Bill Gates adai mke aliyetalakiana naye aanza kuwatumia marafiki wa karibu kuomba msamaha

Tena mke kakimbia eti kwa kurubuniwa na njemba nyingine then ikambwaga na kusepa kumuacha haelewi aendende wapi.
Hapo tayari kashachezea sana mstari wa pambizo mpaka umevurugika ndio anambwaga arudi kwa bwana wake akatibiwe bawasiri sugu
 
Labda ana mpango wa kwenda kukombeleza utajiri uliobaki kwa Bill.
 
Sasa kam bill gates mwenyewe na utajiri wake kachapiwa mke we nanii naniii😂😂🤔🤔👏👏👏
 
tajiri namba moja aalachwa..???
Timu kataa ndoa tuendelee
 
Ndio maana hua navikubali vile vitabu tulisoma shule katika kumuelezea mwanamke kwa point ya kusomeka

"Mwanamke ametumika kama chombo cha starehe"
 
Huo ni mtego,naona anataka kwenda kuchukua USD 40 bn nyingine ili William awe tajiri namba 50 huko..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…