Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Na mzee mzima HOV alishasuuza rungu kipindi RiRi ndo anatoka. Ilileta shida kwenye relationship yake na bibie ila wakayajenga kiutu uzimaSahihi kabisa na wanasemaga HOV anamfeel RiRi kwa hiyo Bey anasanda kwa mengi
"Wanajamii wa hip hop wanakwambia hakuna era ambayo Jay Z aliitawala" 💯🤝Wanajamii wa hip hop wanakwambia hakuna era ambayo Jay Z aliitawala
Kilicho mbeba Jay Z ni mfanyabiashara mzuri sana, alijua kuzungusha vizuri hela alizopata na kumfanya aheshimike sana kwa kumiliki lebo kubwa na wasanii
Sio kama ni rapa mbaya, ni mzuri sana sema ndio vile mwenye hela huwa anaonekana kama hakosei vile na anajua kucheza na akili za watu
Mfano angalia nyimbo ya God Did jinsi verse yake ilivyo sifiwa kwasababu alipewa dk 4 kuflow kuhakikisha anawafunika kabisa Rick na Wayne walio rap kwa chini ya dk 2 kila mmoja
Angalia namna alivyo perform ki boss kabisa kwenye Grammy
Wenzake wameimba stejini lakini yeye kaandaa meza flani ya kijivuni alafu imezungukwa na wamba kadhaa halafu Jay anachana dk 4, at the end show ilikua kama ni yake tu
Hivi Ndio Hov huwa anafanya...... MIND GAME
Hahaa inabidi akomae kulinda tu heshima yake. Akipumzika ataonekana amekalishwa na wadogo zakeMimi naona ni kwa kuwa tu mziki ni kazi yake na sio rahisi sana mwanamuziki kustaafu muziki. Lakini naona angepumzika tu.
Hawa madogo huwa nashauri mziki wao wasiuite rap, ni wanazingua balaa lkn shida namba zao huko youtube ni kubwa sana, ndo maana naonaga namba za youtube sio kipimo cha muziki mzrWana category yao hip hop singeli
1. Yuong thug
2. Lil pump
3. 6Xnine
4. Post Malone
5. Young Ma
Aanze kuigiza series na movie kama wenzie asibishane na wakatiHahaa inabidi akomae kulinda tu heshima yake. Akipumzika ataonekana amekalishwa na wadogo zake
Ile bn ilikua design tu ya show. Pia Jay Z ni mfalme kwa sasa hio haina ubishi, Rap zote za siku hiz za jay z ni za kiboss, angalia nyimbo zake zote kuanzia 2019 utaona, ni style yake tu hio. Af pia khs God did dkk 4 wamempa kwa sababu nying, huo wimbo una neno 'god' na jay z miaka fln alikua anajiita 'Hov' kifupi cha jehova... na ukisikiza verse zake anaelezea tu sucess yake na mambo aloyafanya kwenye game, hio inaleta maana nzima ya lengo la hio singo ya God Did, ningeandika page ndef khs hili lkn kama unajua historia vzr ya mziki wa jay z na kama ulielewa verse zake basi usingeandika hayo uliandika hapo.Wanajamii wa hip hop wanakwambia hakuna era ambayo Jay Z aliitawala
Kilicho mbeba Jay Z ni mfanyabiashara mzuri sana, alijua kuzungusha vizuri hela alizopata na kumfanya aheshimike sana kwa kumiliki lebo kubwa na wasanii
Sio kama ni rapa mbaya, ni mzuri sana sema ndio vile mwenye hela huwa anaonekana kama hakosei vile na anajua kucheza na akili za watu
Mfano angalia nyimbo ya God Did jinsi verse yake ilivyo sifiwa kwasababu alipewa dk 4 kuflow kuhakikisha anawafunika kabisa Rick na Wayne walio rap kwa chini ya dk 2 kila mmoja
Angalia namna alivyo perform ki boss kabisa kwenye Grammy
Wenzake wameimba stejini lakini yeye kaandaa meza flani ya kijivuni alafu imezungukwa na wamba kadhaa halafu Jay anachana dk 4, at the end show ilikua kama ni yake tu
Hivi Ndio Hov huwa anafanya...... MIND GAME
Kwa beyonce ni sawa anabebwa ila jigga hapana, nakataa...Anabebwa sana yule mama na hasa ile couple yao ndo inawabeba. Kwa mimi ngoma zake nzuri ni za kuhesabu
Akishinda si anapewa, na akipendelewa si anapewa.Kapewa au kashinda!?
Most viewed hiphop video
Mnamwachaje Wiz Khalifa kwa list hapo?
Aisee......"Wanajamii wa hip hop wanakwambia hakuna era ambayo Jay Z aliitawala" 💯🤝
Kapewa kwa maana ya kapendelewa, kashinda kwa maana ya kafanya vizuri zaidi ya wengine. Kapewa niliyoi_quote ni wazi ilimaanisha kapendelewa yaani hakustahili kushinda.Akishinda si anapewa, na akipendelewa si anapewa.
Kapewa.
Kiukweli hio tuzo ina uwalakini, ngoma moja tu kwenye album ndo nliielewa sana, inaitwa "Mr Morale" na ndo imebeba jina la album, ngoma nyingine sio kali kivile. Afterall ni kazi ya Academy hioKapewa kwa maana ya kapendelewa, kashinda kwa maana ya kafanya vizuri zaidi ya wengine. Kapewa niliyoi_quote ni wazi ilimaanisha kapendelewa yaani hakustahili kushinda.
Mkuu unaposema ni kawaida kuwa most viewed unafananisha na ipi nyingine ambayo imefanya jambo liwe kawaida (soundtrack za fast&furious)? Ila pia Wiz Khalifa discography yake ina hits nyingi sio moja tu.. big screen, black &yellow, this plane, promise, work hard play hard, king of everything nk.Hawaangalii hitsong moja na pia hio ngoma ni tribute kwa Marehemu Paul Walker, na iko backed na Fast n Furious, ni kawaida kuwa most viewed
Ndo maana sijamtaja wiz khalifa kwenye comment yangu, nimeongelea tu factor ya hio ngoma kuwa most viewed.Mkuu unaposema ni kawaida kuwa most viewed unafananisha na ipi nyingine ambayo imefanya jambo liwe kawaida (soundtrack za fast&furious)? Ila pia Wiz Khalifa discography yake ina hits nyingi sio moja tu.. big screen, black &yellow, this plane, promise, work hard play hard, king of everything nk.
Sema wamesema wanaangalia vigezo vingi, ndio maana mpaka kina Jadakiss, Rakim na wengine wamo. Sio suala la hit songs tuKiukweli hio tuzo ina uwalakini, ngoma moja tu kwenye album ndo nliielewa sana, inaitwa "Mr Morale" na ndo imebeba jina la album, ngoma nyingine sio kali kivile. Afterall ni kazi ya Academy hio
Sure, yaani nimerejea list kumbe hata NOTORIOUS BIG hayupo, wala Ja Rule, Will.I.am, Joe Budden et alNdo maana sijamtaja wiz khalifa kwenye comment yangu, nimeongelea tu factor ya hio ngoma kuwa most viewed.
Wiz khalifa yuko vzr sawa lkn ukimuweka na veterans kiukweli unamuonea, ni hii generation ya youtube, na ukipima uzuri wa mziki wa rap kwa namba za youtube jua unakosea sana
Investments na utajiri wa Jay viko wazi. Amewekeza kwenye public companies na ana deals nyingine ambazo ziko wazi. Angedanganya angeshanyooshewa vidole.Huwa anahonga kweli mpaka kwenye Forbes ili aonekane rapper tajiri kuliko wote
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Una akili timamu? Uongo upo wapi!? Viazi kama wewe huwa mnatokea wapi na kujiunga humu Jf siku hizi!?zamani ilikiwa mtu akikwambia muongo anaweka na fact zake za ukweli mpaka mtu unajishtukia unajiona kweli ni muongo ila sasa wewe hapa nikikwambia uniambie uongo kwenye hiyo comment utaniambia ni upi!? NakusikilizaAcha uongo.
Album ya Get rich or die trying ulikuwa na misumari ya moto ambazo ni hit mpaka leo,nimeona hata 50 mwenyewe kwenye page yake ya instagram analalamika jinsi ambavyo hakutendewa haki kwenhe list hiyoHivi Jay Z anamfikia yule 50 cent wa early 2000's?
50 cent kila msumari aliokuwa anatoa ulikuwa wa moto jamaa aiiteka dunia
2pac ndo best than allView attachment 2511141
Nikawaida kila baada ya muda Billboard huwa wanafanya update ya list yao ya rapa bora.
Katika Kuenzi miaka 50 ya Hip Hop wametoa latest list yao ya rapa bora kabisa 50 kuwahi kutokea
Here's the entire list
Billboard Top 50 Greatest Rappers list
50. Rick Ross
49.Rev Run
48. Melle Mel
47. MC Lyte
46. Jadakiss
45. Ice - T
44. Queen Latifah
43. Bun B
42. Redman
41. E-40
40. Dr.Dre
39. Ludacris
38. Gucci Mane
37. Common
36. Mos Def
35. Future
34. Chuck D
33. Busta
32. T.I
31. Lil Kim
30. Lauryn Hill
29. Pusha T
28. Black Thought
27.Q-Tip
26. Big Pun
25. Method Man
24. KRS-One
23. Kurtis Blow
22. Ghostface
21. DMX
20. Big Daddy Kane
19. Missy
18. Ice Cube
17. 50 Cent
16. Scarface
15. J.Cole
14. LL Cool J
13. Rakim
12. Andre 300
11. Kanye West
10. Nicki Minaj
9. Snoop
8. Drake
7. Lil Wayne
6. Biggie
5. Eminem
4. 2pac
3. Nas
2. Kendrick
1. Jay-Z
VIGEZO
From there, the teams took into account the following criteria, not in any particular order: body of work/achievements (charted singles/albums, gold/platinum certifications), cultural impact/influence (how the artist’s work fostered the genre’s evolution), longevity (years at the mic), lyrics (storytelling skills) and flow (vocal prowess).
Binafsi Sio muumini wa kuamini hizi list na tuzo kama kigezo kikuu cha ubora wa msanii lakini angalau ndio platform zinazo heshimika na hutumika kuleta mijadala zaidi
Kilicho nifurahisha ni angalau sasa Billboard wameanza kuuelewa ukubwa wa NAS kwenye hii game
Kilicho nishangaza ni Lamar kuwa juu ya Lil Wayne achililiambali Nas Big na Pac
Nini maoni yako?
UPDATES
Hii ndio full list ya rapa bora 50 wa muda wote kwa mujibu wa Billboard/Vibes