Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
I prayed to Lord to 'take me out' but he never did. I may be lingering on planet Earth for many years to come! its not my choice. My choice was to rest ...Rest in Peace "MZOGA"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I prayed to Lord to 'take me out' but he never did. I may be lingering on planet Earth for many years to come! its not my choice. My choice was to rest ...Rest in Peace "MZOGA"
MKuu nimesoma na nimeelewa,, Tabora kuna chuo cha reli hivyo pia wana haki ya kuongezew kama unavyolazimisha kwa Morogoro.Mkuu, soma tena mada hapo juu.
Kama vyuo vyote zitaboreshwa hamna shida.MKuu nimesoma na nimeelewa,, Tabora kuna chuo cha reli hivyo pia wana haki ya kuongezew kama unavyolazimisha kwa Morogoro.
Badala ya kujenga chuo kipya Tabora kwa nini hiyo component ya reli isipelekwe NIT?Sasa naelewa kuwa kumbe umefunikwa fikra na zama za kimapokeo, basi sasa UDOM tutahamishia Moro, UDSM na SAUT tutahamishia Moro, au unasemaje?
Fursa nyingine ya wachumia tumbo kupiga pesa za walala hoiSerikali ya Tanzania imesema imetenga Shilingi Bilion 44.8, kwa ajili ya kuanza Ujenzi Chuo kikubwa cha Reli mkoani Tabora chenye kiwango cha Kimataifa kwa mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), Kupitia kipande cha Tabora-Isaka.
Taarifa hiyo imetolewa mbele ya Kamati ya kudumu ya Bunge na Kaimu Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Reli (TRC), Bi, Amina Lumuli ambapo ameeleza chuo hicgo kinatarajia kujengwa katika eneo la Malabi lenye ukubwa wa ekari 183.1. Kata ya Cheyo Manispaa ya Tabora
Makumi mojaChuo cha reli Moro kina 'shared facilities' na chuo cha ualimu Kigurunyembe kama vile viwanja vya michezo. Pia kuna karakana kubwa ya reli ambapo wanafunzi wangeweza kupata mafunzo kwa vitendo.
Siungi mkono hoja ya kujenga chuo kipya Tabora.
pale tabora kulikuwa na karakana kubwa ya reli sijui kwa sasa hali ikoje maana ni siku nyingi sijapita pale.What a waste!
Hizo pesa ni bora zingetumika kuimarisha chuo cha reli Morogoro.
Morogoro kile ni tawi tu kwa ajili ya ufundishaji wa mafundi wa vichwa vya treni na madereva.Hapa ndipo akili zetu sisi waafrika tunapoamua kuziweka mahala.
Chuo kipo Morogoro kwanini kisiboreshwe na kupanuliwa ili kiwe cha kimataifa?
Karakana ipo hadi leo hii mkuu na inapiga kazi.pale tabora kulikuwa na karakana kubwa ya reli sijui kwa sasa hali ikoje maana ni siku nyingi sijapita pale.
Exactly.Hiyo pesa imetolewa na wahisani.
Mpaka kujengwa Tabora there must be eligible factors.
TRC Wana Mkurugenzi Mkuu mpya Bi. Amina? Masanja (Sukuma gang) tupa kuleSerikali ya Tanzania imesema imetenga Shilingi Bilion 44.8, kwa ajili ya kuanza Ujenzi Chuo kikubwa cha Reli mkoani Tabora chenye kiwango cha Kimataifa kwa mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), Kupitia kipande cha Tabora-Isaka.
Taarifa hiyo imetolewa mbele ya Kamati ya kudumu ya Bunge na Kaimu Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Reli (TRC), Bi, Amina Lumuli ambapo ameeleza chuo hicgo kinatarajia kujengwa katika eneo la Malabi lenye ukubwa wa ekari 183.1. Kata ya Cheyo Manispaa ya Tabora.
Wanaopinga hawatakosekana 😁😁Serikali ya Tanzania imesema imetenga Shilingi Bilion 44.8, kwa ajili ya kuanza Ujenzi Chuo kikubwa cha Reli mkoani Tabora chenye kiwango cha Kimataifa kwa mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), Kupitia kipande cha Tabora-Isaka.
Taarifa hiyo imetolewa mbele ya Kamati ya kudumu ya Bunge na Kaimu Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Reli (TRC), Bi, Amina Lumuli ambapo ameeleza chuo hicgo kinatarajia kujengwa katika eneo la Malabi lenye ukubwa wa ekari 183.1. Kata ya Cheyo Manispaa ya Tabora.
Huwa hamkosekani 😜😜What a waste!
Hizo pesa ni bora zingetumika kuimarisha chuo cha reli Morogoro.
Tangia mmeanza kutoa ahadi miaka 2 sasa imetimia sjawaiona ata uzinduzi wa chooo,Kila siku blaaablaaa tu.Serikali ya Tanzania imesema imetenga Shilingi Bilion 44.8, kwa ajili ya kuanza Ujenzi Chuo kikubwa cha Reli mkoani Tabora chenye kiwango cha Kimataifa kwa mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), Kupitia kipande cha Tabora-Isaka.
Taarifa hiyo imetolewa mbele ya Kamati ya kudumu ya Bunge na Kaimu Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Reli (TRC), Bi, Amina Lumuli ambapo ameeleza chuo hicgo kinatarajia kujengwa katika eneo la Malabi lenye ukubwa wa ekari 183.1. Kata ya Cheyo Manispaa ya Tabora.
TupoWanaopinga hawatakosekana 😁😁
Acheni upuuzi na ujinga nyie,Tanzania Iko nyuma Kwa Nchi zote za EAC Kwa Elimu Kwa idadi ya vyuo na Wanafunzi ndio maana ni lazima kuongeza fursa za Elimu Ili kupunguza ujinga kama huu wako..Hapo haijakaa poa. Hapo ingekuwa ni upanuzi wa chuo cha usafirishaji. Hapo pawe ni tawi la Tabora. Linaloshighulika na usafiri wa reli na taaluma zake.