Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Hii ilikuwa ikilowa ndio basi tena.Duh R.I.P ...nimekumbuka enzi hizo vocha unaifungua kwanza kama barua.
Kama umetumia hizi kachanjwe tu ! View attachment 1888899
RIP Sonaiya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ilikuwa ikilowa ndio basi tena.Duh R.I.P ...nimekumbuka enzi hizo vocha unaifungua kwanza kama barua.
Kama umetumia hizi kachanjwe tu ! View attachment 1888899
Kwann hakitoi tarifa ili ugawe MaliKifo hakina huruma
Labda pia mkusanyiko wa wageni unaweza kuwapelekea familia maambukizi!.kukataa wageni kuna maana kwamba ameng'oka na corona? poleni wafiwa
On Shanti Shanti Shanti"NO visitors at home please"
RIP
mwenye miwani ni man from Ruangwa?View attachment 1888898
DEATH ANNOUNCEMENT
Somaiya Family regrets to announce the sad and sudden demise of Mr Tanil Chandulal Somaiya on Wednesday 11 August in Dar es Salaam.
Funeral details to be announced later.
We kindly request: No Visitors at Home Please
Om Shanti Shanti Shanti
Ila wanadai ukiwa na 1980s disease hata ukichanjwa ndio itafight chanjo ila baadaye ina give up halafu una succumb. Lakini ukiwa na kisugar, presha, Figo liver problems haya magonjwa ya kizembe ya kujitakia kwa hiari yani chanjo inakupiga tough vizuri tu.Balaa hili. Alikuwa hajachanjwa ?
Vipi,nauyu hajapata chanjo ya corona? Maana siku hizi kila kifo ni corona tena ambao hawajapata chanjo.View attachment 1888898
DEATH ANNOUNCEMENT
Somaiya Family regrets to announce the sad and sudden demise of Mr Tanil Chandulal Somaiya on Wednesday 11 August in Dar es Salaam.
Funeral details to be announced later.
We kindly request: No Visitors at Home Please
Om Shanti Shanti Shanti
Mwaka gan hyo mkuu?[emoji115]Hizi mbona za juzi juzi tu hapo...
Zamani watu walikuwa wananunua vocha almaarufu kama dola kadhaa...enzi ya tritel hiyo, simu inameza SIM card ukubwa wa kama card ya ATM
View attachment 1888976
Pana nyingine ilikuwa mpaka umulike na tochi ndo namba unaziona au ukisie kati ya tatu na naneHii ilikuwa ikilowa ndio basi tena.
RIP Sonaiya