Mkuu Africa hakuna upinzani narudia Tena hakuna hakuna.Kila mmoja anaangalia tumbo lake basi.Kitakacho ibadili Africa ni moyo wa kizalendo wa muhusika aliyeko madarakani na Vinginevyo nchi zilizotawaliwa na upinzani zinalia na ufisadi mtupu.Waulizwe majirani.Ukipitisha mgombea binafsi basi tegemea nchi kuwa ya familia.WALE TULIOWATEGEMEA WAWE WATETEZI WETU NDO WANAGEUKA KUWA WABAYA ZAIDI?!!!
Mbona iko wazi?Kwa hiyo kupotea bilion na uchaguzi wa mbowe vinaingiliana vipi hapo
Acha umbea mtoto wa kiume, ebbo!Nilikuwa nashangaa sana Chama kinaongozwa na mchanga alafu anachukua hela za CDM kila mwezi, aache kupiga, kuna issue ya ruzuku kila mwezi ya CDM nasikia ukiuliza auditing report yake, unafukuzwa CDM haraka.. Transparence ZERO.
Ruzuku ni tofauti na hizo 1.9bilion za Kigogo 2014!Hivi ruzuku ya ccm huwa wanapokea shs ngapi kila mwezi?
Na huwa wanazifanyia nini?
Kila mwaka kabla ya uchaguzi mkuu ccm huwa wanaiba hela za serikali,mfano akaunti ya mfuko wa EPA wakati wa NKAPA,na ESCROW akaunt wakati wa mkwere,hizi fedha huwa wanazitumiaje kwenye uchaguzi?
Kuna tetesi kwamba huwa wanawanunua wapinzani wao,na kuwahonga wapiga kura,hivi ni kweli?
Hahahaaaa.........Kigogo 2014 kabadili hali ya hewa hapa Jf!Acha umbea mtoto wa kiume, ebbo!
Hebu nifafanulie, hizo taarifa no kwamujibu wa taasisi gani ya ukaguzi?Tujadili kwanza hii iliyo mezani. 1.9b imeenda wapi au siyo pesa. Wizi ni wizi tu hata kama ni 2.1m
Hahahaaaa.........Kigogo 2014 kabadili hali ya hewa hapa Jf!
Kama mbunge Halima Mdee ameibuka na kujibu tuhuma basi uelewe hizo taarifa ni rasmi!Hebu nifafanulie, hizo taarifa no kwamujibu wa taasisi gani ya ukaguzi?
Kama mbunge Halima Mdee ameibuka na kujibu tuhuma basi uelewe hizo taarifa ni rasmi!
Ndio CCM kuna wanaume wa kazi, lakini pia mpo wa (se-nge) wa kutosha. Bladibasketboli.Haaa, achana na Halima ana frustrations za kukosa mwanamme wa kumkaza sawa sawa. Dildos won't replace a man.. Nature is nature. Haaa, Halima njoo CCM tuko wanaume wa kazi, alafu sauti ya zege CCM hatutaki. Haa am kidding
hawa hawafai kabisa kushika nchi. tutajuta maishakama ni kweli , hiyo bil 1.9 iliyopotea CHADEMA wangekuwa wana dola ingepotea tril 1.9
Acha kulinganisha uzushi na vitu vyenye uhalisia. Hiyo 2.4T imetoka wapi? Lakini hizo 1.9b zina ushahidi kwasbb wenye hela zao ambao ni wabunge wamelalamika.2.4t = 2,400,000,000,000/= CCM
1.9b= 1,900,000,000/= Chadema
Namba hizoo...
Unashindwa kutambua kwamba Mbowe kama mwenyekiti wa taifa wa chama lazima awajibike. Njia mojawapo ya kuwajibika ni kuachia madaraka.Kwa hiyo kupotea bilion na uchaguzi wa mbowe vinaingiliana vipi hapo