Billboard yametoa orodha yao ya Rapa bora wa muda wote

Billboard yametoa orodha yao ya Rapa bora wa muda wote

50 has better top hits.

50 in his prime is something I don't think we'll ever see again.

Dude was literally everywhere, could not escape him.
The same applies to Drake ni vile haupo interseted na hawa New School rappers.

Drake tangia 2009 anaachia hits tu .

50 came like tidal waves ila akaanza kuPotea after 2nd album.

Drake imefikia time anawaoutshine Pop singers kwenye streaming Platforms sio kawaida.
 
Hili nalo neno

Ila tukizungumzia top hits naona 50 cent kamzidi Drake

Tuseme 50 had a higher peak lakini Drake had a more consistent peak

Enzi 50 akiwa kwenye ubora wake dunia nzima tuliimba nyimbo zake, club zote hata za madongo kuinama, kaloleni, Gezaulole zilipigwa nyimbo zake ila hakudumu sana akaanza kushuka

Drake anakimbiza vibaya sana kwenye digital platform, na toka ametoka bado wamoto vile vile
 
Enzi 50 akiwa kwenye ubora wake dunia nzima tuliimba nyimbo zake, club zote hata za madongo kuinama, kaloleni, Gezaulole zilipigwa nyimbo zake ila hakudumu sana akaanza kushuka

Drake anakimbiza vibaya sana kwenye digital platform, na toka ametoka bado wamoto vile vile
Hapa ndo point yangu ilipo na yule mwamba 50 hata leo aseme anapiga shoo kokote pale anajaza watu kwa zile tu top hits zake za early 2000's

Dogo Drake amekuja kipindi kizuri ambacho media, social media na digital platform zinawabeba sana wasanii
 
Hivi Jay Z anamfikia yule 50 cent wa early 2000's?

50 cent kila msumari aliokuwa anatoa ulikuwa wa moto jamaa aiiteka dunia

Wanajamii wa hip hop wanakwambia hakuna era ambayo Jay Z aliitawala

Kilicho mbeba Jay Z ni mfanyabiashara mzuri sana, alijua kuzungusha vizuri hela alizopata na kumfanya aheshimike sana kwa kumiliki lebo kubwa na wasanii
Sio kama ni rapa mbaya, ni mzuri sana sema ndio vile mwenye hela huwa anaonekana kama hakosei vile na anajua kucheza na akili za watu

Mfano angalia nyimbo ya God Did jinsi verse yake ilivyo sifiwa kwasababu alipewa dk 4 kuflow kuhakikisha anawafunika kabisa Rick na Wayne walio rap kwa chini ya dk 2 kila mmoja
Angalia namna alivyo perform ki boss kabisa kwenye Grammy
Wenzake wameimba stejini lakini yeye kaandaa meza flani ya kijivuni alafu imezungukwa na wamba kadhaa halafu Jay anachana dk 4, at the end show ilikua kama ni yake tu

Hivi Ndio Hov huwa anafanya...... MIND GAME
 
Sijui kwanini asee...au wanahonga?

Sasa Beyonce anaimba mavitu gani yale? Hiyo reinassance album sioni hata makeke yoyote

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Beyonce anakalishwa na wengi basi tu kuhonga na mtandao may be...
Na hao black wenyewe wamewatukuza mno nikiangaliaga party Jay Z anazohudhuria maceleb wenzie wanampaisha sana
 
Wanajamii wa hip hop wanakwambia hakuna era ambayo Jay Z aliitawala

Kilicho mbeba Jay Z ni mfanyabiashara mzuri sana, alijua kuzungusha vizuri hela alizopata na kumfanya aheshimike sana kwa kumiliki lebo kubwa na wasanii
Sio kama ni rapa mbaya, ni mzuri sana sema ndio vile mwenye hela huwa anaonekana kama hakosei vile na anajua kucheza na akili za watu

Mfano angalia nyimbo ya God Did jinsi verse yake ilivyo sifiwa kwasababu alipewa dk 4 kuflow kuhakikisha anawafunika kabisa Rick na Wayne walio rap kwa chini ya dk 2 kila mmoja
Angalia namna alivyo perform ki boss kabisa kwenye Grammy
Wenzake wameimba stejini lakini yeye kaandaa meza flani ya kijivuni alafu imezungukwa na wamba kadhaa halafu Jay anachana dk 4, at the end show ilikua kama ni yake tu

Hivi Ndio Hov huwa anafanya...... MIND GAME
Ila kwenye hii I do it for Hip Hop, Ludacris na Nas walimfanyia kitu mbaya kabisa bwana HOV, walimpoteza.
 
Hype gani?? Kuna mtu yupo on low-key kama Lamar??
Kendrick kuwa kwenye list ya greatest ni hype anayopewa na hizo mainstream media. Umaarufu alionao mchizi haulingani na kile ame/nafanya kwenye culture au uwezo alionao.

K Dot's just famous for being famous, huwezi kumlinganisha na watu kama Pac, Em au Nas as an mc.

He can rap, so does Young Ma, Young Thug, Lil Uzi Vert, 21 Savage na wengineo, lakini kumuweka kwenye list ya GTs ni matusi, ni kama ambavyo ni matusi kuwaweka hao niliowataja hapo.
 
Back
Top Bottom