- Thread starter
- #221
Ulivoitika haraka inaonekana wewe ni singo Maza, na huna uelekeoYes mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulivoitika haraka inaonekana wewe ni singo Maza, na huna uelekeoYes mkuu
Tena mke kakimbia eti kwa kurubuniwa na njemba nyingine then ikambwaga na kusepa kumuacha haelewi aendende wapi.Kwamba tajiri no 1 duniani amekimbiwa na mkewe!!
Mungu aalikwe ktk NDOA awe kiongozi Ili NDOA idumu.
Hapo tayari kashachezea sana mstari wa pambizo mpaka umevurugika ndio anambwaga arudi kwa bwana wake akatibiwe bawasiri suguTena mke kakimbia eti kwa kurubuniwa na njemba nyingine then ikambwaga na kusepa kumuacha haelewi aendende wapi.
Welcome madako KENGE 01Madako yako
Yes ni kweli, umefurahi? Jipigie makofiUlivoitika haraka inaonekana wewe ni singo Maza, na huna uelekeo
Labda ana mpango wa kwenda kukombeleza utajiri uliobaki kwa Bill.Ndio maana mlielezwa muishi nao kwa akili
Bill Gates aliyekuwa tajiri namba moja duniani na mke wake wa ndoa Melinda Gates walitalikiana miaka miwili uliyopitia. Mke alivuna karibu nusu ya utajiri wa Bill
Kwa sasa akihojiwa na vyombo vya habari amedai mtalaka wake huyo anahangaika kutumia marafiki wa karibu wa Bill ili amsamehe, kwamba hana amani ya moyo
Kisa hicho kimetokea baada ya mwanaume aliyemrubuni Melinda kumwacha kuanzia Mei mwaka huu, hivyo kabaki hana pa kuushika,
Melinda alidai atakuwa na furaha kitu ambacho kimekuwa kugeuka kwani jamaa anaendelea na mambo yake, TMZ wameripoti habari hiyo na kuifuta haraka sana lakini Bill mwenyewe aliongea na watu mbalimbali na kuthibitisha hilo
Tuzidi kujifunza juu ya hawa Wanawake hawajielewi kabisa wanataka nini na hawataki nini
Na mke mwenyewe Mzee!!Tena mke kakimbia eti kwa kurubuniwa na njemba nyingine then ikambwaga na kusepa kumuacha haelewi aendende wapi.
Salama Mkuu??? Lete habari!!
Tajiri namba 1 duniani ni Elon Musk.Kwamba tajiri no 1 duniani amekimbiwa na mkewe!!
Mungu aalikwe ktk NDOA awe kiongozi Ili NDOA idumu.
Mambo ya kutiwa ndan ya ndoa yanaongelekaje??Melinda awatume wazee wenye busara wakaongee na mzee mwenzao ili wasemeheane. Hayo mambo yanaongeleka.
Tuishi nao kwa akili
Kashapigwa miti sana hadi imekaa upande ndio unasema?Melinda awatume wazee wenye busara wakaongee na mzee mwenzao ili wasemeheane. Hayo mambo yanaongeleka.