Una uhakika sijashuhudia?! Ndio maana simshangai ‘Mvulana’ akilia.Unapata ujasiri wa kuandika hapa juu ujashuhudia ile process yenyewe billnass kama alijitia kiherehere cha kuingia kwenye chumba cha kujifungulia lazima alie
Chilonge bana.Tatizo la kukatwa ‘Govi’ na ganzi ndo hili. Unafikiri ujasiri atautoa wapi?
Aaaah wapi wanaume wanakaa nje wakingoja waje waambiwe "tayari kajifungua" na ukute mnawapeleka wake zenu hospital za bure za serikali nan akuruhusu uingie kulee?Una uhakika sijashuhudia?! Ndio maana namshangaa ‘Mvulana’ akilia.
Wewe wasema!Aaaah wapi wanaume wanakaa nje wakingoja waje waambiwe "tayari kajifungua" na ukute mnawapeleka wake zenu hospital za bure za serikali nan akuruhusu uingie kulee???
Huu ugonjwa wa kulia lia hovyo umekuwa ni changamoto kubwa kwa wanaume wa Dar. Hata siku ya kifo cha Ruge, Barnaba Classic alilia kuliko hata huyo mke wa sasa wa Billinas.Wanaume wa DAR..... mwanaume wa mikoani unapataje ujasiri huu wa kulia lia ovyo
Hapo nimetumia lugha ya picha tu kwamba kila mtu kwa nafasi yake anapitia magumu mwanaume analia mkewe akijifungua ss alimpa mimba ya nn 😀Mmmmm tuseme wanaume wa jf wote ni wakurya kukatwa bila ganzi kasoro billnass
Sio kweli kua hatofahamu hosp aliyojifungulia bwana!!!Hiyo ni hamu ya mtoto wa kwanza tu, kila mwanaume huwa hivyo....akibeba mimba ya pili huyo Bill hatojua hata mkewe amejifungulia hospitali ipi.
Na Kama kashuhudia wakati Ku.ma inatanuka,hata hamu ya kut.omb.a atakuwa Hana ndo Mana kalia saana.Maneno yanavyomtoka utazan hana michepuko 😂😁
Anaezaa anakuwa aanfunikwa watazamaji hamuoni uchi wake labda yule anaezalisha 😂Na Kama kashuhudia wakati Ku.ma inatanuka,hata hamu ya kut.omb.a atakuwa Hana ndo Mana kalia saana.
Si kaona ku.ma inavyotanuka kwa hiyo ndo Mana Amelia kwamba atapoteza hamu ya ku.to.mbaTatizo sio kushuhudia, tumeshaingia na kuona process yote mwanzo Hadi mwisho. Shida ni hapo kwenye kulia sana.
Yaani labor kwa kweli,si pa mchezo.halafu kesho na kesho kutwa jitu linakutukanaWanadamu ni wanyama nakwambia tena, nakuwaga mbogo yani, hasa pale pa kupush😂😂,, nawekaga meno kwenye godoro au vyuma vya kitanda,, nikishika nondo za dirisha lazima ipinde,, halafu ndo uone mtu anajipitisha,,, kiukweli huu uzungu bado ila ijayo nina mpango wa kujaribu
Hiki kizazi cha millennials ni hovyo. What is the point of displaying such extreme emotions for your wife and infant child in the public sphere? Why even do it? Is it because he considers himself a celebrity of some sorts and therefore feels obliged to let the whole world know about his private feelings? Stupid fu.ck!Billnass amesema “Mimi wakati mke wangu anajifungua nilikuwepo hospitali na nilimuona process zote ni kitu ambacho kilinitesa sana niliona ni nusu ya kifo, nililia sana kuna muda mwingine unaona hujui kama atakuwa salama, nimezidisha mapenzi niliyokuwa nayo kwa mwanamke wangu.
Hayo Ni matokeo tu,, ila we wajibika kwa nafasi yako na ktk hili hatuna wa kumtupia ukishabeba mimba tu jiandae kwa pito hilo, tunamkosea aliyetuumba ije kuwa uliyemzaa aua kumzalia,,,Yaani labor kwa kweli,si pa mchezo.halafu kesho na kesho kutwa jitu linakutukana
Mwanaume Wa Dar katika ubora wakeBillnass amesema “Mimi wakati mke wangu anajifungua nilikuwepo hospitali na nilimuona process zote ni kitu ambacho kilinitesa sana niliona ni nusu ya kifo, nililia sana kuna muda mwingine unaona hujui kama atakuwa salama, nimezidisha mapenzi niliyokuwa nayo kwa mwanamke wangu.
Unashuhudia Uzazi ili ugundue nini? Ujinga unaanzia hapo.Members mnaomcheka bilnas mnanishangaza sana hivi mnadhani kushuhudia uzazi ni mchezo mchezo kuna aliyewahi kati yenu [emoji2372]
Utazaa kwa uchungu ina mhusu nini mwanaume? Mwanaume yake kula kwa jasho.Na kuzaa kote sijawahi kushuhudia mwanamke akizaa,,, SIWEZI hata kutizama,, heko kwa wakunga wote
Ulipotaja Mpendwa nikakuelewa na nikaishia hapo.Shida yenu ndio hii yaani kwamba mimi Mwanaume siwezi kulia kumbe unaacha sumu mwilini mpendwa panapo hitaji kulia usijizuie liaaa tena ikiwezekana kwa sauti[emoji51][emoji16][emoji16]
Huyu atakuwa haenjoy mkuyenge wa jamaaHahah, sasa hasira yatoka wapi mama?
Au huwa waona chanzo ni yeye cha wewe kuwa labor?