Bilionea Warren Buffett: Nikifariki mali zangu wapewe wenye uhitaji

Bilionea Warren Buffett: Nikifariki mali zangu wapewe wenye uhitaji

Hapa bongo kuna msemo "Matajiri hufa na mali zao" kwa sababu ya tabia za kihusda za matajiri. Naomba nieleweke siwachukii matajiri na siuchukii utajiri ila asili ya uchu na ubinafsi " greed and selfish ness attached to ego" ni janga la Dunia.
. Bado tuna ile roho mbaya, kwamba maskini naye ateseke kidogo.

. Utakuta ukoo fulani una matajiri kadhaa, lakini ukoo huo una maskini wenye hali ya taabani kimaisha..
 
😄😄😄, hutaki mizizi ya sangoma ya kuoga kutwa mara tatu.
Huo ujinga na utumwa ambao mwisho was siku unaishia kupata Hela ya kula na kusomesha watoto na kagari kakuzugia madem halafu Bas!!

Hapa nazungumzia kipato Cha makampuni makubwa na kuingia kwenye vikao vya siri vya kuamua kesho ya mabilioni ya watu mkuu!

Ndio hao jamaa kina Bil gates hai,kina elon.musk n.k!!
 
Usilolijua ni usiku wa giza...
Swali la kujiuliza ni masikini ni nani? Anahitaji nini hasa?...Je kuwapa masikini mali ni kuwapa uwezo endelevu?.
Anayekupa samaki na hakufundishi anavyovua hao samaki sidhani kama ana nia ya dhati ya kukupa msaada endelevu "sustainable support"
Usiwafundishe wanao uongo uleule uliofundushwa.
Ni wewe tu ndo humfatilii huyo mzee Ila anatoaga elimu nyingi sanaa juu ya masuala ya fedha na uwekezaji kuna vitabu vingi sana vimeandikwa kuhusu mbinu zake za uwekezaji,,, Watu mnawazaga vitu Negative tu dadekiiiiii
 
Kwa hiyo watoto wa huko Somalia waendelee kufa hadi yeye akifa .wakat anaweza okoa mamilion ya uhai ambayo atapoenda kwa Mola wake kila mmoja anathaman sawa na yy
 
Ni unafiki tu..kwann asiwape sasa hivi
Kwa hiyo watoto wa huko Somalia waendelee kufa hadi yeye akifa .wakat anaweza okoa mamilion ya uhai ambayo atapoenda kwa Mola wake kila mmoja anathaman sawa na yy
ANaogopa kushuka daraja...
ANaogopa kushuka daraja...

Kwanini urithi?

Kwanini atoe akifa...

Atoe sasa akiwa hai, sehemu fulani kwa hao wahitaji...

Kwa tunaoamini Mungu, tumeambiwa tutoe sadaka kwa wahitaji...

Ikiwa na maana tukiwa hai sio wafu...
Hakuna mirathi bila kifo.

Mwenye mali akifa ndipo mali zake hugawanywa kwa matakwa yake yeye mwenyewe.

Na huwezi kumpangia mtu namna ya kutumia mali zake ikiwemo namna ya kugawa.
 
Bilionea namba 5 duniani kwa mujibu wa jarida la Forbes, Warren Buffett baada ya mwanahisa mwenzake ndani ya kampuni ya ''Berkshire Hathaway'' Bwana Charlie Munger kutangulia mbele ya haki 28/11/2023

Kwenye jarida la Fortune Magazine, linaeleza kuwa kwenye barua iliyochapishwa na kampuni ya ''Berkshire Hathaway'' liliandika kuhusu uamuzi ambao uliazimiwa na familia hiyo tangu mwaka 2006 kuhusiana na kugawa mali za bilionea huyo kwa masikini.

Uamuzi ambao ulijadiliwa tena November mwaka huu pamoja na watoto wake watatu ambao wanakadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 65 - 70, ni kuhusu kugawa asilimia 99 ya utajiri wa Bilionea huyo kwa familia masikini na watoto wake kuhakikisha hilo linafanyika kwa usimamizi wao.

Hapa kwetu Africa lini tutafikia hii hatua?, Au tuendelee kusindikiza dunia? 🥴🥴

Chanzo: Fortune Magazine.
Labda hana Watoto au Watoto wake nao Wana Utajiri.

Ni Bora hii kuliko watu wabakie kuuana.
 
Bilionea namba 5 duniani kwa mujibu wa jarida la Forbes, Warren Buffett baada ya mwanahisa mwenzake ndani ya kampuni ya ''Berkshire Hathaway'' Bwana Charlie Munger kutangulia mbele ya haki 28/11/2023

Kwenye jarida la Fortune Magazine, linaeleza kuwa kwenye barua iliyochapishwa na kampuni ya ''Berkshire Hathaway'' liliandika kuhusu uamuzi ambao uliazimiwa na familia hiyo tangu mwaka 2006 kuhusiana na kugawa mali za bilionea huyo kwa masikini.

Uamuzi ambao ulijadiliwa tena November mwaka huu pamoja na watoto wake watatu ambao wanakadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 65 - 70, ni kuhusu kugawa asilimia 99 ya utajiri wa Bilionea huyo kwa familia masikini na watoto wake kuhakikisha hilo linafanyika kwa usimamizi wao.

Hapa kwetu Africa lini tutafikia hii hatua?, Au tuendelee kusindikiza dunia? 🥴🥴

Chanzo: Fortune Magazine.
Mpaka unafikiria kugawa Mali kwa maskini maana wewe sio masikini kabisa. Hapa kwetu badamu batamwagika maana hata kama baba ana billion 100 jua mtoto bado anategemea ufadhili wa baba ili kujiendesha.

Wenzetu huko baba kafa billionea ila watoto kawaachia share zao wanainjoy life tu. Hata mpango na mali zake hawawezi kuwa nao.
 
Akifa atakuwa hana thamani nazo ndo maana anataka zitoke, angekuwa mtoaji kweli angetoa 50% sasa hivi badala 99% akifa
Watoto wake wanajiweza kawapa elimu bora, malezi bora michongo safi hivyo anajua wanaweza jitaftia ndio maana kaamua mali zake wale wengine akifa.
 
Back
Top Bottom