Bilioni 286 kujenga uwanja Mpya wa 'Samia Suluhu Hassan Arusha Stadium' Kwa ajili ya AFCON 2027

Jina halijakaa sawa kabisa.kwa Nini isiitwe Arusha stadium.majina ya watu ni kupoteza majina yetu ya asili
 
Jina halijakaa sawa kabisa.kwa Nini isiitwe Arusha stadium.majina ya watu ni kupoteza majina yetu ya asili
 
Huo uwanja uliopo Ccm wamejimilikisha, bora tujenge tu mwingine wa umma
 
Kuiba pesa yamkopo, inafikirisha sana,

Labda sababu hawatolipa wao.
 
Kipindi cha Mwendazake alikuja Mfalme wa Morocco na kuahidi kujenga uwanja Dodoma,lakini hadi sasa nashangaa kimya sijui sababu ni nini
 
Bajeti inaonekana kubwa ukilinganisha na Benjamin mkapa stadium hii kutokan na kushuka kwa thaman ya fedha maan kam uwanja umejengwa kwa 60B na matengenezo tu yamegarim 30B ndipo utajua thaman ya fedha inashuka kila kukicha
 

View: https://www.instagram.com/p/C5V5FO6tABm/?igsh=ZnRreDVmNWNrcGFk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…