wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Kwny Hilo wameamua kubisha tu.Aisee sio sawa.. Ujazo wa engine ndio stamina muhimu.. Kuna gari za misele town.. Kuna gari za safari..
Gari ya town ukiipa safari itachoka tuu..
Usain Bolt hata awe na mbio vipi.. Tukikimbia umbali wa km5 nitamshinda tuu.. Stamina
Ile sio Supra Ni BMW z4 iliyochangamka(iliyofunikwa) tu.Ni ujinga tu.Emmission standards zimebadilika tofauti na zamani. za miaka ya 90 zio za miaka ya 2000. Za zamani huwezi ku import Europe sasa ivi kwa sababu hazimeet hizo standards. Ndio maana Toyota akawa na engines mpya ambazo zinatumika Euro na hasa kwa kutumia brand ya Lexus, engine hizo hizo tunaziona kwenye toyota saiv na bado toyota hauzi Europe.
2jzgte ni engine moja babkubwa kwa perfomance, lakini sababu ya kwanini toyota hawakuiweka kwenye Supra mpya, sio kwamba emmissions (ingawa haikuwa certified tangu mwanzo kukubalika in Europe) bali ni engine ya zamani mno, Toyota wameachana na Inline 6 engines na wamehamia kwa v6, kwao kuanza development upya ya kuweka 2jzgte sio cost efficient (inabidi waanze from scratch wakati assembly ya hio engine imeshauliwa) na ndio wakaamua kwenda na BMW engine, in short wamechukua BMW wakaibandika badge ya Supra the same wamefanya kwa FT86 ambayo ni subaru.
Sensors za emmission zina collect data ku make sure gari ina run kwenye standards zilizowekwa, sioni vipi zinachangia katika ubovu wa chombo zaidi ya kukwambia tu kama gari yako ita fail emmission test n.k Mfano Oxygen sensor, ina collect data ECU inapewa taarifa mafuta iongeze au ipunguze, lakini o2 sensor kama o2 sensor hai control physicial device. Sasa general rule ni kwamba ukiongeza vitu manake unaongeza more things to fail, lakini sio in a sense kwamba its not reliable. Umeongeza tu idadi ya vitu ofcourse uta repair vingi kuliko alokuwa na vichache.
Nakubaliana na wewe kuwa toyota ana vitu basic, Haziendani kabisa na wengine, wapo nyuma na wamejiekea nyuma makusudi. Wao kama kitu kinafanya kazi vizuri kwanini wafanye njia nyengine? wanaona bora wakiache ivo ivo. Sasa wenzao wanakwenda na technology, kama wanaweza kuweka bluetooth brakes (jokes) kwanini wasiweke?
Tutizame Air suspension vs Coil Springs, chances za ku fail air suspension ni high kuliko coil springs, sasa toyota hapo anaona ah wacha niweke coil springs, RR na wenzake wacha tuweke Air Suspension for ride comfort anaenunua RR ana uwezo wa kununua Air suspension nyengine tu.
Waulize hizo LC 200 wamezipandia wapi?sanasana anaeiponda LC 200ukimuuliza anaishia kukwambia anamiliki harrier old model na magari ya dizaini hio.Nilishangaa mbuzi mmoja humu anaiponda Nissan Y62 huku akiulizia kama anaweza akapata gx110 kwa mil 4.Wanafeli sana humo!
Yani ni sawa na kudharau tajiri eti kisa ni msukuma hajivungi ila akikaa na matajiri wenzie wachaga aonekane tajiri kweli ni mchaga tu! Yani mwenye pesa anasemwa mchaga tu wakati msukuma ana mawe pia!
Watu wanadharau Land Cruiser sababu ni Toyota ila interms of comfort haiwezi pishana na gari lolote la kisasa! Land cruiser zina Airbags, Air Suspensions na burudani zote sijui apple car play na android auto! Yani ni gari zuri kwa kweli ila watu wanaleta dharau za kishamba wakihisi Landcruiser imekakamaa kama Passo ama IST😅
Kwani unadhani hawajui Hilo mkuu?Ni vile wameamua tu kubisha.Jiandae kwa Ligi hapo.Yes.. Unaweza kutoka Dar mpaka Mwanza na kesho ukageuza kwa spidi yako mwenyewe.. Ila njia nzima ufukuzane na 1vd-ftv wakati wewe una 100hp.. inline 4.. 1.6lt.. Kesho gari hata kuwaka haiwaki..
Wana wanajifariji sana wengi wamiliki wa gari chakavu za mjepengaWaulize hizo LC 200 wamezipandia wapi?sanasana anaeiponda LC 200ukimuuliza anaishia kukwambia anamiliki harrier old model na magari ya dizaini hio.Nilishangaa mbuzi mmoja humu anaiponda Nissan Y62 huku akiulizia kama anaweza akapata gx110 kwa mil 4.
Lkn ukikuta wanaongelea ma Porsche,G-Wagon, Ferrari,GT-Continental,Roll Royce,Maserati, McLaren Kama vile walishawahi kuzipanda kumbe Ni mwendo wa kucheki reviews tu Kule YouTube.
😄😄 Ndio JF ya matajiri hio.Wana wanajifariji sana wengi wamiliki wa gari chakavu za mjepenga
Wanatapatapa sana hao. Ndiyo maana nasema kuna watu huwa wanasifia au wananunua vitu kwa mihemko na mikumbo tu ili nao waonekane wanajua kumbe wanaigiza.Wanafeli sana humo!
Yani ni sawa na kudharau tajiri eti kisa ni msukuma hajivungi ila akikaa na matajiri wenzie wachaga aonekane tajiri kweli ni mchaga tu! Yani mwenye pesa anasemwa mchaga tu wakati msukuma ana mawe pia!
Watu wanadharau Land Cruiser sababu ni Toyota ila interms of comfort haiwezi pishana na gari lolote la kisasa! Land cruiser zina Airbags, Air Suspensions na burudani zote sijui apple car play na android auto! Yani ni gari zuri kwa kweli ila watu wanaleta dharau za kishamba wakihisi Landcruiser imekakamaa kama Passo ama IST[emoji28]
Thank you. Kuna comment niliwaambia hata hizo Y62 V8 ziko vizuri kuliko baadhi ya BMW sema tu kuna watu wanazisujudia sana Bimmer kama kitu gani sijui.Waulize hizo LC 200 wamezipandia wapi?sanasana anaeiponda LC 200ukimuuliza anaishia kukwambia anamiliki harrier old model na magari ya dizaini hio.Nilishangaa mbuzi mmoja humu anaiponda Nissan Y62 huku akiulizia kama anaweza akapata gx110 kwa mil 4.
Lkn ukikuta wanaongelea ma Porsche,G-Wagon, Ferrari,GT-Continental,Roll Royce,Maserati, McLaren Kama vile walishawahi kuzipanda kumbe Ni mwendo wa kucheki reviews tu Kule YouTube.
Hata hiyo x5 huwezi kulinganisha na LC VX in terms of reliability. Kwenye mbio Beemer anaweza kumsumbua kidogo ila kwa safari ndefu kwa hizi barabara zetu za kuunga hapa na pale bado LC 200 aka Kilimo kwanza Hana mpinzaniUmemaliza na huu ndio ukweli, haitokaa Toyoda akaipiku BMW . Sema wapambe wa toyota wanakuwa wanalingamisha gari zisizo lingana mtu anakuja linganisha 3 Series na V8 Badala ya kulinganisha na BMW X5 M competition na hiyo V8 zao
Hilux ni gari ya field huwezi kulinganisha na hizo takataka nyingine sijui amarok. Hata wazungu wenyewe wakiwa field wanatumia D4D! Wenyewe wanaziita work horseKule kwa waturuki Shabib aliwakodishia waturuki Hilux D4D Jumla 20,Sasa sijui hakuziona Amarok,Ranger,X-class etc 😄😄
Hivyo vyote ni kama soccer mum cars havina impact yoyote site. Ukitaka kuingia chaka na kurudi salama bila wasiwasi nenda Na Hilux.Unataka ikija site ifanyaje mkuu 😀😀😀, Mercedez X nayo mnasemaje 😀😀
Huyu anatudanganya! Practical Hilux inafanya vizuri Zaidi maana ni gari ya kazi. Ila kwenye mbio huyo amarok anamzidiDuh hilux ipi hio mzee
Ukiendesha gari kwa fujo kwenye hizi barabara zetu kama vile upo autobahn lazima ukirudi upite pale jerry spare part kuuguza majeraha🤣🤣. Ila LC V8 ama hizi 100 series hazijali we piga shimo unavyoweza ni mwendo mdundo tu.Haya yamenisibu, juzi kati nilikuwa na safari ya dar-dom aisee, nilitembea, gari(xtrail) ina gia 6, speed 220km/hr, mpaka nafika dom sikumbuki km kuna gari ilinikata nikiwa njiani. Nilikutana na landcruiser 70 series(VDJ76) mbili, moja STK, nyingine ya mtu binafsi(DPA/K) nadhani walibaki wanajiuliza huko.
Ila nimefika dom, juzi nafanya service nigeuze mambo mengi, ukizingatia wakati wa kuja sikufanya service mbona nimejuta, hapa nina mpango wa kurudi mdogo mdogo, nikitembea mwendo mkali basi ni 120 hivi, tena paliponyooka(maana kuna vipande mguu unasaliti akili)
Hizi gari hazijafanya vizuri sana sokoni kama Hilux. Jiulize kwanini?!Cheki chuma hii ilivyo shiba, tunawachapa mjini na porini tunawachapa, yaani hamtoki popote 😀😀😀
JituMirabaMinne
Isanga family
wa kupuliza View attachment 2024833
Hz sio engine ya mambio mzee! Ile engine imetengenezwa based on reliability na ndio maana cruiser nyingi 1hz utazikuta field zikipiga mzigo200hp halafu wanalinganisha na hz yenye 129 hp kweli!japo rover ilikuwa ni v8,hivi hawa team toyota wanajua kuwa hiyo hz haifui dafu mbele ya prado L150?
Hahahahahah unaenda pale kinyonge kuchapiwa mkeka wa bush zako ulizochakaza kwenye rasta😅😅😅 usiombe ukakuta na shockup za Nissan mbovu pia utajuta😅Ukiendesha gari kwa fujo kwenye hizi barabara zetu kama vile upo autobahn lazima ukirudi upite pale jerry spare part kuuguza majeraha🤣🤣. Ila LC V8 ama hizi 100 series hazijali we piga shimo unavyoweza ni mwendo mdundo tu.
Aisee X5 haina tatizo kukeep up na Landcruiser.. Gari engine kubwa.. Na imetengenezwa kuwa segment moja na Landcruiser.. Toleo la kwanza E53 engine ndogo ina 3lts inline six na kuna options ya 4lts V8.. Kwahiyo ipo vizuri stamina.. Ukisema tutoke wote Dar Mwanza na Landcruiser haina shida kabisa ipo njema..!Hata hiyo x5 huwezi kulinganisha na LC VX in terms of reliability. Kwenye mbio Beemer anaweza kumsumbua kidogo ila kwa safari ndefu kwa hizi barabara zetu za kuunga hapa na pale bado LC 200 aka Kilimo kwanza Hana mpinzani
Hii ID ya Holy Man naona modes wameifanyia mchakato ikawa Kijana wa hovyo hovyo.Cheki chuma hii ilivyo shiba, tunawachapa mjini na porini tunawachapa, yaani hamtoki popote 😀😀😀
JituMirabaMinne
Isanga family
wa kupuliza View attachment 2024833