kiri12
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 638
- 558
Habari wanajukwaa, napenda kuwakaribisha wale wote wanaohitaji kukata bima ya afya kutoka jubilee karibuni sana nitawahudumia.
Katika bima ya afya ya Jubilee unaweza kukata ya mtu mmoja, mtoto peke yake, ama familia.
Karibuni sana, kwa anayehitaji maelezo zaidi unakaribishwa kuuliza na nipo hapa kwaajili ya kuwajibu wote.
Katika bima ya afya ya Jubilee unaweza kukata ya mtu mmoja, mtoto peke yake, ama familia.
Karibuni sana, kwa anayehitaji maelezo zaidi unakaribishwa kuuliza na nipo hapa kwaajili ya kuwajibu wote.