Bilioni 4.6 za Rais Samia Zaondoa Changamoto ya Maji Jimbo la Hai

Bilioni 4.6 za Rais Samia Zaondoa Changamoto ya Maji Jimbo la Hai

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

BILIONI 4.6 ZA RAIS SAMIA ZAONDOA CHANGAMOTO YA MAJI JIMBO LA HAI

Serikali imefanikisha upatikanaji wa kiasi cha Sh Bil 4.6 kwa ajili ya upatikanaji wa huduma ya majisafi na salama kwa wananchi katika jimbo la Hai kwa kuboreshaji mradi wa maji wa Hai mjini ,Upanuzi wa mradi wa maji NIre- Masanma na Kaseki -Kyeri .

Mbali na miradi hiyo pia imo miradi ya umaliziaji wa ujenzi wa mradi wa maji Rundugai ,Upanuzi wa mradi wa maji Lyamungo -Umbwe , Ujenzi wa tanki lita 100,000,upanuzi wa maji machame kisereni – Urara na Ujenzi wa mradi wa maji Rundugai Kawaya .

Hayo yamo katika taarifa ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi katika jimbo la Hai ,taarifa iliyowasilishwa na Mbunge wa jimbo hilo Saashisha Mafuwe wakati wa mkutano mkuu maalumu wa chama hicho uliofanyika katika ukumbi wa Dream Park nje kidogo yam ji wa Bomang’ombe
 

Attachments

  • y2mate.com - BIL 46 ZA RAIS SAMIA ZAONDOA CHANGAMOTO YA MAJI JIMBO LA HAI _1080p.mp4
    71.8 MB

BILIONI 4.6 ZA RAIS SAMIA ZAONDOA CHANGAMOTO YA MAJI JIMBO LA HAI

Serikali imefanikisha upatikanaji wa kiasi cha Sh Bil 4.6 kwa ajili ya upatikanaji wa huduma ya majisafi na salama kwa wananchi katika jimbo la Hai kwa kuboreshaji mradi wa maji wa Hai mjini ,Upanuzi wa mradi wa maji NIre- Masanma na Kaseki -Kyeri .

Mbali na miradi hiyo pia imo miradi ya umaliziaji wa ujenzi wa mradi wa maji Rundugai ,Upanuzi wa mradi wa maji Lyamungo -Umbwe , Ujenzi wa tanki lita 100,000,upanuzi wa maji machame kisereni – Urara na Ujenzi wa mradi wa maji Rundugai Kawaya .

Hayo yamo katika taarifa ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi katika jimbo la Hai ,taarifa iliyowasilishwa na Mbunge wa jimbo hilo Saashisha Mafuwe wakati wa mkutano mkuu maalumu wa chama hicho uliofanyika katika ukumbi wa Dream Park nje kidogo yam ji wa Bomang’ombe
Kumbe rais wetu ni bilionea? Anashika nafasi ya ngapi duniani?
 
Huu

BILIONI 4.6 ZA RAIS SAMIA ZAONDOA CHANGAMOTO YA MAJI JIMBO LA HAI

Serikali imefanikisha upatikanaji wa kiasi cha Sh Bil 4.6 kwa ajili ya upatikanaji wa huduma ya majisafi na salama kwa wananchi katika jimbo la Hai kwa kuboreshaji mradi wa maji wa Hai mjini ,Upanuzi wa mradi wa maji NIre- Masanma na Kaseki -Kyeri .

Mbali na miradi hiyo pia imo miradi ya umaliziaji wa ujenzi wa mradi wa maji Rundugai ,Upanuzi wa mradi wa maji Lyamungo -Umbwe , Ujenzi wa tanki lita 100,000,upanuzi wa maji machame kisereni – Urara na Ujenzi wa mradi wa maji Rundugai Kawaya .

Hayo yamo katika taarifa ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi katika jimbo la Hai ,taarifa iliyowasilishwa na Mbunge wa jimbo hilo Saashisha Mafuwe wakati wa mkutano mkuu maalumu wa chama hicho uliofanyika katika ukumbi wa Dream Park nje kidogo yam ji wa Bomang’ombe
Huu uzwzwa mtaacha lini? Samia na chanzo gani cha mapato hadi akatoe hizo pesa? Kwamba serikali haina pesa hadi isaidiwe na samia?
 
We mtoa mada mpumbafu kabisa, Hela ni zetu siyo za Samia bwana we vipi.
 
Back
Top Bottom