TANZIA Bilionea Tanil Somaiya wa Shivacom afariki dunia

TANZIA Bilionea Tanil Somaiya wa Shivacom afariki dunia

Enzi za JK ikulu palikuwa kama kwa msela wake...daah pumzika ulipojiandalia capitalist Somaiya
Na kama mambo hapa yangetulia bila ya haya "Magaidi" kusumbua hayo ya "Enzi za JK Ikulu..." yangeonekana kama cha mtoto mbele ya huyu "Maza Mizinguo."

Huyu angeuza kila kitu, dalili zote zilikuwa zinaelekea huko.
 
Kumbe hata Matajiri nao Hufa kama Sisi Masikini kwa Kukosa Mitungi ya Oksijeni? Delta Variant anaendelea Kuupiga mwingi mno nchini Tanzania na Kwingineko duniani. Mwenyezi Mungu atusaidie tu kwakweli.
70% ya wanao katika kwa delta huwa wanakufa wakiwa wame wawekea mitungi ya o2 nadhani kama ulitakiwa ukatike saa 7 mchana basi ukiwa na mtungi uta katika saa 1 usiku.
 
Daah! Sasa ngoja warithi waanze kugombania lile jumba lake la kifahari pale karibu na ubalozi wa Iran.
 
Back
Top Bottom