwa delta huwa wanakufa wakiwa wame wawekea mitungi ya o2 nadhani kama ulitakiwa ukatike saa 7 mchana basi ukiwa na mtungi uta katika saa 1 usiku.Kumbe hata Matajiri nao Hufa kama Sisi Masikini kwa Kukosa Mitungi ya Oksijeni? Delta Variant anaendelea Kuupiga mwingi mno nchini Tanzania na Kwingineko duniani. Mwenyezi Mungu atusaidie tu kwakweli.
NdiyeKulia mwenye miwani nu kama namfahamu anafanana na mheshimiwa sana mnyalu