Bilionea Warren Buffett: Nikifariki mali zangu wapewe wenye uhitaji

Bilionea Warren Buffett: Nikifariki mali zangu wapewe wenye uhitaji

😄 mkuu usijali nimezaliwa kwenye hela siwezi kutamani hata siku moja
Father alikuwa ananipa nazihesabu nikiwa mdogo sana na ndugu zangu kama kuiba ningeanza huko

Hapa nilipo kuna jamaa aliniachia kampuni peke yangu ndio boss alirudi imezaa akaamua kunipa shares kwa hiyo jambo la kuzingatia katika Dunia hii ni Uaminifu na roho nzuri tu pamoja na ukarimu
🥴🥴, kila nikifiria hayo mabilioni yanayo kopwa na serikali.. Alafu yanako enda hayaeleweki..
 
Kwanini urithi?

Kwanini atoe akifa...

Atoe sasa akiwa hai, sehemu fulani kwa hao wahitaji...

Kwa tunaoamini Mungu, tumeambiwa tutoe sadaka kwa wahitaji...

Ikiwa na maana tukiwa hai sio wafu...
Buffett haongozwi na imani zenu hizo ambazo mnatoa sadaka kisa mmeelekezwa vitabuni na kutishwa mtachomwa moto ila mkitoa misaada mtapunguziwa adhabu ya kaburi.

Buffett anaongozwa na humanity, sio dini. Ametoa msaada tangu 2006 sababu ya ubinadamu sio sababu ya dini. Na kachelewa kuanza kutoa misaada mikubwa sababu alichelewa kuwa billionaire. Utajiri wake kaupata kwa savings na reinvestments hasa kwenye hisa. Ni utajiri wa kuupata miaka 30 baadae sio wa kukurupukia. Huna cha kumshauri wala kumpangia Buffett na rafiki yake Charlie Munger aliyefariki juzi.

Inashangaza kuona mtu from nowhere anampangia tajiri wosia wake uweje. Chukua wewe hizo nguo zako gawa kwa wasiojiweza ushindie mashuka ili ukifa uende mbinguni.
 
Buffett haongozwi na imani zenu hizo ambazo mnatoa sadaka kisa mmeelekezwa vitabuni na kutishwa mtachomwa moto ila mkitoa misaada mtapunguziwa adhabu ya kaburi.

Buffett anaongozwa na humanity, sio dini. Ametoa msaada tangu 2006 sababu ya ubinadamu sio sababu ya dini. Na kachelewa kuanza kutoa misaada mikubwa sababu alichelewa kuwa billionaire. Utajiri wake kaupata kwa savings na reinvestments hasa kwenye hisa. Ni utajiri wa kuupata miaka 30 baadae sio wa kukurupukia. Huna cha kumshauri wala kumpangia Buffett na rafiki yake Charlie Munger aliyefariki juzi.

Inashangaza kuona mtu from nowhere anampangia tajiri wosia wake uweje. Chukua wewe hizo nguo zako gawa kwa wasiojiweza ushindie mashuka ili ukifa uende mbinguni.
Mshenga umekuja kumsemea...

Utajiri unasiri nyingi, wewe unaona na macho yako hayo ya nyama...
 
Usilolijua ni usiku wa giza...
Swali la kujiuliza ni masikini ni nani? Anahitaji nini hasa?...Je kuwapa masikini mali ni kuwapa uwezo endelevu?.
Anayekupa samaki na hakufundishi anavyovua hao samaki sidhani kama ana nia ya dhati ya kukupa msaada endelevu "sustainable support"
Usiwafundishe wanao uongo uleule uliofundushwa.
 
Buffet na matajiri wengi wakubwa u aowajua wewe wametoa sana mali zao kusaidia watu na mpaka wanna foundation mtu Kama Buffet ana foundation kabisa ameshasaidia ma Billions hadi umri huo ila hapa leo tunazungumzia URITHI kwenye urithi kaamua hivyo...Mosi.

Pili, hizo Mali zipo in trwm of share ya Kampuni yake ya Barkshare inaamana yeye kumiliki huo utajiri hadi sasa ni inamaanisha anarndeleza shughuri za Biashara ambyo apart from kumpa utaji ndio purpose yake, passion na Icon so kurithisha kabla ya kufa inamaanisha ni kijiondoa kwenye Biashara ambayo ndio passion na purpose yake.
Na kitendo cha kujiondoa Berkshire Hathaway kwa kuuza hisa ni kuua kampuni sababu investors watapoteza confidence wauze hisa na zishuke thamani. Assume mtu kaweka share Mohamed Enterprises alafu ghafla anasikia Mo Dewji anataka auze hisa zote, si inazua taharuki. Kama mmiliki au mwanzilishi haamini tena kwenye kampuni, sembuse wewe uliyedandia mbele ya safari.
 
Acha akili za kimaskini, nini maana ya urithi?
wenye haki ya kurithi hizo mali ni familia yake Warren kwanini hawapi kabla hajafa?
babaako anaeza kukuachia nyumba kabla hajafa? jinsi babaako alivyo na uchungu na hiyo nyumba anavyoiona hiyo nyumba ndo utambulisho wake akiwa hai ndio maana hawezi kukurithisha kabla hajafa, labda kwenye makaratasi tu lakini kuimiliki ni mpaka afe.

the same kwa Warren hizo ni mali alizitafuta kwa jasho lake ana uchungu nazo na ndio utambulisho wake mpaka kufa

mtu kaamua nikifa urithi wangu wagaiwe wenye uhitaji mmatumbi mmoja anaita unafki, shwain
hana lolote anatafuta attention kwenye media kwanza mjitoaji wa kweli hasemagi
 
🥴🥴, kila nikifiria hayo mabilioni yanayo kopwa na serikali.. Alafu yanako enda hayaeleweki..
Yaani majizi haya hayawezi kupeleka popote zaidi ya kujenga majumba na kuandika mahawara na ndugu
Yaani hawawezi kufungua biashara na kuajiri watu 1000
Ndio maana kuona mswahili ana biashara za wazi ni wachache sana maana wengi ni majizi hawawezi kuwa na mfano wa kina Bakhresa au MO na wengine

Usishangae kuona wenye asili za nje ndio wanaongoza kwa sababu utajiri wao unajulikana kwa historia zao

Sasa sisi anahaha mpaka anaamua kuwapa hao hao matajiri wawekeze kificho
 
Usilolijua ni usiku wa giza...
Swali la kujiuliza ni masikini ni nani? Anahitaji nini hasa?...Je kuwapa masikini mali ni kuwapa uwezo endelevu?.
Anayekupa samaki na hakufundishi anavyovua hao samaki sidhani kama ana nia ya dhati ya kukupa msaada endelevu "sustainable support"
Usiwafundishe wanao uongo uleule uliofundushwa.
Mkuu hakuna tajiri atakeye kupa Chanzo cha mali zake, au mbinu alizo tumia kupata huo utajiri ..
 
Yaani majizi haya hayawezi kupeleka popote zaidi ya kujenga majumba na kuandika mahawara na ndugu
Yaani hawawezi kufungua biashara na kuajiri watu 1000
Ndio maana kuona mswahili ana biashara za wazi ni wachache sana maana wengi ni majizi hawawezi kuwa na mfano wa kina Bakhresa au MO na wengine

Usishangae kuona wenye asili za nje ndio wanaongoza kwa sababu utajiri wao unajulikana kwa historia zao

Sasa sisi anahaha mpaka anaamua kuwapa hao hao matajiri wawekeze kificho
Ni kweli mkuu ✍️✍️.
 
Mshenga umekuja kumsemea...

Utajiri unasiri nyingi, wewe unaona na macho yako hayo ya nyama...
Hata umaskini una siri nyingi tu. Hata kuzaliwa kwako kuna siri nyuma ambayo wewe mwenyewe huijui.
Kwanini unadiscredit nia njema ya tajiri kisa "utajiri una siri". Kwahiyo kwa sababu utajiri una siri basi matajiri wanatakiwa wagawe mali zao wakiwa hai kisha wawe ombaomba ndio siri za utajiri zitafichuka.

Juzi hapa kwenye uzi wa Nayce Mushi wa Tilisho kuna watu wenye negativity ya mafanikio yake walikuwa na maneno ya chuki na roho mbaya nao walisema mafanikio ya mwanamke yana siri nyingi.
 
Back
Top Bottom