Smart Contract
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,158
- 2,847
stress free is my life style,Sasa povu la nini, stress tu zinakusumbua...
Tafuteni zenu, hizo ni zake na familia yake hadi siku akifaNi unafiki tu..kwann asiwape sasa hivi
Bado hoja yangu iko pale pale mkuu. Mabadiliko huanzia kwa mtu mmoja.Mkuu suala hili ni Kwa watu weusi, na imekua kama desturi hapa Tanzania, Mwenyezi mungu atuepushe na kikombe hiki.
nailed itWazungu kuwa nao sawa ni mbingu na ardhi
Wao kwanza ni waaminifu na wamejifunza katika maisha haya haya waafrika tunayoishi
Mfumo wa maisha ni tofauti kabisa
Mwafrika anapeleka fungu la mshahara kanisani wakati mzungu anahakikisha wana Charities nyingi sana kutoka taasisi mbali mbali na wanachangia kila mwezi au kila wakati wanapoona tangazo na hela zinaenda kwa walengwa
Kwa mfano Charities za Cancer research mpaka maduka ya mitumba wanayo na wanaopeleka madukani ni wananchi hata mimi nimepeleka sana
Pia wanasaidia kila kitu usione wana kila kitu sio yote wanapata kutoka serikalini hasha
Vingine wanajitolea sana tena sana mpaka Africa misaada inayokuja sio ya serikali tu bali wananchi wanachanga sana
Wakisikia punda wanateswa wa kwanza kuchangia ni wao
Miradi kama WaterAid ni hela wanazochanga hata Red cross inafadhiliwa na watu kwa kutoa
Sasa mwafrika hela za kufa na kuzikana mmepitia, za pensions mmepitia
Shule inapigwa picha imekandikwa na matope juu nyasi na watoto hawana hata madaftari
Hapa nikisema tuchangie na mimi naanza na laki 5 utasikia unaambiwa hiyo sio kazi yetu ni kazi ya serikali
Sasa lini mtajua charity starts at home
Kwanza tujue kujisaidia wenyewe bila kusubiri kila kitu serikali wakati sisi ndio nchi yetu
Maendeleo ya wazungu ni hizo Charities pia maana ina misaada mikubwa sana kwa watu
Leo nikikosa pa kulala naweza kwenda mahali nikapata pa kulala kiasi serikali inanitafutia sehemu tena bure
Majuzi mmoja kasema uchafu umejaa sehemu anayoishi eti wanasubiri waondolewe
Kwanini urithi?stress free is my life style,
umeona povu baada ya kugundua umesapoti wazo la kiwaki, i reveal you to yourself, unaweza gawa urithi ingali uko hai?
acha kwa familia au hata mtoto wako umpendae sembuse kwa wenye uhitaji tena hata usiowajua.
shida wabongo tunadhani matajiri wakizungu hizo mali walishushiwa, au walipewa tu. Watu wanaumiza vichwa na ku sacrifice mambo mengi kama sisi tunavyoumiza miili ila hatusacrifice kitu.
Intellectual wealth you have to sacrifice your comfort zone which include everything that you think its the life to enjoy.
Safi sana mkuu.. Watu kama nyinyi, sijui kwa nini huwa hampati nafasi za kuongoza baadhi ya mambo.Wazungu kuwa nao sawa ni mbingu na ardhi
Wao kwanza ni waaminifu na wamejifunza katika maisha haya haya waafrika tunayoishi
Mfumo wa maisha ni tofauti kabisa
Mwafrika anapeleka fungu la mshahara kanisani wakati mzungu anahakikisha wana Charities nyingi sana kutoka taasisi mbali mbali na wanachangia kila mwezi au kila wakati wanapoona tangazo na hela zinaenda kwa walengwa
Kwa mfano Charities za Cancer research mpaka maduka ya mitumba wanayo na wanaopeleka madukani ni wananchi hata mimi nimepeleka sana
Pia wanasaidia kila kitu usione wana kila kitu sio yote wanapata kutoka serikalini hasha
Vingine wanajitolea sana tena sana mpaka Africa misaada inayokuja sio ya serikali tu bali wananchi wanachanga sana
Wakisikia punda wanateswa wa kwanza kuchangia ni wao
Miradi kama WaterAid ni hela wanazochanga hata Red cross inafadhiliwa na watu kwa kutoa
Sasa mwafrika hela za kufa na kuzikana mmepitia, za pensions mmepitia
Shule inapigwa picha imekandikwa na matope juu nyasi na watoto hawana hata madaftari
Hapa nikisema tuchangie na mimi naanza na laki 5 utasikia unaambiwa hiyo sio kazi yetu ni kazi ya serikali
Sasa lini mtajua charity starts at home
Kwanza tujue kujisaidia wenyewe bila kusubiri kila kitu serikali wakati sisi ndio nchi yetu
Maendeleo ya wazungu ni hizo Charities pia maana ina misaada mikubwa sana kwa watu
Leo nikikosa pa kulala naweza kwenda mahali nikapata pa kulala kiasi serikali inanitafutia sehemu tena bure
Majuzi mmoja kasema uchafu umejaa sehemu anayoishi eti wanasubiri waondolewe
Maneno yako kama yanatoka moyoni, basi mwenyezi mungu akufungilie njia.Hata Mimi pia tangu zamani Nina mawazo hayahaya.kama ntabahatika kuwa nazo wapewe wahitaji.uza nyumba nunua mahitaji na cash gawa vituo vya yatima na wazee na makundi maalum
Huku kwetu kwanza Billionaire hakuna ni wachache [emoji1787][emoji1787]Huku kwetu wajane na watoto wanabaki kutoana roho
Nashukuru mkuu, unajua kutembea kumenifundisha mengi sanaSafi sana mkuu.. Watu kama nyinyi, sijui kwa nini huwa hampati nafasi za kuongoza baadhi ya mambo.
Inaumiza sanaHuku kwetu wajane na watoto wanabaki kutoana roho
Uko sahihi mkuu!unaweza gawa urithi ingali uko hai?
acha kwa familia au hata mtoto wako umpendae sembuse kwa wenye uhitaji tena hata usiowajua.
shida wabongo tunadhani matajiri wakizungu hizo mali walishushiwa, au walipewa tu. Watu wanaumiza vichwa na ku sacrifice mambo mengi kama sisi tunavyoumiza miili ila hatusacrifice kitu.
Intellectual wealth you have to sacrifice your comfort zone which include everything that you think its the life to enjoy.
Huenda anaendelea kuzungusha ili iwe nyingi zaidiKwanini asiwape mwenyewe kabla hajafa?
Nasaidia Kadri ya uwezo wangu na kama ningekuwa huko ningehakikisha hata vijana wangeacha kutupa hela zao kwenye kamari kwani ni addictionπππβ πππ
Una "kitu" kizuri sana. Naomba usiishie kwenye huu uzi. Fanya kitu, tafadhaliπ
βTafuteni zenu, hizo ni zake na familia yake hadi siku akifa
βHuenda anaendelea kuzungusha ili iwe nyingi zaidi
Namfikiria mwanangu wa miaka 8 aliponiomba buku jero, nikamuuliza ya nini akaniambia naenda kununua mfuko wa pipi, nilimwangalia nikamuuliza mfuko wa pipi? Unafanyia niniUko sahihi mkuu!
Warren Buffett "hakuuokota" utajiri wake! Aliuhenyea!
Wakati Watanzania wa rika lake walipokuwa wanafurahia kuchezea tope walipokuwa na umri wa miaka saba, Warren yeye alikuwa akisoma vitabu vya biashara na uwekezaji nyumbani kwa Babu yake! Imagine mtoto wa miaka saba kusoma vitabu kama hivyo!
Wakati Watanzania wa rika lake walipokuwa wakiwaza jinsi ya kupata hela ya pipi walipokuwa na umri wa miaka tisaa, yeye alikuwa akifanya biashara ya kuuza magazeti na vizibo vya soda, na hela iliyopatikana, aliiwekeza kwa kufuata mwongozo wa vitabu alivyovisoma.
Mtanzania wa leo mwenye umri wa miaka kumi na sita akipewa milioni moja atafanyia nini? Kufikia huo umri, Warren alikuwa ameshanunua shamba lake binafsi kwa hela yake binafsi aliyoipata baada ya kufanyia kazi maarifa aliyojipatia kwa njia ya vitabu.
Hata alipoanza kupata hela nyingi, bado aliendelea kuwa makini sana na kila senti anayoipata. Ndiyo maana kuna wakati alikuwa na suti moja tu na shati moja jeupe, ambalo mara nyingi lilikuwa likifuliwa kwenye kola tu na pindo za mikononi.
Si kwamba alikuwa hapendi mavazi, hapana. Alikuwa "mbahili" ili aweze kutimiza ndoto zake, na alifanikiwa.
Kasema mali zake zote zitagawiwa wakati kashaondoka na akiwa hawezi kuzitumia tena.Kwanini asiwape mwenyewe kabla hajafa?
Hao uliowataja ninaamini washajitafuta wanajiweza na sidhani kama wanasubiri mirathi ili waweze kutoboa.Kwani hana mke, watoto na ndugu wa kugawiwa hizo mali mpaka atake zitapanywe akifa? Kama vipi atafute nchi moja afrika iliyo masikini na wale masikini kabisa hohahe wagawiwe huo utajiri wake.
Njoo gombea mkuu! Una kura yangu na ya maelfu ya wana familia ya JF.Nashukuru mkuu, unajua kutembea kumenifundisha mengi sana
Nimetembea na kuishi nchi nyingi sana na ninaona binadamu wanavyoishi ila kwa Africa kuamka ni kazi sana inataka dedication
Hebu fikiria mtu anaiba billion za walipa kodi halafu baadhi ya wapuuzi wanasema eti hata mimi nisingeziacha
Sasa hapo unategemea maendeleo kweli
Kwanza ajali yaani wangenipa kazi hapo ningehakikisha miaka 3 ya kwanza 60% ya ajali zingeisha na miaka 5 mngekuwa mnashtuka mkisikia ajali imeuwa kama Ulaya
Najua watahoji HOW?
MAMA anipe kazi tu π